mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,701
- 19,552
Mkuu ulaya ni ulaya tuNimependa maneno ya kocha Thomas Frank wa Brentford baada ya game. Anavyotusifia Arsenal na kutuita title contender kwa Mtazamo wake, halafu anachambua ile pass ya Xhaka kwamba ilipigwa vizuri sana. Anasema Arsenal ilionesha kipindi cha pili kwamba kwa nini ni timu kubwa. Nahodha wao na mchezaji muhimu sana Odegaard hakuwepo, akacheza Vieira mwenye miaka 22 au 21 hivi kama mbadala wake ambaye amegharimu kitu kama £35m. Anasema ndio maana alionesha ubora wake na utofauti pale alipokuwa nje ya box la timu yake.
Itoshe kusema Ulaya Ulaya tu. Kocha anajua mpaka thamani za wachezaji wa timu pinzani na hajadanganya kitu. Na ananyoosha maelezo.
Jana baada ya game ya arsenal, washabiki wa simba walivyoanza kuingia tu, na mimi nikaaga
Siwezi kuumiza macho kwa mipira ya Africa
Camera low quality
Viwanja vibovu
Kubwa zaidi wachezaji hawaujui huo mpira wenyewe