Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Henry ni mtu wa nje, EDU anajua kiunaga ubaga kinachoendelea pale, katafute interview alipotoa maelezo juu ya sajili za kina David luiz na William ndio utajua edu na arteta lao moja wanajua wanachokifanya, wanajenga timu kwa awamu,kila awamu ni blra zaidi ya nyuma yake mpaka pale wafike wanapotaka wao.

Henry kaishakuwa kocha sasa ana falsafa zake, tayari wachezaji kadhaa alikuwa hawakubali, yeye alikuwa anataka mabadiliko ya haraka edu na arteta wanaenda kwa awamu.

Jambo zuri ni kwamba alipoona sio alisema na sasa kaona safi amekubali, nahisi ni mapenzi yaliyopitiliza juu ya timu yake ya maisha ikawa hivyo.
Hata Pep & Pochettino ni watu wa nje ila mitazamo yao ilikuwa positive kuhusu Arteta kwa uelewa wao kimpira.
 
William Saliba has scored as many goals as Mo Salah this season.
IMG-20220919-WA0219.jpg


Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
 
unajua tumefikaje huku au umekuja na conclusion yako tu ?
Yes,sikutaka kujua mlipoanzia maana hayo majadiliano yenu hapa sio mahala pake...hili ni jukwaa la Arsenal FC ,
Hayo mambo ya simba na yanga yana majukwaa yake pia,hivyo kuendelea kujadili hilo ni kutugawa sisi tuliounganishwa na timu hii...maana hamkawii kuanzisha matawi humu maana inaweza kuzaliwa arsenalkolo vs arsenalUTO.
Ndio sababu nimetamatisha kihivyo.
 
Yes,sikutaka kujua mlipoanzia maana hayo majadiliano yenu hapa sio mahala pake...hili ni jukwaa la Arsenal FC ,
Hayo mambo ya simba na yanga yana majukwaa yake pia,hivyo kuendelea kujadili hilo ni kutugawa sisi tuliounganishwa na timu hii...maana hamkawii kuanzisha matawi humu maana inaweza kuzaliwa arsenalkolo vs arsenalUTO.
Ndio sababu nimetamatisha kihivyo.
wewe ni nani wa kunipangia pa kuandika ?
 
Dreams eeehh?
Why not. They claim dreams can become a reality. Lets keep dreaming gunners. You never know...🤠🤓☺😅
 
Mkuu ulaya ni ulaya tu

Jana baada ya game ya arsenal, washabiki wa simba walivyoanza kuingia tu, na mimi nikaaga
Siwezi kuumiza macho kwa mipira ya Africa
Camera low quality
Viwanja vibovu
Kubwa zaidi wachezaji hawaujui huo mpira wenyewe
Aiseeeehhhh
 
U
Hata Pep & Pochettino ni watu wa nje ila mitazamo yao ilikuwa positive kuhusu Arteta kwa uelewa wao kimpira.
Umeelewa sijui nilichokizungumzia hapo.. Pep na pochettino hawapo katika nafasi ya Henry juu ya arsenal.
Shida ya henry alikuwa anataka mabadiliko ya haraka, wakati arteta na kina edu wanaenda kwa awamu.
 
Vlahovic na locatelli ilitakiwa wawe kwenye hii Arsenal.

Wangeabudiwa hawa.

Wameenda Juve, Vlahovic hapati game time sawa na Locatelli, Allegri hajui anachofanya na wamepigwa dhidi ya Monza wakiongozwa kila kitu.
Good news
 
U

Umeelewa sijui nilichokizungumzia hapo.. Pep na pochettino hawapo katika nafasi ya Henry juu ya arsenal.
Shida ya henry alikuwa anataka mabadiliko ya haraka, wakati arteta na kina edu wanaenda kwa awamu.
Inawezekana hukusikia maneno ya Thierry Henry, alichosema ni kuwa haoni progress yoyote ndani ya timu na ilikuwa last season, je ni kweli Arsenal haikuwa na progress?

Conclusion yangu ni kwamba Henry aliangalia mpira kwa jicho la kishabiki, lakini kwa watu Experts km Pep & pochettino walishaona kuna positive signs toka mwanzo arteta alivyopewa timu.
 
Inawezekana hukusikia maneno ya Thierry Henry, alichosema ni kuwa haoni progress yoyote ndani ya timu na ilikuwa last season, je ni kweli Arsenal haikuwa na progress?

Conclusion yangu ni kwamba Henry aliangalia mpira kwa jicho la kishabiki, lakini kwa watu Experts km Pep & pochettino walishaona kuna positive signs toka mwanzo arteta alivyopewa timu.
Progress ni jambo pana, sijui alinyambua vipi,
Sasa kama kichogo hakuona progress(kwa mujibu wake) asiseme, sasa kaona kakiri sio vibaya.
 
Vlahovic na locatelli ilitakiwa wawe kwenye hii Arsenal.

Wangeabudiwa hawa.

Wameenda Juve, Vlahovic hapati game time sawa na Locatelli, Allegri hajui anachofanya na wamepigwa dhidi ya Monza wakiongozwa kila kitu.
Kuna wajinga km Computerarsenal walifurahi Vlahovic kwenda Juve kwamba kaikomoa Arsenal, wenye akili waliona anaharibu career yake.

Wajinga haohao walisema Arsenal hawajielewi kwa kumpa kazi Mikel Arteta wakati Allegri mwenye uzoefu hana timu,

sisi tunaomba uzoefu wake uikomboe juve now, muda huwa ni mwalimu mzuri sana.
 
Progress ni jambo pana, sijui alinyambua vipi,
Sasa kama kichogo hakuona progress(kwa mujibu wake) asiseme, sasa kaona kakiri sio vibaya.
Ndio maana nikasema wenye uelewa wa mpira hasa falsafa, mifumo na mbinu huwa wanaona vitu hata vikiwa underground, ila average fan hawezi kuona, tusimungunye maneno Henry kwenye ukocha hana tofauti na Neville au Roy keane
 
Back
Top Bottom