Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Tuache masihara Arsenal ni watamu jamani, kitu mnato halafu ya motooooooKwa iyo hawa arse8 apa ndio wanajidanganya wapo kileleni![]()



Tuache masihara Arsenal ni watamu jamani, kitu mnato halafu ya motooooooKwa iyo hawa arse8 apa ndio wanajidanganya wapo kileleni![]()




































































Ndio nini sasa hiiTulicheza mpira wa akili zaidi yenu pia tuna wachezaji bora zaidi yenu, kubali kushindwa.




Kwn ligi imeisha? Kwani arse8 imeanza leo kuongoza ligi mwanzoni mwa msimu?Ndio nini sasa hii
Weka msimamo na wachezaji wako bora tuone
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app










Takwimu zinasema 3-1













Kwahiyo tulivyokuwa tunawatindua last season ulikuwa unashangaa eeehhh....weka kapicha tukuone ulivyokuwa unashangaaMe nkionaga timu imefungwa na Arsenal huwa nashangaa sana.



Kwahiyo misimu yote tunawapiga haina maana ila wenye maana ni msimu mmoja tu au sioKwahiyo tulivyokuwa tunawatindua last season ulikuwa unashangaa eeehhh....weka kapicha tukuone ulivyokuwa unashangaa
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app










Kama yule Xhaka, Oodegaard na Saka watamu sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Tuache masihara Arsenal ni watamu jamani, kitu mnato halafu ya motoooooo![]()
Angalao wewe akili kubwa kuliko arse8 woote, mpaka kakocha kenu kale kanarukaruka kama kwaya master. Hao miamba umetaja hapo wanatingisha dunia na hata unahodha msaidizi hawapati. Kwako hapo Òodegard aliwahi kucheza mpira wa maana wapi mpaka umpe unahodha? Pale Man U kuna paund Mil 90 kama 3 hivi haziwezi kupata unahonda na wanaanzia benchi.Top 6 imagine tunalose vs Rashford itakuwaje Vs Halaand Vs Salah Vs Kane Vs Auba? We need to win vs Top 6 teams but limeshindikana hili suala may be katika 10 games Vs Liverpool Manchester City Manchester United Chelsea Spurs may be may be we are going to win 2 out of 10 games
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app