Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

A very shaky defence, Saliba atafutiwe partner coz sioni improvement yoyote kwa Gabriel, kazi kutoa maboko kila mechi.

Anyway, congrats gunners.. man u, spurs, liver..walau msimu huu we're trying to make a statement.
Gabriel miguu mirefu ila hamna kitu kabisa
 
Screenshot_20221009-204627.jpg
 
Dakika 40 ndio tumecheza mpira wetu ile arsenal yenyewe
Nakumbuka game ya man u tulikua tunafunguka funguka tu kama tunacheza na mbeya city hivi

Hii game naona arteta ameingia na tahadhari ya hali ya juu
Hii tahadhari inaashiria kuna matokeo ya aina mbili tu
Liverkuku afungwe au arsenal ishinde


Haaland kiatu
Arsenal ndoo
Huwa nakukubali sana mkuu 👏
Huwa unafurahisha sana
 
Nyie bado ni takataka tu ..mumekutana na wachovu wavimba macho livakuku ishajichokea siyo “big six” tena.
 
Tumeshinda ila nafurahi kuona tunaongea lugha moja kwa Gabriel, nilivyoandika mara ya kwanza niliambiwa namchukia
Pengine labda una vision au darubin ya ku maxmize micro thing, kipindi kile unaleta hii hoja nilikua nakushangaa lakin pia kiukwel haya makosa yalikua hayaonekani mzee ameanza kuchachawa tu hapa karibuni
 
Tomiyasu ni unsung hero pale Arsenal duuh jamaa anajua,

Hivi baad ya sub ya Tierney nani alielewa tulicheza mfumo gani? maana alicheza upande ule ule aliakua anacheza Tomiyasu na Tomiyasu hakuama namba, adi sahiv sijaelewa lakin ile sub iliongeza nguvu sana kwenye ulinzi tukatulia
 
Back
Top Bottom