Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yaan unabaki unacheka tu, mech na totenham ,kosa lilifanywa na saka na xhaka, hata Kuna statement xhaka ameomba msamaha kwa Lile goli, Cha ajabu anatukanwa Gab, jiulize ile penalty angewin tackle, halafu je walitaka aache?

Haya leo ,ule mpira kaukosa ,Ni kawaida kwa mchezaji, but anashambuliwa ,uzuri Arteta hawasikilizi

Ndio Hawa Hawa hawakutaka Jesus, n.k wasajiriwe

Leo kabla ya mech mashabiki walikuwa wanatukana kwann kaanza Tomiyasu wakat nje kuna Tierny, after match wanamsifia Tomiyasu kumkaba vzr Salah

Gabriel ana mapungufu Ni kweli, lkn sio kumbull ,wachezaji wetu wengi wachanga ,wanahitaji kupewa moyo ,


Ode alikuja loan Arsenal alimaliza na goal 1, Arteta akataka amnunue jumla alitukanwa Sana ,now ode Ndiye captain na mchezaji muhimu

Pale kwa mfumo wa Arteta lazima acheze na LCB, na hatuna Zaidi ya Gab ,

Tunaweza kuleta lcb bado akawa afadhali ya Gab ,

Timu gan icheze isifungwe magoli? Siku akicheza vzr magoli yanapitiaga kwa Nan?
Hamisi ndugu yangu nakukubali sana na unajua my friend but kwa hili punguza maneno( YOU BETTER KEEP YOUR MOUTH SHUT ) ushabiki uzivunge viwango namna hii wote tunaipenda Arsenal but kwenye ukweli lazima usemwe

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Hamisi ndugu yangu nakukubali sana na unajua my friend but kwa hili punguza maneno( YOU BETTER KEEP YOUR MOUTH SHUT ) ushabiki uzivunge viwango namna hii wote tunaipenda Arsenal but kwenye ukweli lazima usemwe

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Ungejibu kwa hoja sio kusema nipunguze maneno, nakumbuka ndio wewe ulimponda Sana Jesus humu,


Swala la gab kukosea Ni kweli, ila Sion Kama mnavyodai , hebu wewe tueleze hayo makosa angefanyaje? Leta analysis angefanyaje kuyaondoa halafu tupime

Nimekupa mfano wa Goli dhidi ya Spurs aliyekosekana Ni Xhaka na aliomba msamaha ,Kama unabisha statement IPO

Gab anajulikana Ni mzito, Lakini Ndiye usajiri ambao Arteta humuambii kitu, anajua anampa Nini kwenye timu


Naona wengine mnadai arudi holding ,mara White acheze na Saliba

Mnasahau Arteta kamwe hawez kucheza bila LCB labda Gab awe injury


Hata Martinez alimtaka awe LB backup

Makosa kwa binadamu yapo ,niambie beki gan LCB Bora Duniani ,tukuletee makosa yake hapa .

Most of players mliwakataa Sana hamkutaka hata wasajiriwe , uzuri Arteta hasikilizi au kusajiri kwa mihemko ya mashabiki ,

Madirisha yajayo sitashangaa Nguvu kubwa ikiwekezwa kwa DM na wingers ,
 
Gabriel Martinelli has scored or assisted in six of his last seven Premier League home games:

⚽️ vs. Leeds United
⚽️🅰️ vs. Everton
⚽️ vs. Leicester
⭕️ vs. Fulham
⚽️ vs. Aston Villa
🅰️ vs. Spurs
⚽🅰️vs. Liverpool

Full-backs on toast at the Emirates. 🍞
 
Games played vs the top 6 so far:
Arsenal: 3
Tottenham: 2
Liverpool: 2
Manchester United 2
Manchester City: 1
Chelsea: 1

We're top of the league, Yet somehow it's Arsenal with easy fixtures and is yet to face a real test.
 
Kuna watu walitaka Arteta out?

Pale Emirates hajawahi hata kunyanyuliwa bango moja la Arteta out

Zaidi Kuna mabango ya kumtia moyo na kumsifia
Nimesema hapa jamvini wapo walodai pale mwanzoni "Arteta Out".

Hata pale Emirates mimi mwenyewe niliona mabango pale Arsenal ilipopoteza mechi tatu za mwanzo na kushika mkia.

Sasa mambo yaenda uzuri, tuzidi kuipa support timu yetu.

COYGs!!
 
Sky Sports |

Kilichotokea uwanjani kati ya Henderson, Xhaka na Gabriel baada ya Arsenal kupata penati, ni kwa sababu Henderson alimuita Gabriel kuwa ni "n°y°a°n°i".

Taarifa rasmi kutoka Shirikisho la Soka la England:

“Tunafahamu tukio lililotokea uwanjani kati ya Arsenal na Liverpool. Tunawasiliana na mwamuzi wa mechi na waamuzi wengine waliokuwepo kwenye mechi hiyo na tutapitia maelezo ya tukio hilo.”
 
Nimesema hapa jamvini wapo walodai pale mwanzoni "Arteta Out".

Hata pale Emirates mimi mwenyewe niliona mabango pale Arsenal ilipopoteza mechi tatu za mwanzo na kushika mkia.

Sasa mambo yaenda uzuri, tuzidi kuipa support timu yetu.

COYGs!!
Arteta hajawahi kubebewa mabango pale Emirates ,labda na mashabiki wa mitandaon
 
Nimesema hapa jamvini wapo walodai pale mwanzoni "Arteta Out".

Hata pale Emirates mimi mwenyewe niliona mabango pale Arsenal ilipopoteza mechi tatu za mwanzo na kushika mkia.

Sasa mambo yaenda uzuri, tuzidi kuipa support timu yetu.

COYGs!!
Ndivyo mashabiki walivyo worldwide, ukipoteza mechi nne mfululizo lazima mabango yaanze na ndio maana wanasema kuwa kocha ni kazi ngumu sana.

Xhaka alipoteza connection na mashabiki, leo hii wanaanza kuimba jina lake hadi mwenyewe anashangaa, mpira haukupi mda kama unafanya vibaya, utaambiwa upishe wengine wenye vision tofauti.

Huyo Gabi akiendelea hivi na maboko hata Arteta atamuweka bench, ni mzito, hayupo fluid kama wenzake, his reading of the game is poor. Kocha atamtetea coz ni chaguo lake, hadi pale atakapoona maboko yamezidi nae atawekwa pembeni.

Partey kuwa injured kila mara pamoja na uwezo wake mashabiki hawafurahi, wanataka replacement/competitor. Soka sio game ya kubembelezana.

COYG!
 
Ndivyo mashabiki walivyo worldwide, ukipoteza mechi nne mfululizo lazima mabango yaanze na ndio maana wanasema kuwa kocha ni kazi ngumu sana.

Xhaka alipoteza connection na mashabiki, leo hii wanaanza kuimba jina lake hadi mwenyewe anashangaa, mpira haukupi mda kama unafanya vibaya, utaambiwa upishe wengine wenye vision tofauti.

Huyo Gabi akiendelea hivi na maboko hata Arteta atamuweka bench, ni mzito, hayupo fluid kama wenzake, his reading of the game is poor. Kocha atamtetea coz ni chaguo lake, hadi pale atakapoona maboko yamezidi nae atawekwa pembeni.

Partey kuwa injured kila mara pamoja na uwezo wake mashabiki hawafurahi, wanataka replacement/competitor. Soka sio game ya kubembelezana.

COYG!
Arteta hajawahi kubebewa mabango ya out Emirates

Kama Kuna ushahidi naombeni

Ni Kocha anayepewa sapoti na mashabiki since day one
 
Geoff Shreeves:

"Ni ngumu kugawanyika hi Tuzo, lakini Mchezaji Bora wa Mechi inaenda kwa Gabriel [Martinelli]!"

Bukayo Saka: “Ni sawa! Amenipa bao leo kwa hivyo nimpe hii”

These two 😍❤️ #afc
IMG_20221010_070527.jpg
 
Huyo firmino hata kumaliza goli kumi kwa msimu ni mtihani
vvd hakuna kitu
salah hakuna kitu
TAA ni uchochoro

Ngoja kesho watu wapewe hesabu za umri ndio utaelewa nini namaanisha
nilijisemea kitambo
 
Ndivyo mashabiki walivyo worldwide, ukipoteza mechi nne mfululizo lazima mabango yaanze na ndio maana wanasema kuwa kocha ni kazi ngumu sana.

Xhaka alipoteza connection na mashabiki, leo hii wanaanza kuimba jina lake hadi mwenyewe anashangaa, mpira haukupi mda kama unafanya vibaya, utaambiwa upishe wengine wenye vision tofauti.

Huyo Gabi akiendelea hivi na maboko hata Arteta atamuweka bench, ni mzito, hayupo fluid kama wenzake, his reading of the game is poor. Kocha atamtetea coz ni chaguo lake, hadi pale atakapoona maboko yamezidi nae atawekwa pembeni.

Partey kuwa injured kila mara pamoja na uwezo wake mashabiki hawafurahi, wanataka replacement/competitor. Soka sio game ya kubembelezana.

COYG!
Kifupi tuseme kkocha ana imani nae, anaamini atabadilika.

Na hivi ndivyo mpira ulivyo, kila mmoja na maoni yake, wengi tunaona gab anatuzingua ila kocha bado anamtumia.
 
Arteta hajawahi kubebewa mabango ya out Emirates

Kama Kuna ushahidi naombeni

Ni Kocha anayepewa sapoti na mashabiki since day one
Ninachosema ni kuwa soka haikupi mda wa kujipanga, ukikosea kidogo tu unakuwa unfavourable kwa mashabiki. Leo hii Klopp pamoja na achievement zote, tayari wanaanza kumchoka.
 
Kifupi tuseme kkocha ana imani nae, anaamini atabadilika.

Na hivi ndivyo mpira ulivyo, kila mmoja na maoni yake, wengi tunaona gab anatuzingua ila kocha bado anamtumia.
Yeah, na kila kocha anakuwa na watu wake. Alimuamini Xhaka, akamuomba asiondoke, leo hii Xhaka anaanza kuwa fan favourite. Binafsi arsenal haina beki kiongozi, Saliba anataka kuongozwa, hata juzi Gallas alisema anahofia ukuaji wa Saliba coz Arsenal haina beki kiongozi.
 
Yeah, na kila kocha anakuwa na watu wake. Alimuamini Xhaka, akamuomba asiondoke, leo hii Xhaka anaanza kuwa fan favourite. Binafsi arsenal haina beki kiongozi, Saliba anataka kuongozwa, hata juzi Gallas alisema anahofia ukuaji wa Saliba coz Arsenal haina beki kiongozi.
Kuna jambo aliliona, xhaka alikjwa akitumika ndivyo sivyo,
Huenda saliba akabadilika, safu ya ulinzi ikikosa kiongozi ni hatari.
 
Yeah, na kila kocha anakuwa na watu wake. Alimuamini Xhaka, akamuomba asiondoke, leo hii Xhaka anaanza kuwa fan favourite. Binafsi arsenal haina beki kiongozi, Saliba anataka kuongozwa, hata juzi Gallas alisema anahofia ukuaji wa Saliba coz Arsenal haina beki kiongozi.
Unamsikiliza Gallas ambaye alikuwa anashinda daily anamponda Arteta ?

Saliba ana kariba ya uongoz ,labda Kama umeanza kumuangalia Jana

Dogo ana kila kitu Kama beki,had height yupo njema, ndio maana wanamfananisha na VVD , ila Arteta kasema anatikwa kutengeneza career yake yeye Kama yeye
 
Back
Top Bottom