isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,144
- 6,563
Sina imani na Nketiah, Lokonga na Vieira. Vieira awapo uwanjani Arsenal inakuwa na wachezaji 10 pekee.
Arteta ni manager na coach kazi ya kocha ni pamoja na kurekebisha wachezaji. Martinelli anatakiwa kuambiwa mpira wa miguu ni team sport not individual sport kama tennis.
Arteta ni manager na coach kazi ya kocha ni pamoja na kurekebisha wachezaji. Martinelli anatakiwa kuambiwa mpira wa miguu ni team sport not individual sport kama tennis.