Kiuhalisia ila ukweli kabisa ode ni urojo urojo hata kupiga ni bahati mbaya mpaka final touch, kazi yeye ni passing kitu kinacost Kuna maeneo anakosa maamuzi rejea mechi ya man UTD jamaa katika boksi hapigi kapiga anataka kupiga pasiTumepata mtu wa kuziba nagasi ya odergad vizuri, fabio yuko vizuri.
Fabio ni ode aliyekaza.Kiuhalisia ila ukweli kabisa ode ni urojo urojo hata kupiga ni bahati mbaya mpaka final touch, kazi yeye ni passing kitu kinacost Kuna maeneo anakosa maamuzi rejea mechi ya man UTD jamaa katika boksi hapigi kapiga anataka kupiga pasi
Ndo maana naona bora ya fabio na xhaka maana hao wanaweza kupiga mda wowote.
Jamaa ana hatar ode yuko slow sanaFabio ni ode aliyekaza.
Vipi penalt imetokea???Niko hapa leo, nasikia mitaani watu wansema kuna mgonjwa mahututi hapa muda wowote atakata roho, nimewahi siti
Namuamini sana Toney na Mbeumo pia naamin9i Gabriel atatupa penalti
Nilishindwa kuangalia game. Nimeangalia highlights arsenalist.com. Goli kali sana kapiga. Sikutegemea atapiga pale maana alifanya maamuzi ya haraka sana. Mabeki saba wanajipanga wanawaza jamaa atapiga pass gani...mpira uko wavuni,Tumepata mtu wa kuziba nagasi ya odergad vizuri, fabio yuko vizuri.
Naimani atakuwa bora zaidi ya hivi.Jamaa ana hatar ode yuko slow sana
Kiuhalisia ila ukweli kabisa ode ni urojo urojo hata kupiga ni bahati mbaya mpaka final touch, kazi yeye ni passing kitu kinacost Kuna maeneo anakosa maamuzi rejea mechi ya man UTD jamaa katika boksi hapigi kapiga anataka kupiga pasi
Ndo maana naona bora ya fabio na xhaka maana hao wanaweza kupiga mda wowote.
Usishangae sana hio ni sign mpy ya wale vijana wa RainbowHivi hizi soksi wanazitoboa wenyewe makusudi au ni style mpya kwenye soka. Kuna mchezaju wa timu nyingine pia niliziona zimetoboka hivi hivi?!
View attachment 2360819
Uwezo wenu ni mdogo sana mnaleta mpira wa pasi watu tunataka point 3.Hivi nyumbu walitufungaje mandondocha yale dah....uchawi upon ktk soka
Ngoja na mm nikatoboe zangu dah.....napitwa sanaHivi hizi soksi wanazitoboa wenyewe makusudi au ni style mpya kwenye soka. Kuna mchezaju wa timu nyingine pia niliziona zimetoboka hivi hivi?!
View attachment 2360819
Angalia soksi za dingi ako nae katoboa piaUsishangae sana hio ni sign mpy ya wale vijana wa Rainbow![]()
Hapo Martinell anautangazia umma mlango wa kati upo wazi ndio maana ya hivyo vitobo wanavyo toboa kwenye soksi.

Odegaard ni mchezaji mzuri ila Fabio vieira anafanya vyote hivyo, added advantave anapiga miguu yote kwa ubora uleule (ballstriking), na zaidi anaweza kucreate chances ht akiwa kwenye deep areas, kuhusu kuexcel kwenye tight spaces angalia build up ya goli la Marquinhos vs Zurich. Fabio viera anafananishwa na De bruyne for his final ball, pia anafananishwa na Bernardo Silva interms of Press resistance, ana sifa za wachezaji wawili muhimu sana kwenye possession based football. Binafsi Odegaard namuona kama Controller, Viera kama creator.Ode bado ni bora zaidi ya fabio uwezo wa kutengeneza chances, kukaa na mpira. Partey kuwepo kwake kunafanya pale kati kuwa imara zaidi na kumpa ode nafasi zaidi ya kutawala dimba , ku dropped dipper kuchukua mpira na ku move wider pale saka anapoingia ndani , control yake ya mpira kwenye tight areas. Ni kweli ode si mpigaji lakini vitu anavyo offer kwenye final third ni vingi kuliko fabio .