The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Arse8 wana masihara sana eti wanataka kombe alafu kiungo Odergaard, forward Saka na wanajiona wana timu etiAngalao wewe akili kubwa kuliko arse8 woote, mpaka kakocha kenu kale kanarukaruka kama kwaya master. Hao miamba umetaja hapo wanatingisha dunia na hata unahodha msaidizi hawapati. Kwako hapo Òodegard aliwahi kucheza mpira wa maana wapi mpaka umpe unahodha? Pale Man U kuna paund Mil 90 kama 3 hivi haziwezi kupata unahonda na wanaanzia benchi.





























Taarifa: Arsenal anaenda kulipiza kisasi cha 2011.. FT MU 0 Ars 9.
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Wewe na yeye nani hana akili sasaHUNA AKILI.
Sijatoa povu ila nilikuwa nakuambia ukweli,post yako inayosema kuwa arsenal imekutana na timu dhaifu ndio maana ipo hapo ilipo ndio imenifanya nikwambie HUNA AKILI.
na narudia tena huna HUNA AKILI.
Muulize PEP kilichomkuta jana hii ni EPL ....
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app








Mpaka leo unasubiri nini kufuta huu ujingaTaarifa: Arsenal anaenda kulipiza kisasi cha 2011.. FT MU 0 Ars 9.
![]()









Nyie mashabiki wa Arse8 ndio hamna akili, timu haijawahi kuchukua EPL tangu mtoto anazaliwa mpk ameoa sasa lkn bado mpo tu na huu upuuzi wenu, HAMNA AKILI.Nafikiri amemaanisha hauna akili kwa hiyo hoja ya kipimbi ya kudai Arsenal kacheza na vibonde.
Kati ya hivyo vibonde unavyovisema viwili vimemnyima point Liva.
Of course HUNA AKILI
ARSENAL kurudi nafasi yake ya 6 kila mwaka, yaani ni suala la muda tu.View attachment 848157
Full name: Arsenal Football Club
Nickname(s): The Gunners
Founded: 1 December 1886
League: Premier League
Website: arsenal.com
View attachment 848163
Ground: The Emirates Stadium, (Capacity: 59,867) - Pitch 105m x 68m
View attachment 1538867
Owner: Stan Kroenke
View attachment 848173
Chairman: Sir John Chippendale "Chips" Lindley Keswick
View attachment 1511007
Head Coach: Mikel Arteta
Arsenal Trophies:
League Tittles: 13
First Division/Premier League Champions: 13 (1930/31, 1932/33, 1933/34, 1934/35, 1937/38, 1947/48, 1952/53, 1970/71, 1988/89, 1990/91, 1997/98, 2001/02, 2003/04)
European Trophies: 1
UEFA Cup Winners': 1 (1993/94)
FA Cup Trophies: 14 (1929/30, 1935/36, 1949/50, 1970/71, 1978/79, 1992/93, 1997/98, 2001/02, 2002/03, 2004/05, 2013/14, 2014/15, 2016/17, 2019/20)
League Cup: 2 (1986/87, 1992/93)
Community Shield: 15
FA Charity Cup/FA Community Shield: 15 (1930, 1931, 1933, 1934, 1938, 1948, 1953, 1991, 1998, 1999, 2002, 2004, 2014, 2015, 2017)
Other Trophies
League Centenary Trophy: 1 (1988)
Inter-Cities Fairs Cup: 1 (1969/70)
View attachment 1542905Follow this thread for team updates!
Arsenal Football Club celebrate as they Crowned The Emirate FA Cup Winners(2020)
View attachment 1542904
Arsenal Premier League Timetable of 2020/21






















We jamaa unawajua kuwakera😀😀🤣🤣Arse8 kutwaa EPL mpk miaka 100 ijayo na kuchukua UCL labda dunia iumbwe upya![]()
Hawa ni kuwapiga tu mana ni viherehere sana hawaWe jamaa unawajua kuwakera![]()









Utasubiri mpk uzeekeNaona mmejazana humu kuleta porojo kibao.. na inashangaza baadhi ya mashabiki wa arsenal kusema timu ni mbovu na usajili haukuwa mzuri..
Arsenal kafungwa kawaida katika hali ya mchezo na hakuna sababu yoyote ya kuogopa sana. Timu ilijisahau na kuwa too aggressive baada ya kusawazisha goli na matokeo yake kaunta attack zikawezekana.
Kama Magalhanes na saliba wangekuwa wanabaki pale kabla ya circle ya katikati upande wao wala timu isingepoteza. Ni somo zuri wamepata na sasa tusonge mbele.
Matokeo ya mechi yanaweza kuwa yoyote kwenye zile game ngumu kama city, liva na tot.. apart from that sioni arsenal akipoteza point any time soon.
Ubingwa wa epl uko palepale emirates..![]()







Timu mbovu inaongoza ligi? Fala kweli weweSasa unamkasirikia nani, kwn mm ndiye niliekwambia upende timu mbovu![]()
HUNA AKILI.Sasa unamkasirikia nani, kwn mm ndiye niliekwambia upende timu mbovu![]()
Sasa kwn kuongoza ligi baada ya mechi mbili ni ajabu?Timu mbovu inaongoza ligi? Fala kweli wewe
Ubingwa labda Yesu arudi.HUNA AKILI.