Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ukimuangalia Partey Anavocheza Unaona Mpira Ni Kazi Rahisi Ila Ukimuangalia Fred Wa Manchester United Unaona Mpira Ni Kazi Ngumu Kama Wale Wabeba Magunia
IMG_20221031_214231.jpg
 
UTABILI

Arsenal ataongoza ligi mpaka December, kuanzia January itashuka mpaka nafasi ya pili.

Hapo nafasi ya pili atadumu sana, lakini game tatu na mwisho zitahakikisha Arsenal anashuka mpaka nafasi ya 4, hiyo ndio itakua nafasi yake mpaka ligi inaisha.

Mimi sio mganga wa kienyeji bali ni mtabili mzuri tu, na tabili zangu nyingi zimewahi fanikiwa.

Kazi onayo wewe kibwengo na mapengo yako hayo ukiamini Arsenal atachukua ubingwa, imekula kwako.
Unateseka ukiwa kjiji gani hapo Malawi?
 
Man City's Riyad Mahrez on who can win the league:

"This season I think Arsenal are very good. All the top six (even Liverpool) can challenge us for the Premier League and all of the other trophies." [MEN]
 
HABARI NJEMA ,HADI SASA KIKOSI KIPO FULL ,ANAYEKOSEKANA NI SMITH ROWE TU


Arteta says Saka is "fine" and is available tomorrow.

He says Elneny is in a very good way after training for a couple of weeks. Zinchenko has just had "one or two" sessions.
IMG_20221102_184930.jpg
 
Arsenal kikosi chote kimefanya mazoezi ,anayekosekana Ni Smith Rowe TU



Saka, Zinchenko, and Elneny are in #Arsenal training this afternoon at London Colney. [@TomCantonMedia] #afcView attachment 2405203View attachment 2405205View attachment 2405206
Arsenal hii inapunguza sana stress

Zinchenko kama pengo lake halikuwepo vile
Na anarudi kuuwasha moto alipoishia

Maji waita mma mwaka huu

Saka kesho atapumzishwa ili jpil awe fit 100%

Chelshe mtaamua wenyewe mpigwe ngapi
 
KUTOKA TELEGRAPH , JANUARY ARSENAL KUSHUSHA WINGER NA KIUNGO


Mikel Arteta would welcome a winger in January to add competition in the forward areas. He has also looked at a central midfielder, but Aston Villa’s Douglas Luiz is no longer available. Palmeiras’ Danilo has also been considered in the central role. [@mcgrathmike] #afc
 
Halafu Kuna Kenge inakwambia Arsenal ana kikos finyu ,dah

Arsenal ana uhaba Sehemu moja tu ,Proper backup ya Partey , Sasa karejea Elneny


Sasa imagine Zinny hakuwepo lkn Kama hakuna kilichokuwa kinakosekana

Zile beki zetu zote zinacheza karibu kila nafasi had DM ,

Sub una Turner GK

Smith Rowe

Fabio vieira

Zinny

Tierney

Elneny

Nelson

Nketiah

JANUARY ZINASHUKA MASHINE MBILI
Mkuu ata dunia ifike level gani wajinga hawata isha
Ata tukiamua kuwaangamiza na petrol, hatutaweza kuwamaliza
 
ARTETA AMEJIBU KUHUSU UVUMI WA BARCA KUMTAKA


Arteta brushes off the latest Barcelona links.

Says he is "proud and happy" at Arsenal and then praises "phenomenal" Xavi.
 
Martinelli on his contract extension with Arsenal -

"I just need a pen"

Via @sr_collings View attachment 2405273
Hili dogo ndio maana nàlikubali sana

Na jinsi vilabu vya ulaya vilivyomkata, alafu arsenal wakaona kipaji kwenye miguu yake. Amazing sana
Kama martinel ataondoka basi kwenye miaka 30+. Sio leo wala kesho
 
Back
Top Bottom