Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna wajinga km Computerarsenal walifurahi Vlahovic kwenda Juve kwamba kaikomoa Arsenal, wenye akili waliona anaharibu career yake.

Wajinga haohao walisema Arsenal hawajielewi kwa kumpa kazi Mikel Arteta wakati Allegri mwenye uzoefu hana timu,

sisi tunaomba uzoefu wake uikomboe juve now, muda huwa ni mwalimu mzuri sana.
Acheni kujipa matumaini fake na kuanza kuwadharau na kuwatukana wengine, ligi ndefu sana hii yenye jumla ya mechi 38, nyinyi ndio kwanza mmecheza mechi 7 tu na mechi moja tayari mmeshapigwa, mineno kibaaaooo inawatoka utafikiri mmemaliza mzunguko wa kwanza, ninakuhakikishia kuna uwezekano mkubwa Juventus kuchukua kombe la ligi kuliko uwezakano wa Arsenyoko kuingia top 4.
"Muda huwa ni mwalimu mzuri sana"
Hii nukuu yako naomba uishi nayo baada ya muda si mrefu nitakukumbusha.
 
Vlahovic na locatelli ilitakiwa wawe kwenye hii Arsenal.

Wangeabudiwa hawa.

Wameenda Juve, Vlahovic hapati game time sawa na Locatelli, Allegri hajui anachofanya na wamepigwa dhidi ya Monza wakiongozwa kila kitu.
Castr hebu kua na adabu basi, yaani Vlahovic na locatelli waache timu za maana halafu waje kwenye hio Academy yenu wacheze na watoto wa miaka 15 kweli????
 
Acheni kujipa matumaini fake na kuanza kuwadharau na kuwatukana wengine, ligi ndefu sana hii yenye jumla ya mechi 38, nyinyi ndio kwanza mmecheza mechi 7 tu na mechi moja tayari mmeshapigwa, mineno kibaaaooo inawatoka utafikiri mmemaliza mzunguko wa kwanza, ninakuhakikishia kuna uwezekano mkubwa Juventus kuchukua kombe la ligi kuliko uwezakano wa Arsenyoko kuingia top 4.
"Muda huwa ni mwalimu mzuri sana"
Hii nukuu yako naomba uishi nayo baada ya muda si mrefu nitakukumbusha.
Usipinge mawazo yake, Ukweli usemwe Alegri ile timu imemshinda na soon atafukuzwa , na nitakuja kukutag hapa, decline ya Juve ilianza toka mwaka juzi,

Na tatizo kubwa hawana kipa mwenye uwezo hata robo tu ya aliokuwa nao Buffon,

Wana mabeki wazee,


Halafu jamaa wale hajajitapa ameelezea uhalisia wa Juve kwasasa


Ni sawa na uhalisia wa man u kwasasa ,imepata matokeo ila mpira wa ovyo na ujanja ujanja ,haijulikan wanacheza system gani, kocha alimtaka Dejong , kamkosa ,mashabik wameliwazwa kwa kuletewa Casemiro ambaye sio chaguo la kocha ndio maana haaminiwi ,anaenda kuwa flop mpya

Mmenunua Anthony anayerukaruka tayari ana kila dalili za kuwa Flop Zaid hata ya Sancho


Hivo uhalisia unaposemwa Sio kwamba Ni kujisifu


Nan asiyejua Juve msimu wa 3. Huu ina struggle
 
Castr hebu kua na adabu basi, yaani Vlahovic na locatelli waache timu za maana halafu waje kwenye hio Academy yenu wacheze na watoto wa miaka 15 kweli????
Locatel na Vlahovic Wamekuwa very poor ,Tena Kama locatelli sidhan hata Kama anapata airtime Kama aliyowahi kuipata Sassuolo ,

Kuna watu hata hawajui Kama Kuna kiungo yupo Juve anaitwa locatelli

Arsenal have a plan, ilipomkosa locatelli na Dusan haikukurupuka ,

Imemleta Gabriel Jesus ,imemleta Fabio Vieira , Arsenal haisajiri kuridhisha mashabik Kama man u ,ambao wamemsajiri Casemiro ambaye Kuna kila dalili sio chaguo la kocha ukianza na style of play , ndio maana ana opt kutembea na Mactominay ,

Kwahiyo kaa kwa kutulia Ewe Nyumbu
 

Attachments

  • IMG_20220920_222714.jpg
    IMG_20220920_222714.jpg
    249.4 KB · Views: 14
  • IMG_20220920_091036.jpg
    IMG_20220920_091036.jpg
    32.9 KB · Views: 16
Vlahovic na locatelli ilitakiwa wawe kwenye hii Arsenal.

Wangeabudiwa hawa.

Wameenda Juve, Vlahovic hapati game time sawa na Locatelli, Allegri hajui anachofanya na wamepigwa dhidi ya Monza wakiongozwa kila kitu.
Dusan hapo Juve amekuwa sio yule wa Fiorentina, Locatelli amekuwa poor ,Juve kila siku wanatobolewa
 
Usipinge mawazo yake, Ukweli usemwe Alegri ile timu imemshinda na soon atafukuzwa , na nitakuja kukutag hapa, decline ya Juve ilianza toka mwaka juzi,

Na tatizo kubwa hawana kipa mwenye uwezo hata robo tu ya aliokuwa nao Buffon,

Wana mabeki wazee,


Halafu jamaa wale hajajitapa ameelezea uhalisia wa Juve kwasasa


Ni sawa na uhalisia wa man u kwasasa ,imepata matokeo ila mpira wa ovyo na ujanja ujanja ,haijulikan wanacheza system gani, kocha alimtaka Dejong , kamkosa ,mashabik wameliwazwa kwa kuletewa Casemiro ambaye sio chaguo la kocha ndio maana haaminiwi ,anaenda kuwa flop mpya

Mmenunua Anthony anayerukaruka tayari ana kila dalili za kuwa Flop Zaid hata ya Sancho


Hivo uhalisia unaposemwa Sio kwamba Ni kujisifu


Nan asiyejua Juve msimu wa 3. Huu ina struggle
Mimi namuona Anthony yuko vizuri, naweka u-arsenal pembeni.
 
OMARY HUTCHINSON ANAJISIKIAJE AKIMUONA NANWERI ANAANZA KUPEWA NAFASI ,YEYE AMEONDOKA ARSENAL AKIDAI ANATAKA NAFASI , KAENDA CHELSEA WAMEMTUPA U23

Nwaneri amecheza mara mbili tu na Arsenal U21 na amecheza mara tisa na Arsenal U18 lakini tayari amehusika na timu kubwa, kucheza timu kubwa kama Arsenal ukiwa na miaka 15 sio kazi ndogo. Vijana wa umri wake bado wako Hale End lakini yeye anafanya mazoezi mara kwa mara na timu kubwa. Big up kwa Mikel, kumpa nafasi ya kuandika historia kwenye EPL na Arsenal ina maana kubwa kwake na kwa klabu. Vijana wengi wadogo watapata morali na nguvu ya kujituma. Tukija kwenye kusajili wachezaji wengine wenye vipaji tukio kama hili litatuongezea sifa nzuri kwenye matumizi yetu ya kutumia vijana. #coyg
IMG_20220920_230015.jpg
 
Mimi namuona Anthony yuko vizuri, naweka u-arsenal pembeni.
Tutakumbushana hapa , labda Kama unamuona vzr kwenye visigino na drama za kuchezea mpira ,maana hata Zile vyenga hata Kama vya Nicolas Pepe hamfikii ,

Kifupi Pepe na Anthony, Pepe yupo juu yake, Pepe amekuwa flop coz ya Arteta style of play , pamoja na Pepe kumuona Amefeli ,Ila alikuwa hokosi G/A 10+ , Kuna msimu aligonga 20 G/A

Wakati Anthony Ligi ya wakulima AMEONDOKA na G/A 12 tu msimu mzima.
 
Gabriel Jesus kazi anayoifanya Ni kubwa Sana, anakaba Sana, press Sana

Pep Guardiola aliwahi kusema

Jesus Ndiye anamuona Best CF wa kupress na kudefend

TAKWIMU : Gabriel Jesus alionyeshwa kadi 1 tu ya njano kwenye mechi 28 za EPL akiwa Man City msimu uliopita.

Akiwa Arsenal, mpaka sasa tayari ameonyeshwa kadi 4 za njano kwenye mechi 7 za EPL.

KWA ARSSNAL ANA MAJUKUMU MENGI
 
Acheni kujipa matumaini fake na kuanza kuwadharau na kuwatukana wengine, ligi ndefu sana hii yenye jumla ya mechi 38, nyinyi ndio kwanza mmecheza mechi 7 tu na mechi moja tayari mmeshapigwa, mineno kibaaaooo inawatoka utafikiri mmemaliza mzunguko wa kwanza, ninakuhakikishia kuna uwezekano mkubwa Juventus kuchukua kombe la ligi kuliko uwezakano wa Arsenyoko kuingia top 4.
"Muda huwa ni mwalimu mzuri sana"
Hii nukuu yako naomba uishi nayo baada ya muda si mrefu nitakukumbusha.
Nafurahi sana, wake up, tushapita huko we are so good rn.
 
Kuna wajinga km Computerarsenal walifurahi Vlahovic kwenda Juve kwamba kaikomoa Arsenal, wenye akili waliona anaharibu career yake.

Wajinga haohao walisema Arsenal hawajielewi kwa kumpa kazi Mikel Arteta wakati Allegri mwenye uzoefu hana timu,

sisi tunaomba uzoefu wake uikomboe juve now, muda huwa ni mwalimu mzuri sana.
Juve inacheza mpira wa hovyo. Timu haiwezi kupiga pasi tano
 
Castr hebu kua na adabu basi, yaani Vlahovic na locatelli waache timu za maana halafu waje kwenye hio Academy yenu wacheze na watoto wa miaka 15 kweli????
Vlahovic mtoto mdogo pia.

Kilichowapeleka juve ni kama mchezaji wa Mtibwa aone bora acheze Simba au yanga ila siyo Mazembe.

Kucheza na under 18 halijawahi kua tatizo
 
Alex Iwobi amekuwa bonge la midfielder, Unai emery angekuwa na jicho la lampard asingemuuza iwobi. Lampard kambadili Iwobi kuwa mid mzuri sana.
TULIPINGA SANA HUMU EMERY SIO KOCHA WA KUIVUSHA ARSENAL , NATAMAN SIKU AENDE MAN U AKAWAZAMISHE ,

Iwobi toka msimu uliopita chin ya Lampard amekuwa hatari Sana ,anacheza Kati , Ndiye mpishi wao mkuu,

Ukimuangalia iwobi utajua kapita academy inayofundisha Pass ,ana pass za hatari ,

Mech vs Chelsea yakwanza ,Chelsea alipata tabu Sana, iwobi alikuwa Ndiye Mastermind, nikaangalia Tena mech ya Everton vs Liverpool Kama kawaida anapiga pass hatari

Iwobi angekuwepo Arsenal ya Sasa ,angecheza hata namba ya partey akiumia ,

Iwobi akiwa academy ya arsenal alikua Kama namba 10, baadae alipopandishwa akawa anacheza winger,Ila kiasili iwobi ni a no.10,

Kwa mfumo wa back 3 , lamps anamchezesha pemben ya mkabaji mmoja Onana,au Gana gueye , iwobi anakuwa huru ,

Everton wanakosa forward tu, wamemleta yule wa Brighton angalau pass za iwobi zinatumika

Anapiga pass Zile za Arsenal ,ukimuangalia tu unajua huyu kapita academy ,Tena ya Arsenal ya wenger

Ukimuangalia SAKA, SMITH ROWE,IWOBI, UNAONA KABISA UPIGAJI WAO WA PASS NI TOFAUTI KABISA NA MTU KAMA GAB MARTINELL , unaona KABISA Hawa walipita Hale end academy
 
Nyie Arsenyani mmesikiliza lakini interview ya Son baada ya kupiga hatrick gemu iliyoisha?
Jumamosi ni zamu ya Harry Kane kuondoka na mpira wake pale kwenye uwanja wa Emirates.

Man United kama kawaida yetu tunaendeleza palepale tulipoishia kwa hizi zinazojiita timu kubwa.
Alianza Liverpool akachezea, akaja Arsenyani tukamkanda, jumapili zamu ya city halafu tunasubiria kumshona Chelshit ili tufunge kazi kwenye mzunguko wa kwanza.
 
Nyie Arsenyani mmesikiliza lakini interview ya Son baada ya kupiga hatrick gemu iliyoisha?
Jumamosi ni zamu ya Harry Kane kuondoka na mpira wake pale kwenye uwanja wa Emirates.

Man United kama kawaida yetu tunaendeleza palepale tulipoishia kwa hizi zinazojiita timu kubwa.
Alianza Liverpool akachezea, akaja Arsenyani tukamkanda, jumapili zamu ya city halafu tunasubiria kumshona Chelshit ili tufunge kazi kwenye mzunguko wa kwanza.
IMG_20220921_111610.jpg
 
Back
Top Bottom