Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

1




2




3

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kosi bora la EPL kwa ss [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20220905-213955.jpg
 
Kocha wa makocha, kocha anayejua kazi yake, kocha mwenye vision, kocha aliyeibadili man u kuwa timu Bora duniani kwa wiki moja [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20220905-214805.jpg
 
Ndio nini sasa hii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Weka msimamo na wachezaji wako bora tuone

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Kwn ligi imeisha? Kwani arse8 imeanza leo kuongoza ligi mwanzoni mwa msimu?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwahiyo tulivyokuwa tunawatindua last season ulikuwa unashangaa eeehhh....weka kapicha tukuone ulivyokuwa unashangaa [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo misimu yote tunawapiga haina maana ila wenye maana ni msimu mmoja tu au sio [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tuache masihara Arsenal ni watamu jamani, kitu mnato halafu ya motoooooo[emoji39][emoji39][emoji39]
Kama yule Xhaka, Oodegaard na Saka watamu sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Top 6 imagine tunalose vs Rashford itakuwaje Vs Halaand Vs Salah Vs Kane Vs Auba? We need to win vs Top 6 teams but limeshindikana hili suala may be katika 10 games Vs Liverpool Manchester City Manchester United Chelsea Spurs may be may be we are going to win 2 out of 10 games



Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Angalao wewe akili kubwa kuliko arse8 woote, mpaka kakocha kenu kale kanarukaruka kama kwaya master. Hao miamba umetaja hapo wanatingisha dunia na hata unahodha msaidizi hawapati. Kwako hapo Òodegard aliwahi kucheza mpira wa maana wapi mpaka umpe unahodha? Pale Man U kuna paund Mil 90 kama 3 hivi haziwezi kupata unahonda na wanaanzia benchi.
 
Kama yule Xhaka, Oodegaard na Saka watamu sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naona umerudi upyaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Angalao wewe akili kubwa kuliko arse8 woote, mpaka kakocha kenu kale kanarukaruka kama kwaya master. Hao miamba umetaja hapo wanatingisha dunia na hata unahodha msaidizi hawapati. Kwako hapo Òodegard aliwahi kucheza mpira wa maana wapi mpaka umpe unahodha? Pale Man U kuna paund Mil 90 kama 3 hivi haziwezi kupata unahonda na wanaanzia benchi.
Arse8 wana masihara sana eti wanataka kombe alafu kiungo Odergaard, forward Saka na wanajiona wana timu eti [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom