Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Mashabiki wa Arsenyani baada ya kuchezea mzinga wa nyuki leo mchana.Sisi kama Brentford tuna jambo letu leo hatutawaangusha mashabiki zetu tutapiga pale pale kwenye mshono viva Brentford![]()
Mashabiki wa Arsenyani baada ya kuchezea mzinga wa nyuki leo mchana.Sisi kama Brentford tuna jambo letu leo hatutawaangusha mashabiki zetu tutapiga pale pale kwenye mshono viva Brentford![]()
Unataka uhamie arsenyeto nn![]()


kama nimekosa timu ya kushabikia ni bora hata nikashabikie Ruvu shooting au Mgambo Fc kuliko kushabikia Arsenyani.Kwa mawazo kama haya ndio maana watu wengi hua wana reason IQ ya mashabiki wa AsaniAli.Nahisi kuna mchezo nyuma ya pazia unaendelea
Martinel, Jesus, Gabriel
Hapo edu katia ngumu wachezaji waziende kwenye hiyo mechi ya kirafiki
Zinchenko unaambiwa kaumiwa, na timu ya taifa hatakuwepo
Odegard unaambia nae kajichuna kidogo kwenye mguu, leo hatakuwepo na timu ya taifa pia
KUNA MCHEZO UNAENDELEA
Unaweza kusikia baada ya game partey nae kaumia ili abaki London
Nenda bar anza kumwagilia moyoShindeni niingize 202000 faida
kabisa aseeee sana sana captain odeBila ya Ødegaard na Zinchenko
leo kazi ni ngumu.. hawa jamaa wanarahisisha sana ushindi kwenye mechi zetu.
Sio mleviNenda bar anza kumwagilia moyo
Pesa inaingia