Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Daaahhh we jamaa hayo ni maswali magumu sana kujibiwa na hii misukule ya Arteta, sanasana wataishia kukutukana tu na kukuita ni mamluki.
computerarsenal pamoja na hamis77 ni washabiki pekee wa Arsenal wenye IQ kubwa hapa jukwaani, huwa nawasikitikia sana kwa ukubwa wa akili zao sijui imekuaje wakakosa timu za maana za kushabikia mpaka wakaamua kujichanganya na haya Mazombi ya Arteta.
Yaani humu watu hawaruhusiwi ku reasons, hapa ni mwendo wa kusifu tu na kuabudu fullstop.
Hebu tembeleeni majukwaa ya Chelsea, Man United, Liverpool n.k muone jinsi mashabiki wanavyo kichafua pale kunapotokea mizinguo kwenye timu, ila huku ukihoji kidogo tu basi wewe ni mamluki.
Endelea kuswitch tu mbweha wewe, tunakustudy huo upopoma wako.
 
Here we back again

Hili Europa lazima tuliweke kabatini,

Veira, naimani leo tutamshuhudia vizuri sana
 
Amejaza watu katikati kama nilivyowahi sema hiyo ni dawa kwa kumkosa Partey, tusubiri na kuona
 
The Queen has been alive since 1926. In that period she has witnessed world wars, fall of USSR, birth of Israel, atomic bombs, invention of computers, JFK assassination, Moon landing, HIV/AIDS, Internet, 9/11. Only thing she didn't see is Arsenal winning the champions league
IMG-20220908-WA0016.jpg
 
🔎 | FOCUS

Arsenal's 19-year-old winger Marquinhos had a debut to remember in their 2:1 win over FC Zürich:

⏱️ 69' played
👌 52 touches
⚽️ 1 goal
🎯 2 shots/1 on target
🅰️ 1 assist
🎁 2 big chances created
🔑 4 key passes
👟 32/37 accurate passes
📈 8.9 SofaScore rating

#UEL https://t.co/DGtuNks2qt
 
Back
Top Bottom