BlackHermito
JF-Expert Member
- Oct 15, 2020
- 748
- 1,140
Hiv Hamna group la whatsapp la arsenal fansMy worry is on squad depth. Yaani hapa panaweza kutuvuruga tukapotezana na wengine kukimbia jukwaa
Hiv Hamna group la whatsapp la arsenal fansMy worry is on squad depth. Yaani hapa panaweza kutuvuruga tukapotezana na wengine kukimbia jukwaa
Arsenal tunayo quality, City anatuzidi depth, tuna nafasi nne tu zinazohitaji either rotation or upgrade, LCB, RW, LCM, #6.Any way moja kati ya mambo yatakayowagharimu mashabik nikuhisi kwamba this is our season.BIG NO, ukiangalia kwa jicho la kimpira mbali na ushabiki sisi bado tuko mbali kutoka alipo man city kwa depth na quality.ili kufikia alipo city na kuchallenge tunahitaji capital investment na time investment.Pep alifanya capital investment ya hali ya juu mno na ndo maana ameleta na kuondoa wachezaji wengi ambao hawakufaa mfumo wake.yaani kumsajili mtu kwa 80£ asipofiti akamweka nje na kumuuza kwa bei ya hasara haoni shida.
kila timu inautamaduni wake ndani na nje ya uwanja.
kila timu inawamiliki wake na kila mmiliki anabusiness plan yake.tambua hilo.
kila timu ina financial status yake na aproach yake in terms of wage bills na market spending.
kila timu ina manager au kocha wake na kuna wanaoamini pesa itajenga kikosi na kuna wanaoamini MUDA na PESA vitajenga kikosi.
kama mnaamini arsenal board ni wabahili kawaulize liverpool na FSG yao.
Arsenal kwenye project yao mpya walianza na [potential players] kisha wakaja na quality players msimu huu.vieira ni potential na maquinhos potential pia.nafasi ya winger wanataka kumpa nafasi maquinhos baada ya kuondoka pepe.na vieira atakaa hapo kati.wanataka kuwa asess ili january wajue wanaziba wapi.
msimu huu tunatafuta kuingia top 4 only.na keep in mind tukiingia top 4 kuna striker mpya atasajiliwa kuendana na mahitaji.
Hiv Hamna group la whatsapp la arsenal fans
Auba na cr7 kwa kipindi hiki wametofautiana rangi tuView attachment 2343201 Ndugu zangu wa Arsenal amuogopi? Nyinyi si mlisema Auba hawezi kuja Chelseafc? Auba aliwadanganya hawezi kucheza rivalry team lakini uhalisia anapenda kuja kwenye team ya makombe
computerarsenal
Will Jr
mkorea
Aaron Arsenal
hamis77
Cheki hii takataka kitu inaandika. Hahaha huyiogopi Chelsea wewe?Auba na cr7 kwa kipindi hiki wametofautiana rangi tu
Ila hao wote ni virus.
Nikukumbushe tu
Auba ni secret agent wa arsenal katika kuibomoa chelshit
Tuogope nini sasa sterling yuko hapo mnakojozwa tu sembuse AubaView attachment 2343201 Ndugu zangu wa Arsenal amuogopi? Nyinyi si mlisema Auba hawezi kuja Chelseafc? Auba aliwadanganya hawezi kucheza rivalry team lakini uhalisia anapenda kuja kwenye team ya makombe
computerarsenal
Will Jr
mkorea
Aaron Arsenal
hamis77
Usajili ndio unaocheza??Oyaaa mtuachie iyo nafasi yetu maana tutakuja kwa Kasi yaa mwanga achana na sisi ..nyie tafuteni pa kujificha maana huu usajili Ni tishio ..tutaleta misiba kila mahala..hahahaha
View attachment 2343201 Ndugu zangu wa Arsenal amuogopi? Nyinyi si mlisema Auba hawezi kuja Chelseafc? Auba aliwadanganya hawezi kucheza rivalry team lakini uhalisia anapenda kuja kwenye team ya makombe
computerarsenal
Will Jr
mkorea
Aaron Arsenal
hamis77
Club Expenditure Income Net spend
Chelsea £253.79m £49.32m -£204.47m
Man Unit £214.22m £10.35m -£203.87m
West Ham £163.80m £16.02m -£147.78m
Notts F. £145.76m £6.30m -£139.46m
Newcastle £122.40m — -£122.40m
Tottenham £152.91m £34.88m -£118.04m
Arsenal £118.86m £21.42m -£97.44m
Wolves £122.94m £51.39m -£71.55m
Southam. £59.76m. — -£59.76m
Brentford £45.45m £3.24m -£42.21m
Fulham £55.26m £18.81m -£36.45m
Everton £78.48m £52.20m -£26.28m
Crystal Pa. £31.14m £4.91m -£26.23m
Aston Villa £63.0m £37.80m -£25.20m
Bournemouth £24.21m — -£24.21m
Liverpool £81.27m £72.63m -£8.64m
Leeds United £99.13m £97.38m -£1.75m
Man City £125.55m £143.91m +£18.36m
Leicester £15.30m £73.26m +£57.96m
Brighton £43.02m £102.51m +£59.49m
Soma hiyo breakdown ujue kila timu imetumia na kupata kiasi gani katika dirisha ili 2022 and where is a brainier
Cheki hili mavi kunuka unaropoka ropoka tu jamaa hauna akili ..subiri tuwazibue mitaro kwanza mupate akili..Sisi ndio ChelseaPongezi ziwaendee Brighton. Wana positive net income kubwa na wanafanya vizuri kwenye ligi siyo hayo mavi ya darajani
Ollashoga upo?Cheki hili mavi kunuka unaropoka ropoka tu jamaa hauna akili ..subiri tuwazibue mitaro kwanza mupate akili..Sisi ndio Chelsea
Nashindwa elewa Aaron Arsenal anawaza nini anavyosema ni sahihi hatujasajili.
Partey anaumia tunapoteza games.
Tushajua tunahitaji kiungo.
Dirisha limefika. Hatujasajili.
Na Aaron anaona ni sahihi simply kwakua wao wanajua wanachofanya?
Kocha ilibidi ajue target ni nani na akifeli option B ni nani. Hii ndiyo logic. Tumeingia kwenye dirisha hatujaaddress sehemu ya msingi lakini Aaron anaona sahihi?
Cheki hili mavi kunuka unaropoka ropoka tu jamaa hauna akili ..subiri tuwazibue mitaro kwanza mupate akili..Sisi ndio Chelsea