Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

*

Fabio Vieira akimzungumzia Nuno Tavares mapema mwezi wa 7 mwaka huu:

“Nuno anasema mimi nafanana na T-Bag wa Prison Break. Oh Mungu wangu, ananiita hivyo kila wakati! Amekuwa akinitania hivyo mara zote. Zaidi au kidogo ”

😂

IMG-20221007-WA0013.jpg
 
Pep Guardiola on Manchester City’s start to the season:


“We cannot forget one thing, ladies & gentlemen, there is one team that have been better than us, this is the reality. Arsenal have been better than us, so far. We are not top of the league.” #afc
 
Pep ameamua kupiga kwenye mshono

Pep Guardiola on Manchester City’s start to the season: “We cannot forget one thing, ladies & gentlemen, there is one team that have been better than us, this is the reality. Arsenal have been better than us, so far. We are not top of the league.” #afc
 
Mnauhakika mnaenda kuwafunga Liverpool?...

Tukija kwenye uwezo wa wachezaji mmoja mmoja , Liverpool bado wanawazid mazee au mnasemaje ....

Saka vs salah ...ni vile tu Saka yupo kwenye form ila class ya salah Kila mtu anaijua...

Diaz Vs martinel ...class ya Diaz martnell anakaaa ,ni vile tu Martinel yupo kwenye form ...

Partey Vs fabihno ....mazee hapa mnajua kabisa partey yupo kwenye form ila class ya fabihno ohooooo no comment...

VVD vs saliba ...hapa Kila mtu anaona kabisa kuwa class ya vvd ni kiwango Cha stg ni vile tu Saliba moto wa gesi umewaka yupo kwenye form ...

Firmino Vs Jesus ....form ya Jesus ni moto ila class ya firmino kwenye finishing ....nyie wenyewe mnajua ...

Thiago vs xhaka ....Kila mtu anajua moto wa Thiago ila ni vile tu xhaka saizi ni moto wa kuotea mbalii



Kitakacho kuwa kinapambana jumapili ni

Forms vs class ....!!!!!
 
Mnauhakika mnaenda kuwafunga Liverpool?...

Tukija kwenye uwezo wa wachezaji mmoja mmoja , Liverpool bado wanawazid mazee au mnasemaje ....

Saka vs salah ...ni vile tu Saka yupo kwenye form ila class ya salah Kila mtu anaijua...

Diaz Vs martinel ...class ya Diaz martnell anakaaa ,ni vile tu Martinel yupo kwenye form ...

Partey Vs fabihno ....mazee hapa mnajua kabisa partey yupo kwenye form ila class ya fabihno ohooooo no comment...

VVD vs saliba ...hapa Kila mtu anaona kabisa kuwa class ya vvd ni kiwango Cha stg ni vile tu Saliba moto wa gesi umewaka yupo kwenye form ...

Firmino Vs Jesus ....form ya Jesus ni moto ila class ya firmino kwenye finishing ....nyie wenyewe mnajua ...

Thiago vs xhaka ....Kila mtu anajua moto wa Thiago ila ni vile tu xhaka saizi ni moto wa kuotea mbalii



Kitakacho kuwa kinapambana jumapili ni

Forms vs class ....
Huyo Partey, kawaulize kina de bruyne na wenzake wanamjua vizuri
 
Mnauhakika mnaenda kuwafunga Liverpool?...

Tukija kwenye uwezo wa wachezaji mmoja mmoja , Liverpool bado wanawazid mazee au mnasemaje ....

Saka vs salah ...ni vile tu Saka yupo kwenye form ila class ya salah Kila mtu anaijua...

Diaz Vs martinel ...class ya Diaz martnell anakaaa ,ni vile tu Martinel yupo kwenye form ...

Partey Vs fabihno ....mazee hapa mnajua kabisa partey yupo kwenye form ila class ya fabihno ohooooo no comment...

VVD vs saliba ...hapa Kila mtu anaona kabisa kuwa class ya vvd ni kiwango Cha stg ni vile tu Saliba moto wa gesi umewaka yupo kwenye form ...

Firmino Vs Jesus ....form ya Jesus ni moto ila class ya firmino kwenye finishing ....nyie wenyewe mnajua ...

Thiago vs xhaka ....Kila mtu anajua moto wa Thiago ila ni vile tu xhaka saizi ni moto wa kuotea mbalii



Kitakacho kuwa kinapambana jumapili ni

Forms vs class ....!!!!!
C & P
 
Mnauhakika mnaenda kuwafunga Liverpool?...

Tukija kwenye uwezo wa wachezaji mmoja mmoja , Liverpool bado wanawazid mazee au mnasemaje ....

Saka vs salah ...ni vile tu Saka yupo kwenye form ila class ya salah Kila mtu anaijua...

Diaz Vs martinel ...class ya Diaz martnell anakaaa ,ni vile tu Martinel yupo kwenye form ...

Partey Vs fabihno ....mazee hapa mnajua kabisa partey yupo kwenye form ila class ya fabihno ohooooo no comment...

VVD vs saliba ...hapa Kila mtu anaona kabisa kuwa class ya vvd ni kiwango Cha stg ni vile tu Saliba moto wa gesi umewaka yupo kwenye form ...

Firmino Vs Jesus ....form ya Jesus ni moto ila class ya firmino kwenye finishing ....nyie wenyewe mnajua ...

Thiago vs xhaka ....Kila mtu anajua moto wa Thiago ila ni vile tu xhaka saizi ni moto wa kuotea mbalii



Kitakacho kuwa kinapambana jumapili ni

Forms vs class ....!!!!!
Nilichokipenda wewe mpuuzi yani unaandika alafu unajijibu hapo hapo
 
Habarini Gunners
Tunauza 3d visualizer lamps za Arsenal
Zinatoa mwanga kwa rangi 7 tofauti
Zinatumia usb yake au unaweza weka battery za AA
Unaweza weka rangi moja au rangi ibadilike kila sekunde
Bei ni 35,000 tupo Sinza lego
Pendezesha ghetto, sitting room au ofisi na lamp hizi, Karibuni
IMG_0695.jpg


0693225605
IMG_0694.jpg

IMG_0693.jpg
 
PRE-MATCH ANALYSIS: Arsenal Vs Liverpool

Faida ya Liverpool itakua sehemu mbili. KWANZA kucheza Long balls na ku-win second balls. Wanawachezaji wanaoweza kucheza long balls tena kwa kiwango kikubwa. Allison, TAA, VVD, Robertson na wengine ni wazuri wa kunzisha Long balls.

Kwa sababu ya physicality (Uwezo wa kutumia nguvu) ni vyepesi sana ku-win (Kushinda) second balls. Hapa namzungumzia Henderson, Fabinho, Darwin Nunez, Salah dhidi ya Saliba, Gabriel, Partey

PILI ni kutengeneza 1v1 na kushambulia spaces (Eneo lililowazi) na kutengeneza mikimbio nyuma ya mabeki (Behind the Lines) japo kwenye 1v1 itakua ngumu sababu ya namna Arteta anavyofanya Overloads (Idadi ya wachezaji wengi)kuanzia safu ya ulinzi mpaka kiungo (Rejea Arsenal Vs Tottenham).

Kwasababu ya kupungua kwa uwezo na ubora wa kufanya Pressing na kuongeza Pressure kwa timu pinzani, Klopp na Liverpool wame-switch kutoka 4-3-3 kwenda 4-4-2 hivi karibuni (Rejea Vs Rangers UEFA) na inampa faida. Kivipi?

Kwenye Build up akiwa na 4-3-3 shape inabadilika kwenda 2-3-5. Wings zote (Diaz na Salah) wanafanya pressing kwa kuingia ndani na kua sambamba na Centre-backs wa timu pinzani huku Full backs wake akiwemo TAA na Robertson/Tsimikas wakifanya pressing kwa Fullbacks kwa timu pinzani na kufanya idadi kwenye wachezaji kwenye mashambulizi kua 5 akiwemo #9’s (Firminho/Nunez/Jota).

Ukirejea kwenye game Vs United wakiwa wanafanya Build Up na kufika kwenye Final Third, kwenye eneo la kiungo wanaacha space sana ambayo ni rahisi kuadhibiwa. Kwenye box la United kulikua na Diaz, Milner, Firminho, Salah na Hernderson kiasi cha kuacha Space katikati Kwa Eriksen/Fernandez kufanya mikimbio. Hivyo Klopp kurudi kwa 4-4-2 kunampa faida kwasabau hatoacha spaces kwenye Build Up.

Kama ilivyo ada kwa Arsenal, kutengeneza 3-2-4-1 (Au 3-2-5) kwenye Build up itapunguza speed ya kushambulia kwa Liverpool kwa namna gani?…

Saka na Martinelli wanapanua uwanja kwa juu zaidi na kufanya TAA na Robertson/Tsimikas kutokupanda na kutoa pressure kwa Zinny/Tieney na White (Full backs wa Arsenal) ambapo Jesus akifanya Pressing katikati ya mabeki wa kati wa Liverpool (VVD na Matip) hali ikayowafanya kutegemea Long balls na kushinda second balls.

Katikati ya uwanja Partey na Zinchenko/Tierney huku kwa juu yao Ødegaard ambapo anatapa cover ya Jesus (Aki-link na midfield) ambapo atamuacha Xhaka free na uwezekano wa kushambulia kupitia nafasi za wazi (Space) inakua kubwa. Partey anakua kama Scanner (Rejea Vs Spurs) na kazi yake kubwa ni kusimama juu ya mstari wa mabeki wa nyuma (Saliba,White na Gabriel) na kufanya block na interceptions. Uwepo wa Partey unapunguza 1v1 na kufanya idadi ya wachezaji kua wengi (Numerical advantage).

Kwakua Salah na Diaz ni wazuri kwenye 1v1, itakua hatari kama Arsenal na Arteta ako Acha hivi ndio maana anatengeneza uwepo wa Partey na kutengeneza 5v4 wa Liverpool (Yaani White, Saliba, Gabriel, Partey na Zinny/Tierney dhidi ya Diaz, Jota/Firminho, Henderson na Salah) huku TAA na Roberson/Tsimikas wakiwa pinned back (kuzuiwa wasishambulie) dhidi ya Saka na Martinelli.

IMG_20220731_090419_934.jpg
 
ARTETA ANAPENDA KUMUITA PWEZA


Thomas Partey this season:

5 — Games
5 — Wins
60 — Passes per game (1st at Ars.)
2.2 — Tackles won per game (1st at Ars.)
0 — Yellow cards

The perfect # 6⃣
 
Premier League 2022-23: Youngest Starting XIs (Thread - 1/5) 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿

1 - Southampton (24y 136d)
2 - Arsenal (24y 186d)
3 - Leeds Utd (25y 84d)
4 - Nottingham Forest (25y 210d)
5 - Everton (25y 306d)
=6 - Wolves (26y 68d)
=6 - Brentford (26y 68d)
8 - Bournemouth (26y 136d)
9 - Manchester Utd (26y 139d)
10 - Aston Villa (26y 331d)
11 - Leicester City (27y 24d)
12 - Crystal Palace (27y 165d)
13 - Manchester City (27y 199d)
14 - Newcastle Utd (27y 224d)
15 - Brighton (27y 260d)
16 - Tottenham (27y 265d)
17 - Chelsea (27y 284d)
18 - Liverpool (27y 342d)
19 - Fulham (28y 55d)
20 - West Ham Utd (28y 134d)
 
Mnauhakika mnaenda kuwafunga Liverpool?...

Tukija kwenye uwezo wa wachezaji mmoja mmoja , Liverpool bado wanawazid mazee au mnasemaje ....

Saka vs salah ...ni vile tu Saka yupo kwenye form ila class ya salah Kila mtu anaijua...

Diaz Vs martinel ...class ya Diaz martnell anakaaa ,ni vile tu Martinel yupo kwenye form ...

Partey Vs fabihno ....mazee hapa mnajua kabisa partey yupo kwenye form ila class ya fabihno ohooooo no comment...

VVD vs saliba ...hapa Kila mtu anaona kabisa kuwa class ya vvd ni kiwango Cha stg ni vile tu Saliba moto wa gesi umewaka yupo kwenye form ...

Firmino Vs Jesus ....form ya Jesus ni moto ila class ya firmino kwenye finishing ....nyie wenyewe mnajua ...

Thiago vs xhaka ....Kila mtu anajua moto wa Thiago ila ni vile tu xhaka saizi ni moto wa kuotea mbalii



Kitakacho kuwa kinapambana jumapili ni

Forms vs class ....!!!!!
Huyo firmino hata kumaliza goli kumi kwa msimu ni mtihani
vvd hakuna kitu
salah hakuna kitu
TAA ni uchochoro

Ngoja kesho watu wapewe hesabu za umri ndio utaelewa nini namaanisha
 
Huyo firmino hata kumaliza goli kumi kwa msimu ni mtihani
vvd hakuna kitu
salah hakuna kitu
TAA ni uchochoro

Ngoja kesho watu wapewe hesabu za umri ndio utaelewa nini namaanisha
Hao wote uliowataja class zao ni hali ya juuu ni vile tu hawapo kwenye form .....

Rudia Tena ,kesho ni forms Vs class
 
Nilisema mwezi wetu mgumu ni October.

Hapa tunatakiwa kufunga mikanda haswa, kuna game 1 kila baada ya siku tatu.

Kama tutamfunga Liva kisha tukashinda games mbili tatu za ligi basi hapo kuna kitu tunaweza kujiandaa nacho in a form of kua title contender.

Tusikimbiane humu.
 
Back
Top Bottom