Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hii game graham ameshaijua approach yetu ya kuwatumia saka na martineli kudeliver final deadly passes, naona wakikamata mipira wanakabwa kwelikweli. MA need to change approach or motivate his players to increase pace of the game.
Mbona bado wame deliver sumu sema Jesus ndo ametuangusha ili bidi tuwe tunaongoza 2:0 sasa

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Mbona bado wame deliver sumu sema Jesus ndo ametuangusha ili bidi tuwe tunaongoza 2:0 sasa

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Tatizo la Arsenal ni wafungaji hawafungi na leo midfielders na wingers wemebanwa na wamejitahidi kwa kiasi kikubwa maana hao ndio wafungaji wetu but hakuna magoli let's wait for the second half
 
Ili kushinda unahitaji timu yenye utimamu pamoja na bahati.

Vyote vimekuwa upande wetu.

Points 3 muhimu pamoja na clean sheet nyingine.

Tafadhali Man City atupishe kileleni 💪

Mwaka huu kuna Muujiza unakwenda kutimia, tuendelee kuwa wavumilivu.

We are Gunners 💪
 
Back
Top Bottom