toobiter
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 1,422
- 2,791
hakujawahi kuwa na team ya namna hiyo wewe.arsenal invicible club.mmh labda nisaidiweArsenal invincible club timu bora ya dunia iliyomsumbua Madrid![]()
hakujawahi kuwa na team ya namna hiyo wewe.arsenal invicible club.mmh labda nisaidiweArsenal invincible club timu bora ya dunia iliyomsumbua Madrid![]()
Nketia kwa sasa Amekomaa na kukua pia, dakika chache anazopata na kuzitumia zinaonyesha hilo, yuko faster,ana shoot, anaweza tokea kushoto na kulia na akaingia kwenye box kwa kasi ile ile , ila anazidiwa vitu vichache sana na Jesus.nimejipa homework kumfatilia nketiah,the guy ni natural striker kabisa kuna muda baadhi ya game awe anaanza.movements zake,positioning,runnings zake kwenye kumi na nane na namna anavyoscore the guy is totally number 9(in my view).
its up to arteta whether kill him(kwa bench na few minutes) au amfanye kuwa target man wake.the guy is a killer ila anahitaji mental maturity tu.na hii ataipata kwa experience uwanjani jinsi anavyobebeshwa majukumu na jinsi kocha anavyoongea nae on and off the pitch
Itakuwa vizuri, lakini si jambo jepesi hata kidogo.Hapa HATUTAKI kupoteza point hata 1 , mbeleni tutajua itakuwajeView attachment 2327256
Kabisa na liver mwenyewe akija kwa kiwango chake cha sasa anakufa vizuri tuLabda arsenal ya msimu uliopita mkuu
Arsenal hii namsubiri liver na city tu
Mkuu urefu wa mabeki tu peke yake hausadii kuzuia kufungwa magoli ya corner, nadhani ni jinsi gani hao mabeki wako trained katika kuzuia set piecesunaposajili CB unaangalia pia na kigezo tunaita height
on madern football kumetawala setpieces kama una beki mfupi kazi unayo
kwa uwepo wa saliba na gabriel wapinzani watasubiri sana kuona arsenal ambayo watafungwa goli la kona au cross
Msimu uliopita Kama sikosei tulifungwa goli 1 au 2 kwa kona
Wala sijabisha ,na nilishawahi kueleza humu kazi ya Nicolas Jover ,Kocha wa set pieces ,Mkuu urefu wa mabeki tu peke yake hausadii kuzuia kufungwa magoli ya corner, nadhani ni jinsi gani hao mabeki wako trained katika kuzuia set pieces
Na Kwa msimu uliopita nadhani kilichosaidia arsenal kufungwa goal chache za corner ni kutokana na mafunzo ya kocha wa set pieces
Nitakutolea mfano wa msimu uliopita Kati ya team ambayo imefungwa magoli mengi ya corner ambayo ni Leicester na team ambayo imefungwa magoli machache ambayo ni Man city
Tuangalie urefu wa CB za hizi team mbili
LEICESTER
Fonana 190cm Evans 188cm
MAN CITY
Ruben 186cm Raporte 191cm na kumbuka kuwa kuna game alikuwa anacheza pia Fernandinho kama CB 179cm
ARSENAL
Gabriel 190cm Ben White 185cm
Kwahiyo ukiangalia hizo takwimu issu sio urefu wa CB bali ni how team nzima na hao CB wanadefend na kuattack corner
Kwa upande wa Arsenal msimu uliopita sifa ziende Kwa set pieces coach ambae amefanya Arsenal iwe miongoni wa team zilizofungwa magoli machache ya corner nadhani 2 na imefunga magoli mengi ya corner 13
Ukiangalia Man city ndio wanaongoza Kwa Kufunga magoli mengi ya corner na pia wanafungwa magoli machache ya corner (1) kwahiyo hizo ni sifa za set pieces Nicolas Jover na sio urefu wa CB
Nikusahihishe!Mkuu haina haja ya kurudi tulikofunika kombe, binafsi niliamua kukaa kimya tuliache(naheshimu maoni yako, si lazima sote tuwe sawa, hii ni nature kabisa)
Ila kwangu uzungumzacho sicho, kwangu partey anaitendea haki nafasi yake kwa A+, hii kazi ilimshinda xhaka, tukawa na maboko mengi yaliyosababisha magooli kibao, toka aje ishu imepungua, tizama mashambulizi yetu yanavyoanza, tizama anavyoiamuru timu kuondola nyuma, anaisogeza kwa touches zake, mikimbio bila mpira ama dribbling, kitu kimoja tu si mzuri saana wa kupiga long balls, kwa position yake anahitaji mnoo hii kitu..
Anaweza fanya kazi yake fresh, wenzie wakashindwa timiza majukumu yake, msimu uliopita game na man city tu aliwaweka hao kina rodri na wenzie mfukoni akawa anatamba yeye tu.
Arteta on team news:
"Everybody is OK. Cedric, Fabio and Emile played for the U21s. They are OK, they have trained all week so they are available."



Mkuu sidhani kama ulimuelewa jamaa, sijaona sehemu uliyomsahihisha kama ulivosema na wala sijaona sehemu ambayo jamaa ameandika kuwa Partey alikuja Arsenal kuwa mbadala wa XhakaNikusahihishe!
Thomas Partey hakuletwa kuchukua nafasi ya Xhaka ndio maana wapo wote uwanjani. Xhaka hakuwahi kushindwa kazi yake, kinacho kuchanganya na wengine wengi ni kudhani Xhaka ni DF.
Xhaka alitumika hiyo nafasi unayosema "Kazi ilimshinda" kwa kuwa Wenger hakuwa na option ya ziada baada ya majeruhi ya Francis Coquelin, Jack Wilshire, Aaron Ramsey, Santi Cazorla, Chamberlain, inconsistency ya ElNeny, Flamini na Rosicky walikuwa wanondoka na Mikel Arteta alikuwa amestaafu.
Xhaka ndiye aliyecheza nafasi hizo za kati tofauti katika vipindi tofauti pasipokuwa na watu ilifika kipindi baada ya Monreal kuondoka akacheza LB na mara nyingine CB, Ilhali sio nafasi zake.
NAHESHIMU maoni, mtazamo na mawazo yako kama haki ya kila mtu, pia naamini huwezi kupendwa na wote na kuchukiwa na wote. Lakini kitendo cha Xhaka kucheza chini ya makocha 6 timu 5 tofauti First Eleven kila mchezo na zote amekuwa Captain! Lazima kichunguzwe.
Nikusahihishe!
Thomas Partey hakuletwa kuchukua nafasi ya Xhaka ndio maana wapo wote uwanjani. Xhaka hakuwahi kushindwa kazi yake, kinacho kuchanganya na wengine wengi ni kudhani Xhaka ni DF.
"
Xhaka alitumika hiyo nafasi unayosema "Kazi ilimshinda" kwa kuwa Wenger hakuwa na option ya ziada baada ya majeruhi ya Francis Coquelin, Jack Wilshire, Aaron Ramsey, Santi Cazorla, Chamberlain, inconsistency ya ElNeny, Flamini na Rosicky walikuwa wanondoka na Mikel Arteta alikuwa amestaafu
Hatubishani, tunapeana mbili.
Xhaka ndiye aliyecheza nafasi hizo za kati tofauti katika vipindi tofauti pasipokuwa na watu ilifika kipindi baada ya Monreal kuondoka akacheza LB na mara nyingine CB, Ilhali sio nafasi zake.
NAHESHIMU maoni, mtazamo na mawazo yako kama haki ya kila mtu, pia naamini huwezi kupendwa na wote na kuchukiwa na wote. Lakini kitendo cha Xhaka kucheza chini ya makocha 6 timu 5 tofauti First Eleven kila mchezo na zote amekuwa Captain! Lazima kichunguzwe.
Naona ndugu isajorsergio alisoma ila hakuelewa nimaanishacho.Mkuu sidhani kama ulimuelewa jamaa, sijaona sehemu uliyomsahihisha kama ulivosema na wala sijaona sehemu ambayo jamaa ameandika kuwa Partey alikuja Arsenal kuwa mbadala wa Xhaka
Na kingine jamaa wala hajaongelea issue ya kwanini Xhaka amepata nafasi Kwa kila kocha na hapo ndio hoja yako ilipo, sijui waga kwanini unapenda sana kuchomekea hii issue ata sehemu ambayo haijaongelewa
Kwa nilivomuelewa Mie, jamaa hapo alikuwa anamjibu mdau ambae alikuwa anasema Partey hana IQ ya mpira Kwa sababu anashindwa kucontrol game
Ndio mshkaji kamjibu Kwa kusema kuwa Partey anatekeleza majukumu yake Kwa A+ akikumbushia last two seasons ambazo hiyo nafasi alikuwa anacheza Xhaka vile alivokuwa anachomesha team na kuishia kufungwa, which is true
Xhaka saizi ana majukumu tofauti na mwanzo ndomana kila mtu saizi anamfurahia, yeye anasogea juu na partey anabaki chini kulink na mabeki akiungana na zinny, ila kwakuwa umekalili kila anapotajwa Xhaka basi atakuwa amesemwa ndomana ata comment husomi inahusu nini we unavamia tu