mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,226
Kupitia, inter, MilanChelsea ana kiwanja ?
milani ana kiwanja
inter ana kiwanja ?
kuhusu analysis huo ni mtizamo wako
Dishi kuyumba au tutoyumba as long as havunji sheria ni sawa tu
hivi ushawahi kuwaangalia wale AFTV enzi zile wale ndo madishi yalikuwa yameyumba haswa wale jamaa walikuwa wanaka arsenal ifungwe ili wapate hela
Ndio unataka kuubaliki ujinga unaoendelea hapa bongo
Unajua sababu za inter na Milan kutokua na viwanja?
Analysis haviendani na uchezaji uwanjani
Kifupi, hawajui kucheza mpira
AFTV wale n waandishi wa habari kama waandishi wengine, wao anatafuta airtime tu



