Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huenda humjui ,eti Flano Murdky Ni wakawaida? Mancity ,Madrid, Juve ,Arsenal wanamfukuzia

Anatumia Miguu yote

Anacheza Winga zote

Unaweza kumtumia pia Kama no.10

Kasi

Passing ability

Pausa
Dogo ana balaa na nusu huyo.
Ndio maana nawasisitiza mmalizane nae mapema kabla ya kombe la dunia.
Nina uhakika baada ya kuisha kwa kombe la dunia hamtampata tena lazima magiant wenye misuli mikubwa wamchukue.
 
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png

Mbwa mwitu leo anaenda kujitafunia mbuzi za Arteta.
Na jinsi wachezaji wao walivyoshiba leo unaenda kupigwa mpira wa maguvu maguvu ili kuwatosha wavulana wa Arteta.
Kuna wachezaji leo wanaenda kupasuliwa kongos
Ikifika mwezi May mtamkana wenyewe huyo Mateka wenu, mimi ninachokifanya sasa hivi ni kusave tu hizo comments zenu halafu nitawaonyesha kipindi mtakachoanza kulialia humu ndani kua Arteta afukuzwe. View attachment 2414531
Mbona unateseka wewe jamaa sisi tunapigania namba 4 sio ubingwa ili tuingie champions league,ubingwa mnapigania nyie na city.
 
Nyie endeleeni kubargain bei halafu wanaume wanakuja kupanda dau.
Hivi kwa mchezaji ambae mnaamini ni quality £60 ni ya kukaa na kuanza kulialia kweli?
Juventus tayari ameshaingilia kati na yupo tayari kutoa hio £65 na kama msipomalizana nae muda huu baada ya fainal za kombe la dunia thamani yake itakuwa ni zaidi ya £80.
Ajichanganye aende akawe flop huko..
 
Ikifika mwezi May mtamkana wenyewe huyo Mateka wenu, mimi ninachokifanya sasa hivi ni kusave tu hizo comments zenu halafu nitawaonyesha kipindi mtakachoanza kulialia humu ndani kua Arteta afukuzwe. View attachment 2414531
Arteta hawez kubebewa Hilo bango ,

Unajua Arteta alikuwa anampa Hadi madini Arsene Wenger?

Arsene Wenger alimtabiria makubwa Sana.

Angalia video hii

 
Back
Top Bottom