Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

MANAGER OF THE OCTOBER MONTH is…..


My Manager MIKEL ARMATRIAN ARTETA. .

P - 5 games
W - 4 games
D - 1 Game
L - 0 games

Goals Scored - 13 goals.
Goals Conceded - 4 goals.
Clean sheets - 2 clean sheets.


Ukibisha Nakutumia Msimamo wa EPL.
 
Au kisa ivyo vigolo viwili vya kutap ..punguza jazba
Halafu mm nimemshangaa Sana, Mimi...nime comment Tena baada ya Nelson kufunga goli ,yeye anadhan nimemponda

Mimi nikasumba moja ,sipondag wachezaji wetu, nitatoa analysis tu


Nelson anahitaji muda aelewe jinsi ya kucheza kwenye touchline

Nelson amekuwa muhanga wa majeruhi na kutolewa mikopo, ila Nelson ana kipaji kikubwa tu,
 
Arsenal’s home record across all competitions this season:

WWWWWWWW

◉ Goals scored: 23
◉ Goals conceded: 7
◉ Clean sheets: 3

The Emirates is a fortress.
Watu mna records.....noma sana....
 
HUYU DOGO KIPAJI ANACHO, ILA KUNA MUDA MAJERUHI, HAJATULIA NA ARTETA KWA MUDA MREFU KAMA SAKA NA MARTINEL

“We think the potential is there and we think we’ve seen something in Reiss that is special. "

- Mikel Arteta on Reiss Nelson on October 5th 2022
 
“Hopefully not (WC in doubt). It was a bad kick.From the beginning, he was limping, but I don’t see any further than that. Let’s see in the next couple of days. I think both (foot & ankle injury). He got kicked a few times ”

- Arteta on Sakas injury
 
JESUS KAWA MOTM ,

HAJAFUNGA ILA KAZI YAKE NI HATARI ,

️ @gabrieljesus9 | MotM -

Arsenal 5-0 Nottingham Forest

Key passes - 4
Assists - 2
Shots - 7
Aerial duels won - 2
Tackles - 3
Interceptions - 1
Rating - 9.19
IMG_-wrwgc7.jpg
 
Halafu mm nimemshangaa Sana, Mimi...nime comment Tena baada ya Nelson kufunga goli ,yeye anadhan nimemponda

Mimi nikasumba moja ,sipondag wachezaji wetu, nitatoa analysis tu


Nelson anahitaji muda aelewe jinsi ya kucheza kwenye touchline

Nelson amekuwa muhanga wa majeruhi na kutolewa mikopo, ila Nelson ana kipaji kikubwa tu,
Hajielewi huyo anafikiria sisi tunababaika na mchezaji wa kufunga mechi moja
 
Halafu mm nimemshangaa Sana, Mimi...nime comment Tena baada ya Nelson kufunga goli ,yeye anadhan nimemponda

Mimi nikasumba moja ,sipondag wachezaji wetu, nitatoa analysis tu


Nelson anahitaji muda aelewe jinsi ya kucheza kwenye touchline

Nelson amekuwa muhanga wa majeruhi na kutolewa mikopo, ila Nelson ana kipaji kikubwa tu,
You commented before Nelson scored, though the way Arsenal anacheza unaijua vizuri sana... Nelson hawezi kuwa Saka, so usitegemee atakupa Saka performance.. Ila ana vitu vyake vyakutupa pale atakapoitajika
 
Oi achana kubishana na Hawa watu, ukiona mtu anaporomosha matusi achana nae usimjibu, watu Wana stress za maisha, wanatafuta pakumzikia

Tusi gan umri huu hatujatukanwa? Watu Wana matatizo ya afya ya akili, plus stress za maisha
Sawa naona kijana ana panic sana😂😂😂
 
Back
Top Bottom