Mech ngumu ilikuwa ya Liverpool ,jamaa Wana press Sana,Kibatari chenu kitazimika lini au hadi mkutane na wababe wa ligi
Dah ,Flano hujawahi kuishiwa manenoHio takwimu yako inaonyesha kila baada ya mechi 5 za ushindi mnaongwa mechi moja, hivyo mjiandae kisaikolojia kabisa kua mechi inayofata natakiwa mchezee.
Happy mwendo mdundo Hadi January , mech na city tunakutana after world cup then tunaingia round ya 2Kibatari chenu kitazimika lini au hadi mkutane na wababe wa ligi
height inahitajika kwenye opponent box, crosses are no threats with current heights imagine G Jesus is 1.75ft while Locateli is 1.85ft wakati lile JINI la Man City Haaland ni 1.95ftARTETA BADO ANAMTAKA MANUEL LOCATEL ,JE ATATUSAIDIA?
Arsenal ni miongoni mwa timu zinazotaka kumsajili Locatelli na hawana tatizo la kulipa ada inayohitajika ambayo kwa vyovyote vile haitakuwa chini ya bei ya ununuzi, ambayo ni karibu euro milioni 40.
(@ilbianconerocom )🌖
Chelsea is closely monitoring the situation of Brazilian at ArsenalGabriel Martinelli announces his plan on future: “I want to stay at Arsenal, of course”. 🚨⚪️🔴 #AFC
“We are talking [about new deal] so let’s see what is going to happen, but I want to stay at Arsenal, of course”, quotes via @gunnerblog.
Liverpool ya mwaka huu haina lolote, wachezaji wao muhimu wote wako kwenye poor form kuanzia VVD, TAA, Salah, Fabinho, Jota, Nunez kaja na moto ukazimika ghafla. Hakuna timu pale, hadi form zao zirudi wanaume wameshajihudumia paleMech ngumu ilikuwa ya Liverpool ,jamaa Wana press Sana,
Mancity press yao sio Kama ya Liverpool, hata man u aliweza kui beat press ya Mancity
Naona Graham Potter kawaletea mpira mzuri , Mendy karud bench ,kepa kala shavu, dah maisha haya🤣🤣
Locatel kumbuka Ni kiungo hasa box to box MDheight inahitajika kwenye opponent box, crosses are no threats with current heights imagine G Jesus is 1.75ft while Locateli is 1.85ft wakati lile JINI la Man City Haaland ni 1.95ft
Naiman atasain mkataba mpya, anajua alikotolewa na Arsenal, alizunguka ulaya nzima anafanya trial anakataliwa, alienda man u ,Barca ,timu za Italy wakamkataa, akaamua arudi zake Brazil timu yake Ituano daraja la 4, Edu akapata Kaz arsenal akamwambia tangulia nitakukuta,.Chelsea is closely monitoring the situation of Brazilian at Arsenal
Next match wapo na city ,Liverpool ya mwaka huu haina lolote, wachezaji wao muhimu wote wako kwenye poor form kuanzia VVD, TAA, Salah, Fabinho, Jota, Nunez kaja na moto ukazimika ghafla. Hakuna timu pale, hadi form zao zirudi wanaume wameshajihudumia pale
Anamtetea mbrazil mwenzieOna firmino anavyomuangalia Henderson inaonekana kasema kitu offensive kwa gabriel
View attachment 2382090
Sasa hivi tumeambiwa mpaka tuchukue ubingwa ndiyo watajua tupo seriousWatasema nn tena
Kuna video imeleak akimcrash Manager ArtetaHivi mmemuelewa AUBA?View attachment 2382838