makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,800
- 103,788
Na kawaida ya mwenge hauruki kijiji 😂Taharifa imfikie nyumbu
“Jana mwenge ulikuwa kwa A.Villa amepiga nao picha. j2 mwenge utakua zamu yenu kupiga nao picha mkae kwa kutuli”
Na kawaida ya mwenge hauruki kijiji 😂Taharifa imfikie nyumbu
“Jana mwenge ulikuwa kwa A.Villa amepiga nao picha. j2 mwenge utakua zamu yenu kupiga nao picha mkae kwa kutuli”
Hakuna atakaerukwa hapo, kijiji kwa kijijiNa kawaida ya mwenge hauruki kijiji![]()
M kule mbele Sina tabu napo, majembe yapo ya kutosha SR mwenyewe n wa motoKama ode hatakuwa poa ,dhid ya nyumbu twende na 4-4-2
Kat Saka xhaka samb Martinell
Mbele jesus na nketiah
siku tukicheza na Jesus na nketiah mabek watapata tabu Sana maana wote sio wakusimama
Nketiah Jana kafanya kazi nzuri sana tunampa mpira anaenda nao anatusubiri tuje kupiga pasi
Dogo ame improve Sana , aongeze ufanisi kwenye kufunga tu
Points za timu yako zidisha mara mbili, kama bado hamtufikiiNyie Ni takataka tu. Tunawahesabia mechi
Tukipata matokeo j2 na manure itakuwa "statement " kwa rivals wote kuwa tuko kwenye biashara. Manure huwa ana tabia mbaya kukatisha trend yetu nzuri ya ushindi.


misukule ya Arteta ishaanza kuweweseka kila ikifikiria kipigo itakachopata jumapili.
Ollashoga naona unapiga ramli, timu lako bovuNyie Ni takataka tu. Tunawahesabia mechi
Nyie jamaa timu hamna kabisa ,m asajiri ovyo.ovyo ,Kocha wenu hajulikan ana falsafa ganimisukule ya Arteta ishaanza kuweweseka kila ikifikiria kipigo itakachopata jumapili.
Mkae kwa kutulia zile za mwaka 2011 zinarudiwa tena jumapili ijayo. View attachment 2341703





Manshit mmejifunzia mpira ukubwani
Miaka 10 nyuma afrika kulikua hakuna shabiki wa hiyo timu
Dogo pita vizuri kwenye jukwaa la wanaume
City ndo inawafanya mnaringa saivi...hamuwezi shindana na kaka enuuuu....subirini the red side of Manchester wawaonyeshe kaziManshit mmejifunzia mpira ukubwani
Miaka 10 nyuma afrika kulikua hakuna shabiki wa hiyo timu
Dogo pita vizuri kwenye jukwaa la wanaume
Endeleeni kuhesabu mkimaliza mtasema, saizi mtakuwa mmefikia 15 eti ee, maana kutuhesabia sisi uende tatuNyie Ni takataka tu. Tunawahesabia mechi