kama kawa...Golini kuna Almunia na Sqi ni one of CB!!!! Tutafungwa magoli ya Kiseeeeee*********la sana leo koz ya hawa wapuuzi....benchi sio baya.......Hope Walcott atakimbiza sana.......nawatakia game nzuri kwa Nasri, Wilshere na Song........
Ngoja tuwaonyeshe soka hawa vijana wa Blackburn ... ..... ....... ...... .... naona Wenger kaamua super sub Cesc ...... .....
BTW nasikia Manure wamebebwa sana leo .......
Nyie bana, kila Man U akishinda kabebwa........anyway poleni
Naona leo kasi kubwa sana wakuu, bila shaka ushindi mnao and hope this is your season to win the EPL trophy...mna-commitment moja tu ya EPL
Yaani Sijui tupate chance gani ndo tufunge......??? JW kakosa bonge la chance.......