Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Hizi Mbuzi


baada ya kupokea kipigo kitakatifu toka kwa Brighton tena ndani ya gheto lao pale Emirates sasa hivi zinaleta story ya sizitaki mbichi hizi




Mpaka May2023 zinamaliza ligi zikiwa nafasi ya 5 huku hazina kitu chochote mikononi zaidi ya tuzo ya kocha bora wa mwezi, hapo ndio zitaamka usingizini na kuanza kumtuka Arteta mtu aliewaletea tuzo ya kocha bora.

| @FabrizioRomano: 
| Jurgen Klopp: 




