Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Gabriel Jesus has been fouled more often than any other player in the Premier League this season.
Huyu jamaa injury prone atafutiwe replacement dirisha dogo ,timu ikishaanza kupata chemistry anaumia,lokonga bado hatoshi hususani kwenye mfumo pendwa wa arteta wa 4231 wakucheza na double pivot unahitaji viungo wanyumbulifu na wepesi wa kuweza kupokea mipira kutoka back 4 na kufanya transition kwenda eneo la ushambuliajia kwa harakaNasikia Partey kashaumia huko.
Knock Ni Kama iliyompata Odegaard wiki iliyopita , kesho anaweza kucheza mech ya kimataifaNasikia Partey kashaumia huko.
Good newsKnock Ni Kama iliyompata Odegaard wiki iliyopita , kesho anaweza kucheza mech ya kimataifa
Huu mchezo alioufanya partey ,ina maana Next match ya kimataifa kama watacheza siku 2 hiz itabid wasimtumie ,
Na 90% atakuwepo mech dhid ya Spurs
nashangaa kwa nin arteta na edu hawakuliona hiliHuyu jamaa injury prone atafutiwe replacement dirisha dogo ,timu ikishaanza kupata chemistry anaumia,lokonga bado hatoshi hususani kwenye mfumo pendwa wa arteta wa 4231 wakucheza na double pivot unahitaji viungo wanyumbulifu na wepesi wa kuweza kupokea mipira kutoka back 4 na kufanya transition kwenda eneo la ushambuliajia kwa haraka
1) Man city, mechi 28, £153.1m
2) Liverpool, mechi 29, £151.9m
3) Spurs, mechi 27, £146.1m
4) Arsenal, Mechi 29, £145.7m
5) Chelsea, mechi 24, £145.6m
6) Man United, mechi 28, £142.8m
Mfumo pendwa wa Arteta ni 433. Lokonga anacheza vizuri mfumo wa 4231, kwa 433 anapata shida kidogo sababu anakuwa alone na ukizingatia bado mdogo.Huyu jamaa injury prone atafutiwe replacement dirisha dogo ,timu ikishaanza kupata chemistry anaumia,lokonga bado hatoshi hususani kwenye mfumo pendwa wa arteta wa 4231 wakucheza na double pivot unahitaji viungo wanyumbulifu na wepesi wa kuweza kupokea mipira kutoka back 4 na kufanya transition kwenda eneo la ushambuliajia kwa haraka
Tumeamua kupambania club kwa sasaBreaking News: Tomiyasu withdraws from National team. Arsenal waliomba hivyo

Sasa hivi timu inapata matokeo baadhi ya madhaifu hayaonekani ila pale asipokuwepo partey katikati panakosa utulivu ndio maana arsenal ana struggle kwenye big match kupata matokeo ,ligi ni long run inabidi kila eneo uwe na wachezaji wengi wenye quality inayofanana kwa ajili ya rotation au incase of injury mfn City, sasa kwa viungo wa pale wazuri ni xhaka na partey akiumia mmoja panapwaya kati pale dirisha dogo waingie sokoni kuongeza nguvu kati palenashangaa kwa nin arteta na edu hawakuliona hili
hasa hasa partey hana mtu wa kumreplace kbsa elneny na lokonga naona nao bdoSasa hivi timu inapata matokeo baadhi ya madhaifu hayaonekani ila pale asipokuwepo partey katikati panakosa utulivu ndio maana arsenal ana struggle kwenye big match kupata matokeo ,ligi ni long run inabidi kila eneo uwe na wachezaji wengi wenye quality inayofanana kwa ajili ya rotation au incase of injury mfn City, sasa kwa viungo wa pale wazuri ni xhaka na partey akiumia mmoja panapwaya kati pale dirisha dogo waingie sokoni kuongeza nguvu kati pale
Yes elneny + lokonga bado viwango vyao vipo chini hawawezi kutoa challenge kwenye timu yenye viungo wazuri angepatikana Tielemans itapendeza zaidihasa hasa partey hana mtu wa kumreplace kbsa elneny na lokonga naona nao bdo
sana aseee yule tielemans mtu sanaYes elneny + lokonga bado viwango vyao vipo chini hawawezi kutoa challenge kwenye timu yenye viungo wazuri angepatikana Tielemans itapendeza zaidi
Nilisema Jana ilikuwa janja janja ya arsenal ajifanye Kuumia ,ili akose mech ya 2,jumanne, Kisha arud london ,na Tomiyasu kafanyiwa hivoThomas Partey will return to London & will not feature in Ghana’s friendly against Nicaragua on Tuesday. He will undergo a scan on his knee, however, it is suspected that it is not serious. [@GabbyDarko] #afc