Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuondoka kwa deadwoods kwangu mimi ni bora zaidi

Game ya nyumbu hapo kesho kutwa, kwa upande wetu haina pressure kubwa. Coz atapigwa tu


Partey hachukui muda mrefu atarudi kikosin

Tutavutana hivyo hivyo, hadi January ndio tutajua mashimo gani tuyajazilizie

By the way, nipo pamoja na Edu & Arteta

Trust the process

#Coyg
 
Granit Xhaka na Sambi wanatosha sana ku dominate katika eneo la middfield endapo Sambi ata maintain Kama mechi ya juzi.

Sioni Nyumbu akitoka kabisa..

Yule bladifakeni lazima afe pale pale kwenye matofali ya kuchoma.
 
Granit Xhaka na Sambi wanatosha sana ku dominate katika eneo la middfield endapo Sambi ata maintain Kama mechi ya juzi.

Sioni Nyumbu akitoka kabisa..

Yule bladifakeni lazima afe pale pale kwenye matofali ya kuchoma.
Aserwali vile mnavyo jitapabaada ya mechi tutakutana hapa.
 
Granit Xhaka na Sambi wanatosha sana ku dominate katika eneo la middfield endapo Sambi ata maintain Kama mechi ya juzi.

Sioni Nyumbu akitoka kabisa..

Yule bladifakeni lazima afe pale pale kwenye matofali ya kuchoma.
Kumfunga man ni swala ambalo lipo uchi kbsa mi ninachowaza ni majeruhi tu ya wachezaji na hatujafanya usajili
 
Maskini mashabiki wa arsenyeto mpaka unawaonea huruma...wana expect vitu ambavyo timu yao haiviwezi....hichi kikosi ndio cha kuchukua EPL?mtaniita mbwa Niko hapa

Kwani kila timu si ina uzi wake wa kuchati humu JF wabongo ukorofi upo damuni sindio

Sisi kama tunajifariji si mtuache ila ndio tupo juu ya wote hapo EPL
 
Gerald roho mbaya itamfukuzisha Kaz
Kambania Luiz asije arsenal


HUYU jamaa Kweli ndio maana ana struggle na Villa yenye wachezaj wazuri

Mcgezaji ana miez 9 ,unakataa £25m

Na bado humchezeshi kisa kagoma KUSAINI
Gerald soon urafukuzwa kazi ,

Mchezaji kagoma kwenda Liverpool , unambania kwenda Arsenal
 
My worry is on squad depth. Yaani hapa panaweza kutuvuruga tukapotezana na wengine kukimbia jukwaa
Ben white
Sambi
Zinchenko

These both they can play where Thomas and Elneny Play.

Shida yenu ni ipi?

Back up players hawezi lipwa pesa yote hiyo hata siku Moja labda akacheze Manchester au Chelsea.
Trust the process, hatuna wengi Ila tunao Bora wa kufanya kinachotakiwa kufanyika
Acheni kulalamika sana watu wanamipango yao huyu Douglas na tilemans tunawez kuwapata kwa bei ndogo sana mwez wa 12
Edu na Arteta wanaelewa wanachofanya,they all need quality and not quantity ndo maana mnaweza kuona wanajua mambo yashachafuka Sokoni lkn bado wanatoa watu nje.

Niles si kiungo Yule?
Azeez si kiungo Yule?
Hector si beki yule kwann ametolewa akabaki Cedric?

Hawa watu wanajua wanachofanya , wanajua mahitaji, wanajua ugumu wanaoupata kwenye kufanya haya bad lucky to us we always drawing imagination and conclude that football management, coaching and playing that game is an easy task
 
Tuamue tu kua positive sasa lakini reality tuko mtegoni

Uhitaji wa kuongeza kiungo na winger ulikuwepo ata kabla ya mejeraha ya Partey na elneny na ata Edu na Arteta walikili na wali tuaminisha wana lifanyia kazi
Kwahiyo kutokusajili n kwamba tumeshindwa tu, tusilete justification
Sijui nini, sijui nini n tumeshindwa that's all.
 
Nyie Taka taka fc.
Mwisho wa tambo zenu umefika.
Mshatamba sana mpaka kero sasa, game tano tu, vidole juu kama Isha Mashauzi.

Juma pili tunawapasueni mpaka mukome.

Usidharau goli moja, hakika goli moja kwa ngurue ni watoto buku jero.
 
Tuamue tu kua positive sasa lakini reality tuko mtegoni

Uhitaji wa kuongeza kiungo na winger ulikuwepo ata kabla ya mejeraha ya Partey na elneny na ata Edu na Arteta walikili na wali tuaminisha wana lifanyia kazi
Kwahiyo kutokusajili n kwamba tumeshindwa tu, tusilete justification
Sijui nini, sijui nini n tumeshindwa that's all.
Nakataa. Arsenal ilikuwa haina plan ya kusajili DM hata siku moja. Back up ya Partey alikuwa Mo. Bahat mbaya likawakuta wote la kuwakuta
Ndio leo hii. Kwan ni lini ww ulisikia tunatafuta DM.

Arsenal top priority yao ilikuwa winger na tayari deal lilikuwa kwenye stream la kusajili winger ila kila kitu kikabadilika baada y DM wetu wote kuumia

Tuna Vieira and Marquinhos. Kisha tunaweza cheza na Martinelli, Jesus na Nketiah as front three

DM haikuwa priority yetu. Summer transfer yote hii hatukuhusishwa na kusajili DM na sikusikia kiungo mkabaji yeyote akitajwatajwa. Ila siku mbili kabla ya kufungwa kwa usajili ndio tukaanza kuhusishwa baada ya kuumia kwa wale jamaa. Sasa Kama unafikir siku mbili zinatosha kusajili top quality player ambaye ni muhimu kwa timu yake basi sawa
 
Any way moja kati ya mambo yatakayowagharimu mashabik nikuhisi kwamba this is our season.BIG NO, ukiangalia kwa jicho la kimpira mbali na ushabiki sisi bado tuko mbali kutoka alipo man city kwa depth na quality.ili kufikia alipo city na kuchallenge tunahitaji capital investment na time investment.Pep alifanya capital investment ya hali ya juu mno na ndo maana ameleta na kuondoa wachezaji wengi ambao hawakufaa mfumo wake.yaani kumsajili mtu kwa 80£ asipofiti akamweka nje na kumuuza kwa bei ya hasara haoni shida.

kila timu inautamaduni wake ndani na nje ya uwanja.
kila timu inawamiliki wake na kila mmiliki anabusiness plan yake.tambua hilo.
kila timu ina financial status yake na aproach yake in terms of wage bills na market spending.
kila timu ina manager au kocha wake na kuna wanaoamini pesa itajenga kikosi na kuna wanaoamini MUDA na PESA vitajenga kikosi.

kama mnaamini arsenal board ni wabahili kawaulize liverpool na FSG yao.

Arsenal kwenye project yao mpya walianza na [potential players] kisha wakaja na quality players msimu huu.vieira ni potential na maquinhos potential pia.nafasi ya winger wanataka kumpa nafasi maquinhos baada ya kuondoka pepe.na vieira atakaa hapo kati.wanataka kuwa asess ili january wajue wanaziba wapi.
msimu huu tunatafuta kuingia top 4 only.na keep in mind tukiingia top 4 kuna striker mpya atasajiliwa kuendana na mahitaji.
 
Nyie Taka taka fc.
Mwisho wa tambo zenu umefika.
Mshatamba sana mpaka kero sasa, game tano tu, vidole juu kama Isha Mashauzi.

Juma pili tunawapasueni mpaka mukome.

Usidharau goli moja, hakika goli moja kwa ngurue ni watoto buku jero.
Najua wewe Nyumbu na litimu lako huliamini



Kule mbele kama martnell,jesus na saka wakiwa kwenye ubora wao sioni nyumbu akishinda.

Kama uliangalia game yenu ya jana utaona leicester ni timu ya hovyo sana.

Yaani arsenal kwa jinsi tunavyocheza kumfunga united ni rahisi sana
 
13 EPL fixtures till January. 11 before the World Cup.

I think we'll be fine as long as one of our midfielders recover in 2-3 weeks.

At worst, we will have to test run one of White/Tomi/Zinny next to Xhaka for a game or two. That's alright

Vieira can play both RW and AM
 
Ben white
Sambi
Zinchenko

These both they can play where Thomas and Elneny Play.

Shida yenu ni ipi?

Back up players hawezi lipwa pesa yote hiyo hata siku Moja labda akacheze Manchester au Chelsea.
Trust the process, hatuna wengi Ila tunao Bora wa kufanya kinachotakiwa kufanyika
Acheni kulalamika sana watu wanamipango yao huyu Douglas na tilemans tunawez kuwapata kwa bei ndogo sana mwez wa 12
Edu na Arteta wanaelewa wanachofanya,they all need quality and not quantity ndo maana mnaweza kuona wanajua mambo yashachafuka Sokoni lkn bado wanatoa watu nje.

Niles si kiungo Yule?
Azeez si kiungo Yule?
Hector si beki yule kwann ametolewa akabaki Cedric?

Hawa watu wanajua wanachofanya , wanajua mahitaji, wanajua ugumu wanaoupata kwenye kufanya haya bad lucky to us we always drawing imagination and conclude that football management, coaching and playing that game is an easy task

Nime save hii post for future reference
 
£25million bid for Luiz was determined as a fair price for a reliable squad player.Villa did not agree & AFC were not prepared to be held to ransom. It meant missing out on some targets, but Arsenal believe it benefits the health of the club & squad inlong run.

(@gunnerblog) 🌖
 
🚨 || Tielemans’ character & quality was admired by Arsenal, but the club held some reservations about the physical & defensive aspects of his game [Via - @GunnerBlog].
 
Back
Top Bottom