Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal vs Leicester

Ilikuwa game ya kuwapa raha mashabiki ,wachezaji hakutoa jasho

Walifanya vitu rahisi TU, unapata mpira unaachia ,unafungua njia

Kiukweli napenda Sana mpira wa hivi, tuliucheza dk 35 dhidi ya palace

Mpinzani lazima achanganyikiwe

Naona Ni style play aliyokuja nayo Kocha , hata XHAKA anabidi awe fasta ,

Ila yule zinny ,G Jesus ukiwaangalia utamuheshimu pep , utajua kwann anatawala epl , yaan ana quality zimejaa had bench,
 
Patrick Vieira Kocha mzuri Sana,

Akiwa France nilimchukulia poa Sana

Ana mbinu ,anaheshimu wapinzan,

Palace ya Roy hodson ilikuwa timu ya kukaa nyuma muda wote, ila ya Vieira inashambulia hata kwa kushtukiza inapobanwa Kama Jana vs Liverpool.
 
Watu wanachukulia Mambo kirahis Sana

Zaha na eze wangukuwa hawakai na mpira Sana ,wangeshinda hii mech

Halafu yule muhuni anapiga long balls Kama karogwa Andersen sijamuona , angekuwepo kipind Cha pili angewasaidia Sana kwenye kaunta
Aaaah jamaa ana balaa nakumbuka mechi ytu aseee alipga long balls za hatar afu mpira lazma ufike
 
🚨 || Arsenal had followed Lisandro Martínez closely & bid to sign him this summer. The intention was to play him as an LB, as there were concerns over whether a relatively small player could thrive as a CB [Via - @GunnerBlog].
 
🚨 || If Arsenal don’t follow up their interest in Youri Tielemans, he will let his contract run down at Leicester & leave on a free next summer [Via - @RobTannerLCFC].
 
Ndugu zangu mna Upepooo msimu huuu...!!
Wana upepo au wanatoa upepo?
Epl mbio zake ndefu na hawa wauza supu hawana pumzi.
Nina uhakika wa asilimia nyingi Arsenal pumzi itakata mapema sana kabla hata ligi haijafika mbali.
Arsenal inayoanza ligi kwa kusuasua ndio inayofika mbali ila hawa kina Salima(Saliba) muda sio mrefu wataanza kuliwa kimasihara, Europa inawahusu tena msimu ujao.
 
Wana upepo au wanatoa upepo?
Epl mbio zake ndefu na hawa wauza supu hawana pumzi.
Nina uhakika wa asilimia nyingi Arsenal pumzi itakata mapema sana kabla hata ligi haijafika mbali.
Arsenal inayoanza ligi kwa kusuasua ndio hua inafika mbali ila hawa kina Salima(Saliba) muda sio mrefu wataanza kuliwa kimasihara, Europa inawahusu tena msimu ujao.
😀 😀 😀 😀Angalau wameanza vizuri
 
Wana upepo au wanatoa upepo?
Epl mbio zake ndefu na hawa wauza supu hawana pumzi.
Nina uhakika wa asilimia nyingi Arsenal pumzi itakata mapema sana kabla hata ligi haijafika mbali.
Arsenal inayoanza ligi kwa kusuasua ndio inayofika mbali ila hawa kina Salima(Saliba) muda sio mrefu wataanza kuliwa kimasihara, Europa inawahusu tena msimu ujao.
Utakuta ww ni shabiki wa man u
 
NIKWELI MIMI SIJUI MPIRA , ILA NITAKUELEZA KIDOGO NIKIJUACHO,

Maana naona unadai Partey hakai na mpira mara ha hold , nimejiuliza wewe unayejua mpira ,unashindwaje kujua Aina ya viungo, unashindwaje kujua toka Arteta anafika Arsenal alisema anataka kiungo gan wa chini, kuanzia hapo nimekuwa na wasiwasi na uliposomea mpira nakuujua .

Mimi kwa elimu yangu ndogo, nimekuwa namsikia kocha anasema Partey ana control game , hakumleta Partey awe Holding midfielder Kama unavyolalamika ,

msikilize Kocha hapa

YouTube › watch
"Exceptional! He controlled and dominated the game!" Arteta ...

Sasa Mimi nikiendelea kubishana na wewe nitakuwa napoteza muda
Anachosema Kocha Kuhusu Partey

"He's really important because he is the anchor," Arteta said. "He is the one that needs to read what is happening and make the rest better.

"That's his biggest job, to get the right balance in the team and get the right fluidity in the team so we can attack.

"How he managed the transitions was top, he has the pressing and the charisma

Kocha anamuona ndiye muhimili wake ,wewe huna hata lesen ya awali hapo TFF unasema vingine .

Kocha anasema huyo ndiye boss wa midfield ya Arsenal , Anchor , wewe unakomaa mara ha hold mpira , Nan aliyekwambia Arteta anamtumia Partey Kama Holding midfielder?

Huyo ni DEEP LYING PLAYMAKER

DEEP LYING PLAYMAKER.
-Tofauti yake na deep lying midfielder au holding midfielder ni kwamba, deep lying playmaker focus yake ya kwanza uwanjani ni kuifanya timu iende mbele zaidi. Anaweza asiwe na majukumu makubwa ya kukaba na kuzuia lakini anahakikisha anai-push timu iende mbele. Mara nyingi viungo wa aina hii wanakua na uwezo mkubwa wa kupiga pasi za mbali zenye uhakika,
pasi ya ‘kuhamisha uwanja’. Mfano mzuri ni kiungo mtaalamu Andrea Pirlo, Nchini Italy viungo wa aina hii hujulikana kama “Regista”. Nchini Brazil kama “meia-armador”.

Ndio maana Arteta hakuwa na time na viungo wapiga kuni Kama Bissouma , Toreira ,

Hapa unapata picha Kuna kipind alimtaka Hadi Gorginho wa Chelsea ,why Ni sababu anataka kiungo anayecheza juu ya back 4 awe DLP , na kwasasa sokon anayepatikana mwenye hiyo role Ni FDJ .

Utaona hata Eric Ten hagg kwann anakomaa na FDJ , na sio wapiga kuni.

Naishia hapa ,
Ndugu hamis ni vizuri umekiri elimu yako ni ndogo. Ukitata kunielewa utanielewa, usipotaka its ok i don't give a shit.

Holding midfielder sio mchezaji anayehold mpira kama unavyodhani wewe, ni mchezaji anayehold eneo lake la pivot, anayecheza close to the backline, kazi yake kubwa ni kuexcel kwenye build up / progression phases.

Ungejua maana ya Holding mid usingeona utofauti wa Partey na Bissouma. Arteta anavyomtumia Partey ndivyo Graham potter alivyomtumia Bissouma pale Brighton.

Partey sio DLP, DLP ni mchezaji anayecreate chances from deep areas, TAA/ KDB/ Fabio Vieira wote wangeweza kuwa DLP cuz wanazo hizo sifa za kucreate from Deep. Partey anacreate chance ngapi? Partey ana assist ngapi?

Maneno ya mikel Arteta yanatofauti gani na nilichokisema mwanzo? Unaweza kunionesha utofauti?

"He's really important because he is the anchor," Arteta said. "He is the one that needs to read what is happening and make the rest better.

"That's his biggest job, to get the right balance in the team and get the right fluidity in the team so we can attack.

"How he managed the transitions was top, he has the pressing and the charisma"

umelichukua suala la mimi kusema Partey anahitaji kuhold mpira bila kuelewa namaanisha nini, Ex Arsenal vs Sevilla ndani ya dk 19 tunaongoza goli 4, na unamuona Partey is too vertical, play aggressive passes, kuna ubaya Partey kuhold mpira kwa 5sec tukiwa tunaongoza goli 4? Hiyo ndio maana ya game control, hakuna haja ya kucheza direct football ikiwa timu inaongoza goli nne, unainyima timu control, unainyima timu tactical balance.

Lets be honest, Arteta kasema kazi ya partey ni control ya mchezo, wewe unaiona Arsenal inaweza kucontrol mchezo? How? Mfano dhidi ya palace unadhani dk 20 za mwanzo zilikuwa sawa na kipindi kilichobaki? Kwanini?

Kwanini tunacheza vizuri kwa kipindi flan then tuna sit off kwa kipindi flani ikiwa tuna tactical & technical balance?

Angalia Liverpool wakiwa pungufu dhidi ya palace wanauwezo mkubwa wa kucontrol mchezo kuliko sisi tulichokifanya Selhust park ingawa tulishinda, kushinda sio ujanja kwa mtu anayeunderstand game in a tactical perspective, fundamental is key.
 
Mimi nilikuwa nashangaa tu! Maana huyu mwenzetu ni kama anaanza kupoteza akili ya mpira polepole maana Huwa Yuko vizuri ila nahisi alisoma mahali hiyo habari ikamuingia na yeye kaihamishia hapa.
Nipo sahihi mkuu, nipo sharp enough, i know what I'm talking about.
 
Ananichanganya zaidi anaposema partey yuko na IQ ndogo, sasa sijui kina mctominay kama Watakuwa hata na ubongo
Mkuu unaelewa cuz mjadala huu tulianza mimi na wewe, game ilikuwa dhidi ya Brentford nilikupa hadi viclip, matatizo yake ni tactical consinstency ndio inamfanya anafeli as a controller.

Kuna makosa ya aina mbili, kuna makosa individual errors, na kuna makosa tactical errors, Partey yupo kundi la pili, that's why wengi hamuoni kwa macho ya kawaida.

Im speaking from elite perspective, ukweli Arsenal hatuna uwezo wa kucontrol games kama liverpool / City wafanyavyo ingawa tuna qualitative & tactical balance kwenye frst X1, sasa kwanini hatuwezi kucontrol games wakati Controller tunaye and he is talented than Rodri/ Fabinho? Simple, he lacks the mental side of the game, he lacks IQ.
 
Yaan sijui kina MCFred Wana IQ ngapi
Mfano mzuri mkuu, Thomas partey is physically & technically better than Sergio bosquets, lakini nani anacontrol games vizuri btn them? Jibu ni Sergio bosquets, why? He got an IQ, he understands how to dictate the tempo of the game.

Mr mikel Arteta umemquote hapo juu anaongea kuhusu kuusoma mchezo, reading the game, maana yake kwamba tunaongoza goli nne mchezo uwendaje? Au Tumefungwa tupo nyuma kwa goli moja mchezo uendaje? Na anasema wazi ndio kazi ya Partey.
sasa Mr Partey tunaongoza goli 4 yeye yupo vertical tu instead of making it simple & short, nikisema analack IQ nakosea? Na nashangaa unamsupport it's ok kutokuhold mpira for a while wakati timu inaongoza goli 4, sasa atacontrol vipi mchezo? Kwa kucheza direct footie, sisi sio Counter attack teams, we're possessional based.
 
Mkuu unaelewa cuz mjadala huu tulianza mimi na wewe, game ilikuwa dhidi ya Brentford nilikupa hadi viclip, matatizo yake ni tactical consinstency ndio inamfanya anafeli as a controller.

Kuna makosa ya aina mbili, kuna makosa individual errors, na kuna makosa tactical errors, Partey yupo kundi la pili, that's why wengi hamuoni kwa macho ya kawaida.

Im speaking from elite perspective, ukweli Arsenal hatuna uwezo wa kucontrol games kama liverpool / City wafanyavyo ingawa tuna qualitative & tactical balance kwenye frst X1, sasa kwanini hatuwezi kucontrol games wakati Controller tunaye and he is talented than Rodri/ Fabinho? Simple, he lacks the mental side of the game, he lacks IQ.
Mkuu haina haja ya kurudi tulikofunika kombe, binafsi niliamua kukaa kimya tuliache(naheshimu maoni yako, si lazima sote tuwe sawa, hii ni nature kabisa)

Ila kwangu uzungumzacho sicho, kwangu partey anaitendea haki nafasi yake kwa A+, hii kazi ilimshinda xhaka, tukawa na maboko mengi yaliyosababisha magooli kibao, toka aje ishu imepungua, tizama mashambulizi yetu yanavyoanza, tizama anavyoiamuru timu kuondola nyuma, anaisogeza kwa touches zake, mikimbio bila mpira ama dribbling, kitu kimoja tu si mzuri saana wa kupiga long balls, kwa position yake anahitaji mnoo hii kitu..

Anaweza fanya kazi yake fresh, wenzie wakashindwa timiza majukumu yake, msimu uliopita game na man city tu aliwaweka hao kina rodri na wenzie mfukoni akawa anatamba yeye tu.
 
Arsenal tunaweza kuwin the league this season, if and only if tutakuwa injury free, upgrade Xhaka's profile in 433, Partey atakuwa tactically consistent, Magalhaes ana mambo yake ila kwa sasa hayana uzito sana cuz atleast tuna qualitative balance all over places so Partey & Zinchenko wanamsaidia kwenye progression.
 
Unadhani sergio hiyo kazi ni pekee yake.. Katika mpira kuna pairs.. Mmoja akitoa boko mwingine anakuwa katika wakati mgumu, sergio shughuli yake ilikiwa nyepesi na kina xavi, je busquets huyu ndio yule!?
 
Arsenal tunaweza kuwin the league this season, if and only if tutakuwa injury free, upgrade Xhaka's profile in 433, Partey atakuwa tactically consistent, Magalhaes ana mambo yake ila kwa sasa hayana uzito sana cuz atleast tuna qualitative balance all over places so Partey & Zinchenko wanamsaidia kwenye progression.
Umezungumzia hiki kitu, nimekigusia hapo juu

"atleast tuna qualitative balance all over places so Partey & Zinchenko wanamsaidia kwenye progression."
 
Back
Top Bottom