Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 14,563
- 22,839
Bado tu hawajamalizana nayeDouglas Luiz anatarajia Villa na Arsenal kufikia makubaliano ya kusaini katika klabu hiyo ya London saa chache zijazo. Mchezaji amezungumza na Edu jana usiku na ana hamu ya kuhama.

#AVFC #DeadlineDay