Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hili suala la Partey nadhani wengi wanaliona isipokuwa humu kwa tactico wa JF. Hatuna mid kama Partey sure ila he is not good enough kwa position anayocheza. Jana kakupa kitu, subiri against the better tactical teams utatamani ulie. Against leicester alikuwa na 69% passing accuracy, jana alikuwa na 89% of passing accuracy, where's consistency? Na ndio tatizo la Partey toka kaja Arsenal hanaga Consistency, he can't replicate the same performance week in week out. He lacks IQ

Arteta: "Really pleased, but at the same time there are many areas we can get much better."

Msome huyo mdau anajiita kroenke hype, naona ana idea kama nilichokuwa nakiona, hiyo ilikuwa baada ya game ya jana.View attachment 2330451
Nimekupata.

Ila unajua namna Palace walikua wanacheza ilikua ngumu timu kupiga pasi kwa usahihi mara zote?

Notice kwamba jana hata Saliba amekua na accuracy ya 100%. Mfano Eze kwenye game yetu atakua na accuracy kubwa ukilinganisha na dhidi ya Liva.

Am simply saying kuna makosa Partey anafanya kwakua timu nzima bado haina fluid movement kwenye kukaba na kushambulia ndiyo maana ubora wake (accuracy) unaonekana kwa baadhi ya timu. Jana pia Arsenal tulikua tunakaba wawili kwa mmoja tofauti na game na Palace.

Mchukue Partey mtupe Chelsea, mtupe United utapata picha
 
Midfielders wengi wa kiafrika wanavipaji ila wanalack Football IQ, wamekosa tactical education toka walivyokuwa wadogo cuz wamekuwa kwenye mipira ya mitaani, ni wachache wamepata bahati ya kuunderstand game mentally, huwezi kucompare na midfielders wa kiespaniola waliokuzwa kwenye Academy kama La masia etc. Hii kwangu naona ni sababu inayomfanya Pep Guardiola kuwaepuka sana wachezaji hawa.

Partey kwa kipaji alichonacho angekuwa the World Class midfielder kama angekuzwa na Pep Guardiola, unfortunately amekuzwa na Diego simeon, so sishangai the reason why yupo so aggressive.

Ebu mcheki Tchouameni, amecost €100m but he is a low IQ dumbass when it comes to game understanding.
 
IQ intelligence Quotient

Football IQ = football intelligence
Includes
Accuracy
Passing
Vision
Ball control
Bal balance

Partey as a midfielder:
Anachezea timu
Yupo vizuri defensive
Winning mipira
Yupo vizuri man to man
Ana speed
Ana vision

That's all I know
Bado hujaongelea game Control in General, ungegusia aspects kama Calmess, Composure, passing accuracy, passing selection, dictating the tempo of the game, intensity off the ball, winning duels etc.

Mikel Arteta in AON anasema kama huwezi kuwin duels you can't control games off the ball.
 
Nimekupata.

Ila unajua namna Palace walikua wanacheza ilikua ngumu timu kupiga pasi kwa usahihi mara zote?

Notice kwamba jana hata Saliba amekua na accuracy ya 100%. Mfano Eze kwenye game yetu atakua na accuracy kubwa ukilinganisha na dhidi ya Liva.

Am simply saying kuna makosa Partey anafanya kwakua timu nzima bado haina fluid movement kwenye kukaba na kushambulia ndiyo maana ubora wake (accuracy) unaonekana kwa baadhi ya timu. Jana pia Arsenal tulikua tunakaba wawili kwa mmoja tofauti na game na Palace.

Mchukue Partey mtupe Chelsea, mtupe United utapata picha
Nakubaliana na wewe ila hoja yangu ni kwamba kwanini holding midfielder upige line breaking passes wakati muda mwingi unacheza kwenye 1st phase & 2nd phase na besides you kuna Ø/ Xhaka ambao wangefanya hiyo kazi vizuri zaidi cuz wapo karibu na final 3rd? Kazi ya partey with the ball ni kusaidia build up, na kuprogress mpira to the other areas.

often times Unafanya line-breaking passes against compact midblock defense ya Patrick Viera hapo lazima passing accuracy ije 69%. Tukisema huna IQ ni vibaya?.
 
Nakubaliana na wewe ila hoja yangu ni kwamba kwanini holding midfielder upige line breaking passes wakati muda mwingi unacheza kwenye 1st phase & 2nd phase na besides you kuna Ø/ Xhaka ambao wangefanya hiyo kazi vizuri zaidi cuz wapo karibu na final 3rd? Kazi ya partey with the ball ni kusaidia build up, na kuprogress mpira to the other areas.

often times Unafanya line-breaking passes against compact midblock defense ya Patrick Viera hapo lazima passing accuracy ije 69%. Tukisema huna IQ ni vibaya?.
Una logic mkuu.

Partey wakati anafika alikuta hatuna AM. Xhaka alikua anasua sua na anaishia nje ya box, Odegaard hakuepo akaja ila hakua amefit kama sasa.

Partey akawa kama orchestrator nafikiri anaikumbatia hii role mpaka kipindi hichi wakati Xhaka anasogea mbele na Odegaaard yupo na nafikiri ndipo unapomuona kiazi kwamba kwanini anafosi kuorchestrate wakati odegaard yupo.

Lakini mimi naona bado ni injini yetu anagawa mipira kila upande, also mi binafsi naona aendelee kuorchestrate kwakua timu yetu bado haijajengwa around one forward ndiyo maana yeyote anatakiwa kuscore.
 
Back
Top Bottom