Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nice are trying to sign Nicolas Pepe from Arsenal. (@Santi_J_FM)
 
Binafsi haya mambo ya kutukanana yananiudhi sana. Mara nyingi napita kimya bila kucomment maana nimekereka na Watu wanvyotukanana. Watu wastaarabu wanaweza kujadili jambo Kwa lugha yenye staha. Tujitahidi kuheshimiana.

N.b...mimi ni mtukanaji mzuri sana Kwa maana ya kutamka maneno machafu katika maongezi ila siyatumii maneno machafu Kwa maana ya kumtukana mtu.

Mtu anaweza kumtukana mtu pasipo kutumia maneno machafu lakini bado Iko pale pale kuwa amemtukana mtu. Hili naliona hapa sana pia. Heshima iwepo jukwaani tafadhali.
 
🚨 || Pedro Neto could become a deadline target for a number of Premier League clubs. Arsenal, Chelsea & United among clubs informed about his potential availability [Via - @GraemeBailey].
 
Humu watu wanatabia za kike, mwanaume unafanya Gossiping, mwanaume unaleta kejeli za kike, mwanaume inabidi kuwa real, mtu akikuudhi na ukamuona mjinga mtukane live umuudhi ili ajifunze. Mimi nakutukana na nafanya hivyo for a purpose cuz nimekuona mjinga, i hope ujifunze next time and I dont care.

Sasa unakuta wanaume wawili watu wazima wanateta kwenye comment section 'huyo hivi, huyo vile' mara ooh una matatizo ya akili, that's feminine energy.

Usitoe kejeli kwa wanaume wanaojua vitu usivyovijua, just admit that i dont know this shit, learn.
 
🚨 || Nice are interested in Nicolas Pépé. Arsenal are open to sending him on loan & the player is open to joining the French side. Nice are already in contact with his agent [Via - @Santi_J_FM].
 
Humu watu wanatabia za kike, mwanaume unafanya Gossiping, mwanaume unaleta kejeli za kike, mwanaume inabidi kuwa real, mtu akikuudhi na ukamuona mjinga mtukane live umuudhi ili ajifunze. Mimi nakutukana na nafanya hivyo for a purpose cuz nimekuona mjinga, i hope ujifunze next time and I dont care.

Sasa unakuta wanaume wawili watu wazima wanateta kwenye comment section 'huyo hivi, huyo vile' mara ooh una matatizo ya akili, that's feminine energy.

Usitoe kejeli kwa wanaume wanaojua vitu usivyovijua, just admit that i dont know this shit, learn.
Wewe ndugu nimekuwa nakusoma humu michango yako miaka mingi , Ni mtu mstarabu Sana, sijui umepatwa na Nini

Either msongo wa MAWAZO, au Kuna kitu kimekukumba , nilisema awali siku hiz Kuna matatizo ya Afya ya akili na serikal inachukulia poa Sana
Ndio maana daily TAARIFA za watu kuua kwa risasi ,SHOKA,kujiua ,kujinyonga ,hizi habari zimekuwa nyingi Sana .

Nikiri wazi kwa mtu anayekujua humu ,Kuna shida mahali imekupata ,
 
Pepes agent Louis Ferrer was spotted at the Nice vs Strasbourg game

(via @AFC_Capital)
IMG_20220816_203918.jpg
 
Didn’t expect Arsenal to get offers for Nicolas Pépé but if the Nice move materializes, it basically confirms we are bringing in a new winger. Exciting.
 
🚨Latest news:
-Aston Villa are interested in Holding
-Nice want to take Pepe on loan
-Maitland-Niles has offers from German clubs
-Bellerin is still in talks with #AFC over terminating his contract to join Real Betis.
-Arsenal are still in for 2/3 signings.
🚨Arsenal are still in talks with Saka, William Saliba, Gabriel, Martinelli and Thomas Partey over new contracts. Ødegaard could pen a new deal this season as well. #afc
 
Jackie was the best.. Majeraha ni kitu kibaya saana kwa wachezaji, naamini jack aliishia kwenye 60% mpaka 75 ya uwezo wake halisi.
 

Attachments

  • Football_⚽️_✌️_gunner_for_life_❤💯_#essosnerajamaisbastos🤪💯❤️.mp4
    6.8 MB
Jackie was the best.. Majeraha ni kitu kibaya saana kwa wachezaji, naamini jack aliishia kwenye 60% mpaka 75 ya uwezo wake halisi.
huyu mwamba naamini tuliishia kuona 50% tu ya uwezo wake.
ila back to the days arsenal mpira ulikuwa unapigwa hasa yaani watu wanapiga one -two mpaka mpinzani anachanganyikiwa.
the likes of fabregas,nasri,wilshere(the beast)walcot,song,denilson etc hawa watu walikuwa wanakupa burudani to the fullest.
 
acha wenger aitwe wenger the guy was insanely genius,mnafungwa mech lakini mashabiki mnatoka mioyo imetakata kwa kandanda safi
 
Kila mchezaji Ana kipaji chake na uelewa wake halafu kwa wenzetu %90 wanafuata system inataka nin Sasa nyinyi mnajua kuliko anachokitaka arteta? Kama arteta kaona anachofanya Partey ni sawa inamaana arteta ndio Hana game IQ na sio Partey je ni kweli Arteta Hana IQ ?

Mimi ni mwalim pia ila mchezaji lazima afuate principle zangu kwanza za kwake baadae inamaana Kama makocha wote wa aseno hawajaliona hili basi sidhan Kama wanahitaji jamaa atulize ball vitu vya kujiongeza ni vile viko katika sub principle na sio main principle..
 
Partey had 69% of passing accuracy against Leicester city, hii inaonesha his aggressive pass selection inayoinyima timu control.
 
LEO BAADA YA KUONA MAZOEZI HAYA AMBAYO ARTETA ALIWAPA WACHEZAJI

NDIO NIMEKUMBUKA MANENO YA KYLE WALKER

Kyle Walker aliwahi kuulizwa mchezaji mwenye kipaji cha ufundi(Gifted Technically) zaidi ndani ya Man City: alisema

“Sitapanga kwa mpangilio wowote, ila Hawa watatu kwangu ndi bora nao ni Zinchenko, Mahrez & Silva. Wanagusa moja mbili wanaachia, . Kuna De Bruyne, Foden, Cancelo, lakini hawawakaribii hao watatu.
 
Back
Top Bottom