Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

BW ni mzuri ku carry the ball forward kwnye build up.. ila kwnye 1 vs 1 ubora wake haumfkii GM6.
 
Kuna Kitu Cha Ziada

Nadhani Kwa Sasa Hivi Bila Shaka Yeyote Huu ndo Muda wa Kusema Arsenal ina Kocha Mzuri na anafanya kazi Inaeleweka Haswaa

Ukiangalia Wengi Wetu Kuna atakayesema Mchezaji Bora Mpaka sasa ni Saliba Wengine Jesus Wengine Zichenko Wengine Odergaard Wengine Saka Wengine Martinelli wengine Xhaka mim Nitasema Partey ila kiuhalisia MTU ANASTAHILI SIFA ZOTE NI MIKEL ARTETA

Team inacheza kwa swagga inacheza na nguvu nyingi inacheza na speed inacheza na spirit na inacheza beautiful Footbal ambayo tuliikosa miaka mingi Nyuma

Skuiz Arsenal inajaza Uwanja Mashabiki wanashangilia kwa mzuka mwingi kuna muunganiko mzuri sana kati ya mashabiki na wachezaji na imani imeongezeka maradufu

ARTETA kafanya kazi kubwa sana kuhakikisha kila kitu katika team kinarud katika level iliyokuwepo na ni mtu ambaye ni mkali sana kuhakikisha malengo yanafikiwa

Ukiangalia baada ya Game kuisha wachezaji wakihojiwa kuna Upendo mkubwa sana kati yao wanaaminiana wana furaha ndani ya team na wanasaidiana kwenye lugha na kila kitu

Ukiangalia wachezaji wanaotoka Benchi wanaingia wakiwa na morali ya hali ya juu na hii inaonyesha kuwa wana Umoja na wanakubaliana na maamuzi ya Mwalimu kwa anayeanza na anayesubiria ..

Mwangalie Jesus akiwa anatoka anahamasisha wenzake wanaobakia uwanjan kuwa bado waendelee kupambana..Mwangalie Xhaka Tukiwa tumefunga goli huwa anaenda Kuongea na wachezaji uwanjan na kutoa maelekezo pale pale wakiwa wanashangilia.

Tusisahau Burudani Yote hii mpaka sasa Benchi la Ufundi Wamefanya Kazi Yao Ipasavyo..

Mfano mzuri ni Jana SALIBA,Jesus, WHITE,PARTEY,SAKA,MARTINEL,ZINCHENKO wote Hao walikuwa kwenye viwango Bora kabisa na wengine waliobaki hakuna aliyecheza vibaya maana yake ni kuwa Tuna Kocha..

MIKEL ARTETA 🙌🙌🙌
 
Kuna Kitu Cha Ziada

Nadhani Kwa Sasa Hivi Bila Shaka Yeyote Huu ndo Muda wa Kusema Arsenal ina Kocha Mzuri na anafanya kazi Inaeleweka Haswaa

Ukiangalia Wengi Wetu Kuna atakayesema Mchezaji Bora Mpaka sasa ni Saliba Wengine Jesus Wengine Zichenko Wengine Odergaard Wengine Saka Wengine Martinelli wengine Xhaka mim Nitasema Partey ila kiuhalisia MTU ANASTAHILI SIFA ZOTE NI MIKEL ARTETA

Team inacheza kwa swagga inacheza na nguvu nyingi inacheza na speed inacheza na spirit na inacheza beautiful Footbal ambayo tuliikosa miaka mingi Nyuma

Skuiz Arsenal inajaza Uwanja Mashabiki wanashangilia kwa mzuka mwingi kuna muunganiko mzuri sana kati ya mashabiki na wachezaji na imani imeongezeka maradufu

ARTETA kafanya kazi kubwa sana kuhakikisha kila kitu katika team kinarud katika level iliyokuwepo na ni mtu ambaye ni mkali sana kuhakikisha malengo yanafikiwa

Ukiangalia baada ya Game kuisha wachezaji wakihojiwa kuna Upendo mkubwa sana kati yao wanaaminiana wana furaha ndani ya team na wanasaidiana kwenye lugha na kila kitu

Ukiangalia wachezaji wanaotoka Benchi wanaingia wakiwa na morali ya hali ya juu na hii inaonyesha kuwa wana Umoja na wanakubaliana na maamuzi ya Mwalimu kwa anayeanza na anayesubiria ..

Mwangalie Jesus akiwa anatoka anahamasisha wenzake wanaobakia uwanjan kuwa bado waendelee kupambana..Mwangalie Xhaka Tukiwa tumefunga goli huwa anaenda Kuongea na wachezaji uwanjan na kutoa maelekezo pale pale wakiwa wanashangilia.

Tusisahau Burudani Yote hii mpaka sasa Benchi la Ufundi Wamefanya Kazi Yao Ipasavyo..

Mfano mzuri ni Jana SALIBA,Jesus, WHITE,PARTEY,SAKA,MARTINEL,ZINCHENKO wote Hao walikuwa kwenye viwango Bora kabisa na wengine waliobaki hakuna aliyecheza vibaya maana yake ni kuwa Tuna Kocha..

MIKEL ARTETA
Dahhh Mkuu kwenye tv niliyokuwa natazamia game yetu, Ziny hakuwepo First 11 wala sub
 
Kuna Kitu Cha Ziada

Nadhani Kwa Sasa Hivi Bila Shaka Yeyote Huu ndo Muda wa Kusema Arsenal ina Kocha Mzuri na anafanya kazi Inaeleweka Haswaa

Ukiangalia Wengi Wetu Kuna atakayesema Mchezaji Bora Mpaka sasa ni Saliba Wengine Jesus Wengine Zichenko Wengine Odergaard Wengine Saka Wengine Martinelli wengine Xhaka mim Nitasema Partey ila kiuhalisia MTU ANASTAHILI SIFA ZOTE NI MIKEL ARTETA

Team inacheza kwa swagga inacheza na nguvu nyingi inacheza na speed inacheza na spirit na inacheza beautiful Footbal ambayo tuliikosa miaka mingi Nyuma

Skuiz Arsenal inajaza Uwanja Mashabiki wanashangilia kwa mzuka mwingi kuna muunganiko mzuri sana kati ya mashabiki na wachezaji na imani imeongezeka maradufu

ARTETA kafanya kazi kubwa sana kuhakikisha kila kitu katika team kinarud katika level iliyokuwepo na ni mtu ambaye ni mkali sana kuhakikisha malengo yanafikiwa

Ukiangalia baada ya Game kuisha wachezaji wakihojiwa kuna Upendo mkubwa sana kati yao wanaaminiana wana furaha ndani ya team na wanasaidiana kwenye lugha na kila kitu

Ukiangalia wachezaji wanaotoka Benchi wanaingia wakiwa na morali ya hali ya juu na hii inaonyesha kuwa wana Umoja na wanakubaliana na maamuzi ya Mwalimu kwa anayeanza na anayesubiria ..

Mwangalie Jesus akiwa anatoka anahamasisha wenzake wanaobakia uwanjan kuwa bado waendelee kupambana..Mwangalie Xhaka Tukiwa tumefunga goli huwa anaenda Kuongea na wachezaji uwanjan na kutoa maelekezo pale pale wakiwa wanashangilia.

Tusisahau Burudani Yote hii mpaka sasa Benchi la Ufundi Wamefanya Kazi Yao Ipasavyo..

Mfano mzuri ni Jana SALIBA,Jesus, WHITE,PARTEY,SAKA,MARTINEL,ZINCHENKO wote Hao walikuwa kwenye viwango Bora kabisa na wengine waliobaki hakuna aliyecheza vibaya maana yake ni kuwa Tuna Kocha..

MIKEL ARTETA
Unajua Timu ikiwa I inafanya vizuri kila kitu kitakuwa vzr hakuna mtu atasemwa vibaya
 
Dahhh Mkuu kwenye tv niliyokuwa natazamia game yetu, Ziny hakuwepo First 11 wala sub

Hi post nilikuwa nazungumzia timu kwa ujumla, ilikuwa wiki iliyopita ,sikuipost ,nadhan sijaedit hapo mwisho

Zinny Jana alikuwa jukwaan anashangilia tu,
 
✅ 2-0 vs. Crystal Palace
✅ 4-2 vs. Leicester
✅ 3-0 vs. Bournemouth
✅ 2-1 vs. Fulham
✅ 2-1 vs. Aston Villa
❌ 3-1 vs. Man Utd
✅ 1-2 vs. FC Zürich
✅ 0-3 vs. Brentford
✅ 3-1 vs. Spurs
✅ 3-0 vs. Bodø/Glimt
✅ 3-2 vs. Liverpool

10 wins out of the first 11 for Arsenal. 📈 https://t.co/j3hnJaaWdd
 
Martinel apigwe kandarasi ya miaka 7

Pia saka, odegard, Jesus,
Dynamic flows zilizofanywa second half ilikua ngumu liverpuli kukiepuka kile kikombe

Haaland kiatu
Arsenal ndoo
IMG-20221010-WA0022.jpg
 
Arsenal had 44% possession because Liverpool had the quality to take the ball away after conceding. However, Arsenal still had almost 60% field tilt, showing how much they forced Liverpool into a lowblock, especially in the second half.

We played a really high line.
 
Martinel apigwe kandarasi ya miaka 7

Pia saka, odegard, Jesus,
Dynamic flows zilizofanywa second half ilikua ngumu liverpuli kukiepuka kile kikombe

Haaland kiatu
Arsenal ndooView attachment 2382507
Huyu dogo kwa magumu aliyopitiwa ,kukataliwa na timu za ulaya Kwenye trial atasaini soon mkataba Mwingine mrefu
 
Unakosa mambo mazuri.. arsenal ya akina Thierry Henry imerudi.
Safi sana. Jana niliibia ibia kidogo game ya Liverpool nikiwa kwenye kikao cha Harusi. Yaani kikao Cha Harusi yangu mwenyewe halafu nachomoka chomoka kizushi zushi kucheki game huku wajumbe wengine nimewaacha mezani wananisubiri. Kikao kulikuwa kirefu sana aisee
 
Safi sana. Jana niliibia ibia kidogo game ya Liverpool nikiwa kwenye kikao cha Harusi. Yaani kikao Cha Harusi yangu mwenyewe halafu nachomoka chomoka kizushi zushi kucheki game huku wajumbe wengine nimewaacha mezani wananisubiri. Kikao kulikuwa kirefu sana aisee
Pole sana. Hope utaziona mechi zijazo.
 
Safi sana. Jana niliibia ibia kidogo game ya Liverpool nikiwa kwenye kikao cha Harusi. Yaani kikao Cha Harusi yangu mwenyewe halafu nachomoka chomoka kizushi zushi kucheki game huku wajumbe wengine nimewaacha mezani wananisubiri. Kikao kulikuwa kirefu sana aisee
Hongera ndugu, na Mungu akutangulie , Arsenal kila mech inazid kuimarika ,
 
2-0 vs. Crystal Palace
4-2 vs. Leicester
3-0 vs. Bournemouth
2-1 vs. Fulham
2-1 vs. Aston Villa
3-1 vs. Man Utd
1-2 vs. FC Zürich
0-3 vs. Brentford
3-1 vs. Spurs
3-0 vs. Bodø/Glimt
3-2 vs. Liverpool

10 wins out of the first 11 for Arsenal. https://t.co/j3hnJaaWdd
Hio takwimu yako inaonyesha kila baada ya mechi 5 za ushindi mnaongwa mechi moja, hivyo mjiandae kisaikolojia kabisa kwa mechi inayofata mnatakiwa mshonwe.
 
Kuna Kitu Cha Ziada

Nadhani Kwa Sasa Hivi Bila Shaka Yeyote Huu ndo Muda wa Kusema Arsenal ina Kocha Mzuri na anafanya kazi Inaeleweka Haswaa

Ukiangalia Wengi Wetu Kuna atakayesema Mchezaji Bora Mpaka sasa ni Saliba Wengine Jesus Wengine Zichenko Wengine Odergaard Wengine Saka Wengine Martinelli wengine Xhaka mim Nitasema Partey ila kiuhalisia MTU ANASTAHILI SIFA ZOTE NI MIKEL ARTETA

Team inacheza kwa swagga inacheza na nguvu nyingi inacheza na speed inacheza na spirit na inacheza beautiful Footbal ambayo tuliikosa miaka mingi Nyuma

Skuiz Arsenal inajaza Uwanja Mashabiki wanashangilia kwa mzuka mwingi kuna muunganiko mzuri sana kati ya mashabiki na wachezaji na imani imeongezeka maradufu

ARTETA kafanya kazi kubwa sana kuhakikisha kila kitu katika team kinarud katika level iliyokuwepo na ni mtu ambaye ni mkali sana kuhakikisha malengo yanafikiwa

Ukiangalia baada ya Game kuisha wachezaji wakihojiwa kuna Upendo mkubwa sana kati yao wanaaminiana wana furaha ndani ya team na wanasaidiana kwenye lugha na kila kitu

Ukiangalia wachezaji wanaotoka Benchi wanaingia wakiwa na morali ya hali ya juu na hii inaonyesha kuwa wana Umoja na wanakubaliana na maamuzi ya Mwalimu kwa anayeanza na anayesubiria ..

Mwangalie Jesus akiwa anatoka anahamasisha wenzake wanaobakia uwanjan kuwa bado waendelee kupambana..Mwangalie Xhaka Tukiwa tumefunga goli huwa anaenda Kuongea na wachezaji uwanjan na kutoa maelekezo pale pale wakiwa wanashangilia.

Tusisahau Burudani Yote hii mpaka sasa Benchi la Ufundi Wamefanya Kazi Yao Ipasavyo..

Mfano mzuri ni Jana SALIBA,Jesus, WHITE,PARTEY,SAKA,MARTINEL,ZINCHENKO wote Hao walikuwa kwenye viwango Bora kabisa na wengine waliobaki hakuna aliyecheza vibaya maana yake ni kuwa Tuna Kocha..

MIKEL ARTETA 🙌🙌🙌
Naona Arteta kagundua alikochimbia uchawi Wenga
Bado Manyumbu hawakugundua alikochimbia uchawi Fuggy
 
Back
Top Bottom