Wewe jamaa akili yako sijawahi kuielewa
Hivi nimefananisha hapo? Kwann hujajibu hoja Basi ,City ana squad ya wachezaji wangapi Kama unajua?
Nimeweka statement kabisa, Arsenal anakaribia kuwa na Quality kubwa ,nikaonesha Sehemu zenye Quality na sehemu zenye mapungufu
Lakini Cha ajabu wewe umekuja Direct unadai nimefananisha Arsenal na city squad ,Kwanini kichwa chako huwa kigumu
Nimeeleeza kabisa hapo Arsenal ana squad ya wachezaji 24-25 sawa na city , nikaanza kuelezea Kwanini Hao city mnaosema Wana quality had bench , nikaeleza asilimia 90 ya wachezaji wa city wanacheza Zaidi ya nafasi 3 ,hivo kwa mbumbumbu wa soka atadhan City ana kikos Cha wachezaji 30 Kama man u
Nikaeleza Arsenal tunaelekea huko ,nikionesha maeneo gani yana upungufu
Maana Arteta inajulikana anatumia Sana ideas za Pep ,
Project ya Arteta baada ya madirisha mawili itakuwa imekamilika kila Eneo kuwa na Quality player like cityzen
Cha ajabu wewe umekimbilia kunishutumu ,oho nimefananisha Arsenal squad na city ,
Mipango ya Arsenal ilikuwa aletwe Raphina ,alipokosekana hawakutaka Tena kurudi Sokon had wapate mtu sahihi
Nikauliza swali Pepe ana ubaya gan wakuwa backup?Pepe ana tofaut gan na Anthony wa Man u pale, Lkn why wamemtimua Pepe wakaona Bora wabaki na saka Martinell Jesus ambao wanaweza kucheza hizo nafasi vzr ,huku wakisubiri dirisha lingine waongeze winger anayecheza nafasi 2-3.
Wewe unawaona wabovu lokonga na nketiah ,lkn hufahamu Lokonga Ni 3rd choice , Nketiah as backup Hana ubovu huo ,na hapo Arsenal haijaongeza winger ambaye atakuwa na sifa za kuchafua Nafas zote 3