Henry ni mtu wa nje, EDU anajua kiunaga ubaga kinachoendelea pale, katafute interview alipotoa maelezo juu ya sajili za kina David luiz na William ndio utajua edu na arteta lao moja wanajua wanachokifanya, wanajenga timu kwa awamu,kila awamu ni blra zaidi ya nyuma yake mpaka pale wafike wanapotaka wao.
Henry kaishakuwa kocha sasa ana falsafa zake, tayari wachezaji kadhaa alikuwa hawakubali, yeye alikuwa anataka mabadiliko ya haraka edu na arteta wanaenda kwa awamu.
Jambo zuri ni kwamba alipoona sio alisema na sasa kaona safi amekubali, nahisi ni mapenzi yaliyopitiliza juu ya timu yake ya maisha ikawa hivyo.