Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kama ni mzuri biashara iimalizwe mapema, watu huwa wanaissubiri arsenal ipointi tu.
Kuna huyu Mudrky ,Arsenal walimskauti mapema Sana , baadae waka delay ,maana Shaktar walitaka €50m, dogo UEFA kakiwasha ,kashaanza kutolewa macho na kina mancity , na Bei imechangamka,

Wanasema Kama Anthony wa man u kauzwa €100m Basi huyu Ni Zaidi

Carlo Nicolini (Shakhtar Donetsk sporting director):

“Together with Mbappe, Leao & Vinicius, Mudryk is the strongest player in that position. Is €40m enough to buy him? We do not speak to these figures. Not even for €50m. We value Mudryk more than Antony, who cost €100m.” #afc


“The Italians bring low proposals, we don’t even sit to negotiate. There are many English candidates, Spanish, French. They [Arsenal & Manchester City] are two teams that have taken an interest in the player.” #afc
 
TOP OF THE TABLE...!!

November 1 (Moyaa)
20221101_014205.jpg
20221101_014229.jpg
 
Kuna huyu Mudrky ,Arsenal walimskauti mapema Sana , baadae waka delay ,maana Shaktar walitaka €50m, dogo UEFA kakiwasha ,kashaanza kutolewa macho na kina mancity , na Bei imechangamka,

Wanasema Kama Anthony wa man u kauzwa €100m Basi huyu Ni Zaidi

Carlo Nicolini (Shakhtar Donetsk sporting director):

“Together with Mbappe, Leao & Vinicius, Mudryk is the strongest player in that position. Is €40m enough to buy him? We do not speak to these figures. Not even for €50m. We value Mudryk more than Antony, who cost €100m.” #afc


“The Italians bring low proposals, we don’t even sit to negotiate. There are many English candidates, Spanish, French. They [Arsenal & Manchester City] are two teams that have taken an interest in the player.” #afc
Soko siku hizi limeharibika saana, tunapoelekea itakuwa watu wanajiwahi kwa watoto wadogo.

Anthony unatoa paundi milioni 100 hii iahaluwa biashara kichaa kwa kweli.
 
Game yetu na Chelsea pata chimbika,
Hapa karibuni tumewabomoa bomoa so hii lazima watukazie Kama man u walivyotukazia na huyo Auba atajitutumua atu prove wrong.

Nafkir tutaenda WC tukiwa nafasi ya pili, bado sio mbaya..


Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Game yetu na Chelsea pata chimbika,
Hapa karibuni tumewabomoa bomoa so hii lazima watukazie Kama man u walivyotukazia na huyo Auba atajitutumua atu prove wrong.

Nafkir tutaenda WC tukiwa nafasi ya pili, bado sio mbaya..


Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Amini amini nakuambia Chelsea atapigwa kama walivyopigwa wenzake

Moja kati ya game ntaangalia kifua wazi ni hii

Mtu kazi Partey, xhaka, odegard,
Pale kati patakua pamoto sana

Nyuma yupo Gabi, white, saliba, tomiyasu, Tierney
Sijui watapitia wapi?

Kule mbele sasa, Jesus, martinel hawa wanatosha kumaliza show
Nasikia saka atakuwepo
Nketiah, Nelson hawa pia kazi wanaiweza

Kumbuka Chelsea hawana ngolo kante,
Huyu mwamba kuna kipindi Hazard anakuambia ngolo kante yupo kila sehemu, wakipoteza mpira yeye ndio mkabaji na wakiwa na mpira anamuona yupo kwenye kushambulia
Chelsea ni pigo sana kumkosa huyu mtu

Kama arsenal akimkosa partey


Chelsea atakufa vizuri tu kuanzia 3+
 
Amini amini nakuambia Chelsea atapigwa kama walivyopigwa wenzake

Moja kati ya game ntaangalia kifua wazi ni hii

Mtu kazi Partey, xhaka, odegard,
Pale kati patakua pamoto sana

Nyuma yupo Gabi, white, saliba, tomiyasu, Tierney
Sijui watapitia wapi?

Kule mbele sasa, Jesus, martinel hawa wanatosha kumaliza show
Nasikia saka atakuwepo
Nketiah, Nelson hawa pia kazi wanaiweza

Kumbuka Chelsea hawana ngolo kante,
Huyu mwamba kuna kipindi Hazard anakuambia ngolo kante yupo kila sehemu, wakipoteza mpira yeye ndio mkabaji na wakiwa na mpira anamuona yupo kwenye kushambulia
Chelsea ni pigo sana kumkosa huyu mtu

Kama arsenal akimkosa partey


Chelsea atakufa vizuri tu kuanzia 3+
Ata mi naombea iwe hivo,

ila derby match hua haziamuliwi sana na current form, mfano pamoja na ubovu wa liver ila City akalala yoo

Game ngumu ila ofcoz tunaweza kushinda, tusubiri tuone

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Arsenal technical director Edu will meet Facundo Torres' representatives to discuss a potential move this weekend. Torres is very keen on a move to the Premier League leaders. [@charles_watts]
 
Ukweli lazima usemwe arsenal amna uwezo wa kuchalange hata ubingwa labda top 4.

Timu nyingi zinazo fanya vizuri ukiangalia zinakuwa na sub imara sana yani kinatoka chuma kinaingia chuma mfano ni man city.

Sasa arsenal kikosi chenu hakina sub wenye kuweza badilisha matokeo yakiwa mabaya yani kikosi chenu cha kwanza mkipata hata majeruhi wa 3 tu mnakuwa na hali mbaya sana.

Kiukweli arsenal bado sio muda mtaanza kumtukana arteta kama Kawaida yenu hapa.

Hebu kwa mfano pale arsenal itoke wachezaji kama jesus,partey,xhaka,saka,saliba sioni kama kuna wakuziba pengo lao hapo.

Kiufupi mnakikosi kidogo sana,wenye mmeanza kuona kikosi mechi 3 za mwisho kilivyoanza kuchoka.

Labda tusi wa judge sana tuone mzunguko wa kwanza unaisha mkiwa kwenye hali gani.
Hata Top 4 ni ngumu sana. Unataka top 4 na huna sub kwenye bench?
 
Hivi Anthony ana kipi ambacho anamzidi Pepe?

Yule Pepe hapo man u anaanza kikos chenu panga pangua

Anthony huyu ambaye hawez 1v1 ,

Scholes kila siku anawaambia hakuna mchezaji pale ,
Mkuu una hasira nae. Mechi yake ya kwanza EPL alikuchapa..
 
Hata Top 4 ni ngumu sana. Unataka top 4 na huna sub kwenye bench?
Leta msimamo au hii Kaz uliacha ?

Akili zenu sijui zikoje

Nakutajia Sub za Arsenal inapokuwa full halafu fananisha na Timu yako


Mart Turner

Smith Rowe

Kieran Tierney

Zinny Zinchenko

Fabio vieira

Nelson

Nketiah

Elneny


HAWA WACHEZAJI KWENYE TIMU YAKO WANAANZA KIKOS CHA KWANZA
 
Chelsea will Suffer


Oleksandr Zinchenko is expected back in training this week, ahead of the game against Chelsea this weekend.
 
Back
Top Bottom