Hatukuwa na matumaini ya kuwa EPL winners but kwa Top 4 ilikuwa ni suala la lazima kwa sasa tumeachana na top 4 tunatafuta ubingwa na tupo very serious na hilo kwa sasa so let's hope kwa hili
Ndugu labda wewe hukuwa na matumaini, Kuna Hadi space tulifanya Twitter ,Mimi nilisema kabisa Msimu huu Tunagombea ubingwa ,na hata humu Kuna Makala zangu nilisema hivo,
Binafsi baada ya Zile Mechi 2 pale Emirates dhidi ya mancity na Liverpool zilikuwa onyo kuwa soon tunakuja kupambana nao
Kama ukifanya analysis ,nilikuwa nasema hata msimu uliopita Kuna factors zilitokea ambazo msimu huu zilirekebishwa
TWENDE kimahesabu
Tulimaliza na points 69
Lakini Kuna mechi 3 za mwanzo tulifungwa sababu ya kuchelewa kusajiri ,kumbuka Baada ya Hizi mech ndipo tulisajiri kina Ramsdale, Tomiyasu, Odegaard,n.k
Hizi mech 3 tulitakiwa tupate walau points 4
Kuna mechi 3 round ya 2 ,tulifungwa sababu ya Depth ndogo hasa naada ya kuumia Tierney,Partey na Tomiyasu
Hizi mech zilikuwa points 9
Sasa chukua points 9+4 =11
Chukua points 69+11=80 points
Kuna draw tulitoa 11
SASA MIMI NACHUKUA HIZI POINTS 80
Msimu huu kwa 80% hizo factors zimesoviwa
NDIPO NIKAHITIMISHA MSIMU HUU TUTAPAMBANIA UBINGWA