Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Douglas Luiz anatarajia Villa na Arsenal kufikia makubaliano ya kusaini katika klabu hiyo ya London saa chache zijazo. Mchezaji amezungumza na Edu jana usiku na ana hamu ya kuhama.
Bado tu hawajamalizana naye
 
Za ndani kabisa had jion Douglas Luiz atakuwa mchezaji wa arsenal

Astonvilla wameshapata mbadala wake

Jana alipofunga goli hakushangilia , Jana aliongea na Edu na Jesus , kifupi Dili liliisha Jana ,now Arsenal wanamalizana na astonvilla muda sio mrefu

Leander Dendoncker to Aston Villa, done deal and here we go. £13m fee agreed, medical in the afternoon. First call @SamiMokbel81_DM. #AVFC #DeadlineDay

Personal terms are now agreed too. https://t.co/vNLi2QZHxJ
AsaniWali mnapenda sana kujifariji na tetesi za michongo.
Nyie dirisha lenu lilishafungwa baada tu ya kumsajili Zinny.
Kroenke hana pesa za kuchezea chezea hovyo, tena bahati yenu sana kumpata Jesus na Zinny maana msimu huu alikua ametenga bajeti ya kumsajili Makwinyoz peke yake.
 
tuna saa moja tu,naona ishu ya yuri .......
douglas luiz naye ni ........
hadi preahaa
 
Hakuna usajili wowote hapa, RW hakuna mbadala kabisa kule bora eneo hilo lokonga atajizoazoa had partey akirud ila upande ule wa Saka. Daaah ndo hatari
 
Daaaah!!!
Villa wametupiga na kitu kizito sanaaaaaa, usoni.
 
Back
Top Bottom