Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 5,077
- 7,420
Kuna fanboy Wa Arsenal wakati wa usajili alinambia Antony hafai hawezi kumgusa Raphinha kwa ubora, point yake ilikuwa Antony hana pace.Kiukweli mi Anthony naona kitamkuta kama kilichomkuta Depay.
Tuombe uhai kila kitu kitajiweka wazi
Tungekuwa na Raphinha now tungesumbua mno, kitu pekee kingetuzuia ni backup ya TP.

October Games 
Arsenal vs Tottenham