Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 14,563
- 22,837
Mpaka January moto wao utakuwa umekataNawataka hawa walitunyima top 4 naona pia wameimarika mno itakuwa kipimo sahihi hapo kwao
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Mpaka January moto wao utakuwa umekataNawataka hawa walitunyima top 4 naona pia wameimarika mno itakuwa kipimo sahihi hapo kwao
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Huwezi kukotroo game 90mins hata ufanyeje, hata nyakati barca wakiwa kwenye prime hawakuwa wakikontroo mchezo 90mins.Kuna jamaa humu alisema tuwaige city ku manage game kwa dakika tisini nadhani naye leo kajifunza hii ni premier league
Kuna muda Newcastle 96% city 4%
Kila Mtu acheze anavyoweza kikubwa point tatu, Sasa unameneji nini domo linakuwa limeshavimba Kwa kichapoKuna jamaa humu alisema tuwaige city ku manage game kwa dakika tisini nadhani naye leo kajifunza hii ni premier league😀
Kuna muda Newcastle 96% city 4%
FactNakubaliana na wewe ila hoja yangu ni kwamba kwanini holding midfielder upige line breaking passes wakati muda mwingi unacheza kwenye 1st phase & 2nd phase na besides you kuna Ø/ Xhaka ambao wangefanya hiyo kazi vizuri zaidi cuz wapo karibu na final 3rd? Kazi ya partey with the ball ni kusaidia build up, na kuprogress mpira to the other areas.
often times Unafanya line-breaking passes against compact midblock defense ya Patrick Viera hapo lazima passing accuracy ije 69%. Tukisema huna IQ ni vibaya?.
Man city mpaka dakika ya mwisho ndio unaweza kuongelea matokeo yao.Leeds 3 - 0 cheltako
Mpaka Sasa newcastre 3 - 1 man city
Chelsea Kawa kiazi na man city anaenda kuwa chapati Leo.. YAJAYO YANAFURASHA
Kweli aisee!.. wako level... Wakikomaa wanashinda hii game!..Man city mpaka dakika ya mwisho ndio unaweza kuongelea matokeo yao.
Mara nyingi possession ya aina hii ina indicate kitu tunaita Sustaining pressure / waves of attacks, na inakuwa emotional zaidi ya logical cuz of the atmosphere behind, huwa inatokea kwa muda mfupi sana. Huwezi kusema umewapin Man city back for 96% of ball possession say in 30 minutes. Newcastle hawezi replicate hii control kwa zaidi ya dakika 10. Hiyo huwa ni "last five minutes possession."Kuna jamaa humu alisema tuwaige city ku manage game kwa dakika tisini nadhani naye leo kajifunza hii ni premier league
Kuna muda Newcastle 96% city 4%
Tupo vizuri mno, Gooners tunatakiwa tulie na Control hiyo ndio sumu kwetu, quality tunayo kumfunga yoyote, game control itaturudisha nyuma against better teams.Msimu juu ni wa peke sana, sikumbuki ni msimu gani wa hivi karibuni tuliweza kuanza hivi.. inatia faraja sana japo huwezi kujua uelekeo halisi wa timu mpaka angalau zifike game 15.. View attachment 2330639
HAHAHAHA. Namuweka odegaard kama bergkamp. Yeye ndio creator in chief. Elneny ndio Gilberto, Invisible wall. Martinelli awe overmars, direct running. Saka awe ljungberg. Tomi ni eboue, Mzee wa overlaps na crossesTimu imerejea.. GJ ndio Henry, Martinelli ndio bergcamp, Saka ndio Pires, Partey ndio Vieira, Saliba ndio Campbell, Odegaard ndio Gilberto na Magalhanes ndio Lauren.
Epl inabebwa.😀😀😀
Mm Nina mashaka kama tutaweza kumantain hii Kasi hasa ikitokea injuries maana miaka yote ndio huwa ugonjwa wetu.... Pale kwa Partey kocha aharakishe kutafuta back up yake maana yule bwana ni pancha sana... Tukifikisha mechi 5 bila kufungwa itatusaidia sana kujenga winning mentality..Tupo vizuri mno, Gooners tunatakiwa tulie na Control hiyo ndio sumu kwetu, quality tunayo kumfunga yoyote, game control itaturudisha nyuma against better teams.
Shida yake mwisho wake si mzuri, anaweza kufanya vizur, akachukua kijiji mwisho akatoa pasi mkaa au akabutua nje 😂Saint Maximin akipata kocha mzuri na timu nzuri, anaweza kuchukua ballon'or. Kylie Walker hana hamu naye
Ndo maana mchangiaji amesema akipata kocha mzuri hata Vinicius Junior wa Madrid alikuwa hivyo msimu wake wa kwanza hati wakamtengenezea memes lakini unaona sasa hivi pasi zinavyofika na kufunga.Shida yake mwisho wake si mzuri, anaweza kufanya vizur, akachukua kijiji mwisho akatoa pasi mkaa au akabutua nje![]()