Daaahhh we jamaa hayo ni maswali magumu sana kujibiwa na hii misukule ya Arteta, sanasana wataishia kukutukana tu na kukuita ni mamluki.
computerarsenal pamoja na
hamis77 ni washabiki pekee wa Arsenal wenye IQ kubwa hapa jukwaani, huwa nawasikitikia sana kwa ukubwa wa akili zao sijui imekuaje wakakosa timu za maana za kushabikia mpaka wakaamua kujichanganya na haya Mazombi ya Arteta.
Yaani humu watu hawaruhusiwi ku reasons, hapa ni mwendo wa kusifu tu na kuabudu fullstop.
Hebu tembeleeni majukwaa ya Chelsea, Man United, Liverpool n.k muone jinsi mashabiki wanavyo kichafua pale kunapotokea mizinguo kwenye timu, ila huku ukihoji kidogo tu basi wewe ni mamluki.