Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

ARSERNAL WAMEANZA MSAKO MKALI WA KUSAJILI JANUARY
Screenshot_2022-11-06-17-31-03-826_com.freerange360.mpp.GOAL.jpg
 
Mashabiki wa timu zote Epl wanamkubali na kumsifia kwelikweli Anthony kasoro mashabiki wa Arsenyani peke yao.
Ukichunguza chuki ya mashabiki wa Arse kwa Anthony sababu kuu jamaa ndio alikua mwanaume wa kwanza kuwatoa usichana wao kwenye lile gheto lenye vitofali vya kuchoma.
Pwagu na pwaguzi
Cupace20221106175256123.jpg
 
Kina martinelli, waache utoto, ukicheza game ngumu, nafasi ni chache hizo hizo inabidi utumie kumuadhibu adui. Jesus, partey, white, Saliba wanacheza unaona ni Matured players kabisa. Hata xhaka shida ni vile hanyumbuliki tu, ila anafanya kazi kikubwa.
 
Hatukuwa na matumaini ya kuwa EPL winners but kwa Top 4 ilikuwa ni suala la lazima kwa sasa tumeachana na top 4 tunatafuta ubingwa na tupo very serious na hilo kwa sasa so let's hope kwa hili
Kuwe na addition ya wawili au watatu kwenye nafasi muhimu, fatigue na hii marathon tusije kukimbiana May mkuu.
 
Kuwe na addition ya wawili au watatu kwenye nafasi muhimu, fatigue na hii marathon tusije kukimbiana May mkuu.
Kwa sasa hili suala ni la lazima January lazima tuingie sokoni ASAP tuna quality ya first eleven pekee benchi letu ni Maji kujaa ukimtoa Tierney na Matt (Goal keeper) hakuna mwingine wa kuoffer jambo jipya Arsenal
 
Kwa sasa hili suala ni la lazima January lazima tuingie sokoni ASAP tuna quality ya first eleven pekee benchi letu ni Maji kujaa ukimtoa Tierney na Matt (Goal keeper) hakuna mwingine wa kuoffer jambo jipya Arsenal
Unawakosea heshima Tomiyasu, Smith Rowe,elneny

Tena Elneny mnamdharau ila Arteta anamuelewa Sana, hata Vieira yupo vzr ila Ni Kama anahitaji muda ,unakumbuka alipokuja Odegaard alivyokuwa ovyo

Naimani January tutaongeza wawili
 
Back
Top Bottom