Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,539
- 3,860
Ila TAA hatokaa amsahau Martinel,, ata game arsenal afungwe hua anakiona chamoto
Watasema nn tenaTimu ya pili hii miongoni mwa big six tunaiweka
Ukute hata kupiga danadana hujui,huo ndio ushabiki UHAROLizito,halina kasi + maboko likoloo
Yaan unabaki unacheka tu, mech na totenham ,kosa lilifanywa na saka na xhaka, hata Kuna statement xhaka ameomba msamaha kwa Lile goli, Cha ajabu anatukanwa Gab, jiulize ile penalty angewin tackle, halafu je walitaka aache?Ukute hata kupiga danadana hujui,huo ndio ushabiki UHARO
Wewe mk...tuNyie bado ni takataka tu ..mumekutana na wachovu wavimba macho livakuku ishajichokea siyo “big six” tena.
Kaongea nini kwani?Kwa alichokifanya Henderson, kumtolea maneno machafu Gabriel inafaa avuliwe kitambaa cha unahodha na asiitwe timu ya taifa ya England na asimamishwe mechi kumi
ushabiki mwingine wa kishamba sana,eti lizito sijui halina kasi,UHARO kabisa,kama ambavyo hakuna Binadamu aliye mkamilifu kwa Asilimia Mia,vilevile hakuna mchezaji aliye sahihi kwa Asilimia Mia, mistake ni kitu cha kawaida kwenye mpiraYaan unabaki unacheka tu, mech na totenham ,kosa lilifanywa na saka na xhaka, hata Kuna statement xhaka ameomba msamaha kwa Lile goli, Cha ajabu anatukanwa Gab, jiulize ile penalty angewin tackle, halafu je walitaka aache?
Haya leo ,ule mpira kaukosa ,Ni kawaida kwa mchezaji, but anashambuliwa ,uzuri Arteta hawasikilizi
Ndio Hawa Hawa hawakutaka Jesus, n.k wasajiriwe
Leo kabla ya mech mashabiki walikuwa wanatukana kwann kaanza Tomiyasu wakat nje kuna Tierny, after match wanamsifia Tomiyasu kumkaba vzr Salah
Gabriel ana mapungufu Ni kweli, lkn sio kumbull ,wachezaji wetu wengi wachanga ,wanahitaji kupewa moyo ,
Ode alikuja loan Arsenal alimaliza na goal 1, Arteta akataka amnunue jumla alitukanwa Sana ,now ode Ndiye captain na mchezaji muhimu
Pale kwa mfumo wa Arteta lazima acheze na LCB, na hatuna Zaidi ya Gab ,
Tunaweza kuleta lcb bado akawa afadhali ya Gab ,
Timu gan icheze isifungwe magoli? Siku akicheza vzr magoli yanaoitiaga kwa Nan?
Maneno ya kibaguziKaongea nini kwani?
Nadhani kwa muda huu tunayaona makosa vizuri sababu timu imekuwa bora kila eneo, Saliba anavyocheza kwa usahihi anafanya Gabriel aonekana si kitu.Pengine labda una vision au darubin ya ku maxmize micro thing, kipindi kile unaleta hii hoja nilikua nakushangaa lakin pia kiukwel haya makosa yalikua hayaonekani mzeeameanza kuchachawa tu hapa karibuni
Hata ukimtafuta dunian LCB Bora umuweke kwa Gab ,bado Kuna magoli tutafungwaNadhani kwa muda huu tunayaona makosa vizuri sababu timu imekuwa bora kila eneo, Saliba anavyocheza kwa usahihi anafanya Gabriel aonekana si kitu.
Hii picha inaongea maneno mengi saanaOna firmino anavyomuangalia Henderson inaonekana kasema kitu offensive kwa gabriel
View attachment 2382090