Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,701
- 13,671
Unahamisha tu magoli.Nyie mambanga tunawasubiri novemba tuwanywe supu. Hamuna timu ya kubeba ubingwa nyie takataka.
Unahamisha tu magoli.Nyie mambanga tunawasubiri novemba tuwanywe supu. Hamuna timu ya kubeba ubingwa nyie takataka.
Saa hii ndio ratiba ngumu haha unacheza na timu za mtaani uko ulaya ..eti timu inaitwa FK BODO ndo unaita hii ratiba ngumu hahahah🤣🤣🤣🤣 kweli hii arse8 bado timu ndogo sana.Arsenal ana Ratiba ngumu OCTOBER hawez kutoboa
WACHAMBUZI UCHWARA WA BONGO BHANA
Arsenal’s next six fixtures:
FK Bodø/Glimt A
Leeds A
PSV Eindhoven H
Southampton A
PSV Eindhoven A
Nottingham Forest H
#afc
Tukiweka ushabiki pembeni .. huu msimu hubebi point hata moja kwa Chelsea.Unahamisha tu magoli.
Livakuku hii takataka?? Kwa wewe unaona kabisa utaweza shindana na city ama Chelsea? Kweli maskini akipata matacko ulia mbwata.Jumapili tupo away na Leeds yatupasa tukaze tushinde,naamini Liverpool atamkazia city pale Anfield,Inshalah 🙏🏾#coyg
@OllaChuga Oc hiyo Bodo alimpiga Roma na Mourinho wao goli 6 kwa 1 last seasonSaa hii ndio ratiba ngumu haha unacheza na timu za mtaani uko ulaya ..eti timu inaitwa FK BODO ndo unaita hii ratiba ngumu hahahahkweli hii arse8 bado timu ndogo sana.
Kweli ..basi inaoneoana wako vizuri. Ila ata iyo Roma ishajichokea hamuna timu pale..@OllaChuga Oc hiyo Bodo alimpiga Roma na Mourinho wao goli 6 kwa 1 last season
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
We jamaa kichwani mwako zero kabisa, afu sio kila comment lazima uchangie unajiaibishaKweli ..basi inaoneoana wako vizuri. Ila ata iyo Roma ishajichokea hamuna timu pale..
Hahahaha unaniwaza mimi🤣🤣🤣🤣🤣We jamaa kichwani mwako zero kabisa, afu sio kila comment lazima uchangie unajiaibisha
Sawa......siku ya deni huwa haikawii kucha.Tukiweka ushabiki pembeni .. huu msimu hubebi point hata moja kwa Chelsea.
Livakuku msimu ulopita hajabeba point hata moja kwetu. (Ukiondoa zile finales) kwa sasa hii Livakuku ni takataka hamna timu pale adi ninyi arse8 munajipigia tu halafu ulikuwa “unapata uchungu?” Iv mwanaume na yeye anapataga uchungu? Halafu umeona jana tumemnywa Ac milan ..jipangeni sana moto unakuja. Taratiiibu hatuna haraka sisiSijui kwanini watu wanawachukulia Liverpool kiwepesi, labda sababu wapo 10th, binafsi naona mechi yetu dhidi ya Spurs hata kabla ya red card ilikuwa nyepesi kuliko mechi dhidi ya Liverpool. Mechi dhidi ya liverpool ilikuwa ON hadi dakika ya mwisho.
Kitu ambacho Klopp alistruggle dhidi ya Arsenal ni utengenezaji wa nafasi, liverpool walirecord the least XG ndani ya misimu miwili, forward hawakuwa na tatizo kwenye finishing, nafasi nyingi walitengeza kutoka deep lengo lilikuwa kuexploit Arsenal's high line kwa kumtegemea TAA/ henderson, baada ya kutoka TAA approach ya Mikel ilibadilika akajiamini zaidi kushambulia. So Liverpool si wepesi sababu wamefungwa na Arsenal, Liverpool si wepesi km Ollachuga unavyotuaminisha, wakiwa fully fit utahitaji kuwa organized mwanzo hadi mwisho ili kuwafunga.
Kama shabiki wa Liverpool unaiona hii Liverpool ni mbovu basi ujue tu Arsenal tushacheza Anfield na backline ya Sokratis, Bellerin, Mustafi, lichsteiner mzee kutoka Juve, kocha akiwa Unai emery, midfield kuna Guendouz, LT11, foward tukiwa na lacazette, benchi yupo Joe willock , Firmino anafinya anavyojisikia, Mo Salah anapiga anavyojisikia, ilikuwa inatia uchungu sana.
Kila mtu ashinde mechi zake, ya Liverpool na Man city waachie wenyeweJumapili tupo away na Leeds yatupasa tukaze tushinde,naamini Liverpool atamkazia city pale Anfield,Inshalah 🙏🏾#coyg
Alibeba point, labda kama ulimaanisha point 3Livakuku msimu ulopita hajabeba point hata moja kwetu. (Ukiondoa zile finales) kwa sasa hii Livakuku ni takataka hamna timu pale adi ninyi arse8 munajipigia tu halafu ulikuwa “unapata uchungu?” Iv mwanaume na yeye anapataga uchungu? Halafu umeona jana tumemnywa Ac milan ..jipangeni sana moto unakuja. Taratiiibu hatuna haraka sisi
#CFC💙💙💙
Gabriel huyo ni beki hatari sana, hajui namna ya kufanya clean tackle. Kusababisha penalty ni jambo la kawaida kwakeDear Arsenal Fans...👂
Naona Asilimia Kubwa Yetu tumetumia Wiki hizo Mbili Kumtupia Lawama GABRIEL MAGALHAES..
KWANZA KABISA Nakiri Hata mim Gabriel Amekuwa Beki mwenye Makosa mengi mno Ya Kujirudia na anahitaji Kurekebisha Pale Anapokosea ili awe Bora Zaidi.
Lakin Ukiangalia Mpira Kama Mtu Mwenye upeo utagundua Kwanza pale Arsenal Hakuna Namba 4 yaani beki anakaba Tough na Haogopi Kama Yeye..Yan Kwa kifupi Saliba White na Holding ni aina moja ya Mabeki no 5 yan wanausoma Mchezo na kuspweep na kupanga Team kwa ujumla
Ila Gabriel Yeye anatumwa kufanya kazi ndo maana mnaona Makosa yake Mara kwa mara ingawa sio lazima akosee..Leo Arsenal Wakicheza na Team Yeyote Kubwa mfano City Liverpool Spurs na Chelsea Bas Kaz Yote ya Hao Top Strikers Halaand Auba Kane na Kina Mitrovic mara nyingi ataifanya Gabriel..
Jaribu Kuvuta Picha Hakuna Goli bila makosa na Jaribu Kujiuliza Tena Huwa ukiangalia Mechi za Arsenal ni Beki gan anayeenda kwenye battle nyingi kuliko Gabriel tena Battle na world class Players...
Ukitumia Muda mwingi Kukimbizana Kukaba ni rahisi sana kufanya makosa ndo maana Ukiangalia Namba 5 weng wanaonekana Smart sana sababu muda mwingi wao wanasoma mchezo kuliko Kukaba..wanakaba mara chache sana na wao hutumia muda mwingi kichwani kuliko nguvu...
Gabriel ana nafasi kubwa tuu ya kupunguza makosa yake ila ni beki wetu Bora kwenye kukaba kwa mabeki wa kati..Labda kama Tomiyasu akija kucheza pale tuone atachezaje..Hawa wakina Holding wamekaa miaka yote wanawekwa Benchi mjue kuna sababu sio bure..
Nimejifunza sana Uvumilivu kupitia kwa Arteta,Xhaka na Baadhi Ya Wachezaji Wengi tuu ..