Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kibatari chenu kitazimika lini au hadi mkutane na wababe wa ligi
 
Kibatari chenu kitazimika lini au hadi mkutane na wababe wa ligi
Mech ngumu ilikuwa ya Liverpool ,jamaa Wana press Sana,

Mancity press yao sio Kama ya Liverpool, hata man u aliweza kui beat press ya Mancity

Naona Graham Potter kawaletea mpira mzuri , Mendy karud bench ,kepa kala shavu, dah maisha haya🤣🤣
 
Hio takwimu yako inaonyesha kila baada ya mechi 5 za ushindi mnaongwa mechi moja, hivyo mjiandae kisaikolojia kabisa kua mechi inayofata natakiwa mchezee.
Dah ,Flano hujawahi kuishiwa maneno

Mech 3 zijazo

Man u mkitoboa Basi nitaamini Ten hagg ana upepo mkali

Jana kwa Everton ilikuwa JINI KATOKA ILA MGANGA HOI
 
✅ Correct decision

Stephen Warnock says the Gabriel Magalhães penalty incident against Liverpool was NOT a penalty. ❌
 
Gabriel Martinelli announces his plan on future: “I want to stay at Arsenal, of course”. 🚨⚪️🔴 #AFC

“We are talking [about new deal] so let’s see what is going to happen, but I want to stay at Arsenal, of course”, quotes via @gunnerblog.
 
ARTETA BADO ANAMTAKA MANUEL LOCATEL ,JE ATATUSAIDIA?


Arsenal ni miongoni mwa timu zinazotaka kumsajili Locatelli na hawana tatizo la kulipa ada inayohitajika ambayo kwa vyovyote vile haitakuwa chini ya bei ya ununuzi, ambayo ni karibu euro milioni 40.

(@ilbianconerocom )🌖
 
Manuel Locatel 24

Danilo 22

Douglas Luiz 24

HIZI NDIO REPLACEMENT ZA XHAKA PARTEY



🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Ramsdale 24
🇯🇵 Tomiyasu 23
🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 White 25
🇧🇷 Gabriel 24
🇫🇷 Saliba 21
🏴󠁧󠁢󠁳󠁣󠁴󠁿 Tierney 25
🇺🇦 Zinchenko 25
🇧🇪 Lokonga 22
🇳🇴 Ødegaard 23
🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 ESR 22
🇵🇹 Vieira 22
🇧🇷 Marquinhos 19
🇧🇷 Martinelli 21
🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Saka 21
🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Nketiah 23
🇧🇷 Jesus 25
 
ARTETA BADO ANAMTAKA MANUEL LOCATEL ,JE ATATUSAIDIA?


Arsenal ni miongoni mwa timu zinazotaka kumsajili Locatelli na hawana tatizo la kulipa ada inayohitajika ambayo kwa vyovyote vile haitakuwa chini ya bei ya ununuzi, ambayo ni karibu euro milioni 40.

(@ilbianconerocom )🌖
height inahitajika kwenye opponent box, crosses are no threats with current heights imagine G Jesus is 1.75ft while Locateli is 1.85ft wakati lile JINI la Man City Haaland ni 1.95ft
 
Gabriel Martinelli announces his plan on future: “I want to stay at Arsenal, of course”. 🚨⚪️🔴 #AFC

“We are talking [about new deal] so let’s see what is going to happen, but I want to stay at Arsenal, of course”, quotes via @gunnerblog.
Chelsea is closely monitoring the situation of Brazilian at Arsenal
 
Mech ngumu ilikuwa ya Liverpool ,jamaa Wana press Sana,

Mancity press yao sio Kama ya Liverpool, hata man u aliweza kui beat press ya Mancity

Naona Graham Potter kawaletea mpira mzuri , Mendy karud bench ,kepa kala shavu, dah maisha haya🤣🤣
Liverpool ya mwaka huu haina lolote, wachezaji wao muhimu wote wako kwenye poor form kuanzia VVD, TAA, Salah, Fabinho, Jota, Nunez kaja na moto ukazimika ghafla. Hakuna timu pale, hadi form zao zirudi wanaume wameshajihudumia pale
 
Chelsea is closely monitoring the situation of Brazilian at Arsenal
Naiman atasain mkataba mpya, anajua alikotolewa na Arsenal, alizunguka ulaya nzima anafanya trial anakataliwa, alienda man u ,Barca ,timu za Italy wakamkataa, akaamua arudi zake Brazil timu yake Ituano daraja la 4, Edu akapata Kaz arsenal akamwambia tangulia nitakukuta,.

So Anajua alikopitia , soon atasaini

Maana huyu tajiri wenu hakawii kuweka Mzigo mezani

Huyu Toddy sijui ana hela za ngada
 
Liverpool ya mwaka huu haina lolote, wachezaji wao muhimu wote wako kwenye poor form kuanzia VVD, TAA, Salah, Fabinho, Jota, Nunez kaja na moto ukazimika ghafla. Hakuna timu pale, hadi form zao zirudi wanaume wameshajihudumia pale
Next match wapo na city ,

Sijui wanatokaje hapa, salah kaanza kuisha last season ,Ni vile mashabik hatufanyi analysis , alifunga magoli mengi round ya 1, round ya pili Kama sikosei alifunga mech 2 tu out of 19, dhidi ya man u na mech ya mwisho ya Ligi
But alifichwa na goli nying za round ya 1 ,

Mech nying alizibeba mane
 
🚨Arsenal have already opened talks to renew Gabriel Martinelli's contract. The London club's idea is to extend the player's contract from June 2024 to June 2028.


(@brunoandrd) 🌕 -TIER1
 
Kuna kampeni inatembea kumpa support Gabriel kutokana na makosa madogo yanayojitokezaga ..ngoja nitume humu muone jinsi wenzetu huwapa support wachezaji wetu ..*✍️✍️✍️✍️
IMG-20221010-WA0025.jpg

IMG-20221010-WA0023.jpg


IMG-20221010-WA0022.jpg

IMG-20221010-WA0021.jpg
 
Back
Top Bottom