Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hivi nyie nyumbu, cheltako na manshit mnaanzaje kumsema G. Jesus? Hivi mnajua kazi anayoifanya?

Hawa wa mashabiki wa manshit wanaongea kwa kuwa washamtoa kwetu, niwaambie tu Guardiola alimhitaji zaidi G. Jesus msimu huu kuliko Haaland. Take my words. Time will tell!

Nyie mashabiki wa nyumbu fc mnaomuongelea G. Jesus mpaka sasa hamna straika kama G. Jesus kwenye timu yao. Time will tell!

Nyie cheltako ndo mnamtegemea Kai Havertz.. mmekuja nanyi kumuongelea G. Jesus.. Hivi mnaijua kazi anayoifanya nyie takataka?

Nawaheshimu mashabiki wa Liverpool, wao wanaelewa soka ndo maana sijawaona wakileta midomo yao humu.

Shida ni hizi timu nyengine zinazojifananisha na kutaka ushindani na sisi.. nawaambia mwaka huu mtapata tabu sana!
Tutolee upupu apa ..uyo Gabriel atawafikisha wapi huu msimu, uyo ataruka ruka tu ndani ya game sita Saba ..atapoteana subiri muone, kule Man shitye alikuwa bench woma
 
Arsenal have received a new bid for Pablo Marì: Hellas Verona are offering permanent deal, Monza pushing for loan with obligation to buy in case they will stay in Serie A next season. ⚪️🔴 #AFC

Decision expected soon but Pablo Marì will 100% leave Arsenal.
 
Muache kupigwa nyie kwa kukurela , ije kuwa kwa Jesus

Sasa Jana KATIMIZA majukumu vzr

Ndio Maana hakuna mchezaji was arsenal aliyekuwa chini ya kiwango View attachment 2315829
Majukumu gani ametimiza jana? Amebadilishiwa majukumu au?. Majukumu yake ni tofauti na yale y pre season.
Jesus mchezaji wa mazoez ya pre season, mmepgwa mchana kweupe.
 
Ndio Maana elneny aliongezewa mwaka mmoja, Tieleman au paqueta atakuja as no.8
kama tunataka kuwa competitive elneny sio mtu anayeweza kuziba pengo la thomas
Na DM ni crucial position kwa timu zinazowin makombe
check liver ana fabinho hendo na Thiago wote hao wanampa option ya kuanza kama DM
City kaondoka fernandinho aliyekuwa anaanzia bench still nafasi yake imereplaciwa na phillips

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Utakuwa umeanza kuangilia mpira Jana bro, sio kila mechi utashinda huku umetawala mchezo, Kuna zingine hautatawala mchezo ila utashinda hizo ndio dalili za timu nzuri,like arsenal vs city mwaka jana
fact bro sema kuna watu wanangangana tucheze kama barca ya 2009 - 2012

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Ukweli ni kwamba ata tungecheza vizur kiasi gani, wapinzan wangepata tu la kusema kutuhafifisha (may be wangesema n nguvu ya soda ama tume cheza na vibonde)

Wameona pia kwamba game ilikua 50/50 kuna mda tuliwalalia na kuna mda walitulalia, walikosa clear chance na sisi pia tulikosa na ndicho kinachafanya ligi ionekane bora

Ata wao wenyewe wana jua hauta shinda tu smooth kila mechi, zingine lazima ukabwe koo.
Mancity, Liver, Chelsea hua Wana beba kombe lakin Kuna baadhi ya game wanakua wameshinda kwa mbinde sana ama kwa kubebwa kabisa

So hizi kelele n za chura hazikwepeki, Cha msingi n kukaza
Game kama hizi msimu ulio pita tulipoteza, so kushinda n ishara ya kuongezeka ubora, kila hatua Dua
 
Jesus jana labda tu kwamba hakufunga, lakin alicheza vizur alitengeneza clear chance kwa martinel na odergard waka muangusha, ali fanya fanya successful dribble zaidi ya tatu kwa kukusanya Kijiji lakin chance hazikutumika

Odegard jana hakua kwenye ubora wake na ndo kilicho tugharimu zaidi. Timu ikakosa muunganiko kule mbele, Saka nae Kuna mda alipotea lakin Overall tume pambana na tumeshinda, mgonjwa mwingine tafadhar
 
🚨 || It is rumoured that Kroenke himself has green-lit a late pursuit of Bayer Leverkusen’s Moussa Diaby. It is believed Leverkusen value him at £60m & although not wishing to spend that much, Kroenke will “push the boat out” to get the player [Via - @FootyInsider247].
 
Napenda style ya wapinzani wetu Chelsea, Man UTD, Liverpool na Kwa mbali Man city kuja kutuchangamsha humu.

Ila ni ukweli kuwa wapinzani wetu wengi hawakuamini Usajiri mkubwa uliofanywa na Arsenal this season hasa Kwa kusajiri maeneo yote yaliyokuwa na shida season iliyopita. Tuna kikosi kizuri ambacho kama kitaendelea kucheza Kwa morale na kujituma kama preseason basi tutakuwa na uhakika wa nafasi 3 za Juu.

Wale Arsenal haters jiandaeni kuchukia zaidi, Kwa maana Gari ndiyo kwanza limewaka na vijana wananjaa kubwa ya Ushindi.

We are Gunners Forever 💪💪💪
 
Ushindi mechi moja maneno kibao Malaya wa kihindi nyie arsenyeto laana fc timu ya mashoga
Mashoga wa ulaya
7ff4ba6a3660df3ac159e246a235838b.jpg
 
Back
Top Bottom