Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Dogo ana balaa na nusu huyo.Huenda humjui ,eti Flano Murdky Ni wakawaida? Mancity ,Madrid, Juve ,Arsenal wanamfukuzia
Anatumia Miguu yote
Anacheza Winga zote
Unaweza kumtumia pia Kama no.10
Kasi
Passing ability
Pausa![]()
Ndio maana nawasisitiza mmalizane nae mapema kabla ya kombe la dunia.
Nina uhakika baada ya kuisha kwa kombe la dunia hamtampata tena lazima magiant wenye misuli mikubwa wamchukue.

Juve are interested in Mudryk but sources have indicated Arsenal have already made an offer and are
#afc h