Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arteta 2021:

Nataka kuifanya Emirates Sehemu ya kuogopwa
IMG_20221031_200013.jpg
 
Emily Smith Rowe


Nimemisi Kazi ya Smith Rowe , atachukua mpira atakukimbiza kuingia kwenye box ,

An example of a ball carrier


Kuna Saka , Martinell na Odegaard, Lakini Smith Rowe ndiye mchezaji namkubali Sana


Arteta kambadilisha Sana, Mchawi majeruhi tu


a no.10 ambaye atatokea pemben kuingia ndan ,INVERTED NO.10


IMG_20221031_125233.jpg
 
Leta msimamo au hii Kaz uliacha ?

Akili zenu sijui zikoje

Nakutajia Sub za Arsenal inapokuwa full halafu fananisha na Timu yako


Mart Turner

Smith Rowe

Kieran Tierney

Zinny Zinchenko

Fabio vieira

Nelson

Nketiah

Elneny


HAWA WACHEZAJI KWENYE TIMU YAKO WANAANZA KIKOS CHA KWANZA
MJINGA SANA WE JAMAA, UNATAJA VITOTO VYA FORM FOUR 'B' KULINGANISHA NA MIAMBA. MPIRA PESA MDOGO WANGU, SUBIRI KIDOGO NDIO UTAJUA MAANA YA KUSAJILI WACHEZAJI WAKUBWA NI NINI. UNANILETEA VITOTO HATA KUBEBA VIATU KWENYE TIMU ZAO ZA TAIFA HAWARUHUSIWI..
 
MJINGA SANA WE JAMAA, UNATAJA VITOTO VYA FORM FOUR 'B' KULINGANISHA NA MIAMBA. MPIRA PESA MDOGO WANGU, SUBIRI KIDOGO NDIO UTAJUA MAANA YA KUSAJILI WACHEZAJI WAKUBWA NI NINI. UNANILETEA VITOTO HATA KUBEBA VIATU KWENYE TIMU ZAO ZA TAIFA HAWARUHUSIWI..
Kumbe najadili na mgonjwa

Siku Hizi umegoma kuleta msimamo
 
MJINGA SANA WE JAMAA, UNATAJA VITOTO VYA FORM FOUR 'B' KULINGANISHA NA MIAMBA. MPIRA PESA MDOGO WANGU, SUBIRI KIDOGO NDIO UTAJUA MAANA YA KUSAJILI WACHEZAJI WAKUBWA NI NINI. UNANILETEA VITOTO HATA KUBEBA VIATU KWENYE TIMU ZAO ZA TAIFA HAWARUHUSIWI..
Leta msimamo mbwa wewe


IMG_20221018_185909.jpg
 
There is a possibility for Facundo Torres to move to Arsenal, but it will not be in the next transfer market (January), but next summer.

Next week, the player's representative, Edgardo La Salvia, will meet Arsenal. At the moment, nothing is ahead.

@RodriVazquez95 via @iemadAFC https://t.co/psQXTjlwrc
 
Real Madrid will make an offer for Gabriel Jesus next summer. 🤍

(Source: @SunSport)
 
Emily Smith Rowe


Nimemisi Kazi ya Smith Rowe , atachukua mpira atakukimbiza kuingia kwenye box ,

An example of a ball carrier


Kuna Saka , Martinell na Odegaard, Lakini Smith Rowe ndiye mchezaji namkubali Sana


Arteta kambadilisha Sana, Mchawi majeruhi tu


a no.10 ambaye atatokea pemben kuingia ndan ,INVERTED NO.10


View attachment 2404446
Mimi namkubali sana ESR, kile ni kipaji Bora kabisa!.. Nina Imani kubwa sana na yule dogo... Yani napenda sana style yake ya uchezaji. Yule anauwezo mkubwa sana wa kufunga...
 
Mkuu una hasira nae. Mechi yake ya kwanza EPL alikuchapa..
Mashabiki wa timu zote Epl wanamkubali na kumsifia kwelikweli Anthony kasoro mashabiki wa Arsenyani peke yao.
Ukichunguza chuki ya mashabiki wa Arse kwa Anthony sababu kuu jamaa ndio alikua mwanaume wa kwanza kuwatoa usichana wao kwenye lile gheto lenye vitofali vya kuchoma.
 
Mashabiki wa timu zote Epl wanamkubali na kumsifia kwelikweli Anthony kasoro mashabiki wa Arsenyani peke yao.
Ukichunguza chuki ya mashabiki wa Arse kwa Anthony sababu kuu jamaa ndio alikua mwanaume wa kwanza kuwatoa usichana wao kwenye lile gheto lenye vitofali vya kuchoma.
Nyie mashabik wa unyumbuni mnafurahisha sana
IMG_20221102_082024.jpg
 
UTABILI

Arsenal ataongoza ligi mpaka December, kuanzia January itashuka mpaka nafasi ya pili.

Hapo nafasi ya pili atadumu sana, lakini game tatu na mwisho zitahakikisha Arsenal anashuka mpaka nafasi ya 4, hiyo ndio itakua nafasi yake mpaka ligi inaisha.

Mimi sio mganga wa kienyeji bali ni mtabili mzuri tu, na tabili zangu nyingi zimewahi fanikiwa.

Kazi onayo wewe kibwengo na mapengo yako hayo ukiamini Arsenal atachukua ubingwa, imekula kwako.
 
UTABILI

Arsenal ataongoza ligi mpaka December, kuanzia January itashuka mpaka nafasi ya pili.

Hapo nafasi ya pili atadumu sana, lakini game tatu na mwisho zitahakikisha Arsenal anashuka mpaka nafasi ya 4, hiyo ndio itakua nafasi yake mpaka ligi inaisha.

Mimi sio mganga wa kienyeji bali ni mtabili mzuri tu, na tabili zangu nyingi zimewahi fanikiwa.

Kazi onayo wewe kibwengo na mapengo yako hayo ukiamini Arsenal atachukua ubingwa, imekula kwako.
Umeamua Sasa uwe mpiga ramli au Sio

Kweli uchawi Sio lazima uwe na tunguli
 
Back
Top Bottom