Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna jamaa humu alisema tuwaige city ku manage game kwa dakika tisini nadhani naye leo kajifunza hii ni premier league

Kuna muda Newcastle 96% city 4%
Huwezi kukotroo game 90mins hata ufanyeje, hata nyakati barca wakiwa kwenye prime hawakuwa wakikontroo mchezo 90mins.
 
Kuna jamaa humu alisema tuwaige city ku manage game kwa dakika tisini nadhani naye leo kajifunza hii ni premier league😀

Kuna muda Newcastle 96% city 4%
Kila Mtu acheze anavyoweza kikubwa point tatu, Sasa unameneji nini domo linakuwa limeshavimba Kwa kichapo
 
Nakubaliana na wewe ila hoja yangu ni kwamba kwanini holding midfielder upige line breaking passes wakati muda mwingi unacheza kwenye 1st phase & 2nd phase na besides you kuna Ø/ Xhaka ambao wangefanya hiyo kazi vizuri zaidi cuz wapo karibu na final 3rd? Kazi ya partey with the ball ni kusaidia build up, na kuprogress mpira to the other areas.

often times Unafanya line-breaking passes against compact midblock defense ya Patrick Viera hapo lazima passing accuracy ije 69%. Tukisema huna IQ ni vibaya?.
Fact

Ukisema odegard na xhaka wapige hizo passes, safu ya ushambuliaji itakua slow,

Xhaka profile yake ingefika level ya de brune
Odegard akifika level ya Bernardo

Saka na martinel waongeze juhudi


Lakin bado Partey anachokifanya ni sahihi
Tunahitaji total pressing
Partey tunamuhitaji pia awe anafunga

Yani ifike pahala mchezaji yeyote awe anafunga, labda kipa tu

Umemuona saliba jana
 
Leeds 3 - 0 cheltako
Mpaka Sasa newcastre 3 - 1 man city
Chelsea Kawa kiazi na man city anaenda kuwa chapati Leo.. YAJAYO YANAFURASHA
 
Kama huwezi kucontrol games ukishakufa 3-1 kwa Newcastle then ukapata hata draw mshukuru mungu, kwa aggression waliyonayo Newcastle off the ball, the increased technique with the ball, especially wakiwa home unahitaji high IQ players all over the pitch kuwafunga, I'm sure the fit Liverpool can do that.
 
Msimu juu ni wa peke sana, sikumbuki ni msimu gani wa hivi karibuni tuliweza kuanza hivi.. inatia faraja sana japo huwezi kujua uelekeo halisi wa timu mpaka angalau zifike game 15..
Screenshot_2022-08-21-20-52-10-590_com.kokteyl.goal.jpg
 
Kuna jamaa humu alisema tuwaige city ku manage game kwa dakika tisini nadhani naye leo kajifunza hii ni premier league

Kuna muda Newcastle 96% city 4%
Mara nyingi possession ya aina hii ina indicate kitu tunaita Sustaining pressure / waves of attacks, na inakuwa emotional zaidi ya logical cuz of the atmosphere behind, huwa inatokea kwa muda mfupi sana. Huwezi kusema umewapin Man city back for 96% of ball possession say in 30 minutes. Newcastle hawezi replicate hii control kwa zaidi ya dakika 10. Hiyo huwa ni "last five minutes possession."
 
Msimu juu ni wa peke sana, sikumbuki ni msimu gani wa hivi karibuni tuliweza kuanza hivi.. inatia faraja sana japo huwezi kujua uelekeo halisi wa timu mpaka angalau zifike game 15.. View attachment 2330639
Tupo vizuri mno, Gooners tunatakiwa tulie na Control hiyo ndio sumu kwetu, quality tunayo kumfunga yoyote, game control itaturudisha nyuma against better teams.
 
Timu imerejea.. GJ ndio Henry, Martinelli ndio bergcamp, Saka ndio Pires, Partey ndio Vieira, Saliba ndio Campbell, Odegaard ndio Gilberto na Magalhanes ndio Lauren.

Epl inabebwa.😀😀😀
HAHAHAHA. Namuweka odegaard kama bergkamp. Yeye ndio creator in chief. Elneny ndio Gilberto, Invisible wall. Martinelli awe overmars, direct running. Saka awe ljungberg. Tomi ni eboue, Mzee wa overlaps na crosses
 
Kila kitu kina nyakati zake na hapa ni lazima ukubali kukaa chini na kujenga timu, ukishakuwa comfortable kupata matokeo hata hiyo control ya game itakuwepo 2 cz ya confidence ya wachezaji, mie nw nachoangalia matokeo kwanza masuala ya kukontrol game hiyo ni ziada like kachumbali kwny msosi,
 
Tupo vizuri mno, Gooners tunatakiwa tulie na Control hiyo ndio sumu kwetu, quality tunayo kumfunga yoyote, game control itaturudisha nyuma against better teams.
Mm Nina mashaka kama tutaweza kumantain hii Kasi hasa ikitokea injuries maana miaka yote ndio huwa ugonjwa wetu.... Pale kwa Partey kocha aharakishe kutafuta back up yake maana yule bwana ni pancha sana... Tukifikisha mechi 5 bila kufungwa itatusaidia sana kujenga winning mentality..
 
Shida yake mwisho wake si mzuri, anaweza kufanya vizur, akachukua kijiji mwisho akatoa pasi mkaa au akabutua nje
Ndo maana mchangiaji amesema akipata kocha mzuri hata Vinicius Junior wa Madrid alikuwa hivyo msimu wake wa kwanza hati wakamtengenezea memes lakini unaona sasa hivi pasi zinavyofika na kufunga.
 
Back
Top Bottom