Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwenye Dakika 20 Za Mwanzo Aisee Arsenal Ilikuwa inacheza Mpira Mkubwa Vibaya mnoo ilikuwa ina Press vizur inacheza pass za haraka wanatoka kutoka Eneo moja kwenda lingine kwa Ufasaha na Nikaona Kabisa Hawa Palace leo Watakula Mkono

Ule Msako wa Dakika 20 za Mwanzo Ukikukuta Pale Emirates Ukijichanganya Game Dakika hizo Ushakula mkono Ngoma imekata...

Mwalimu Kawandaa Vijana Vyema Haswa Hii Pre Season Wako Sharp Fit na Wanajiamni na Zaidi wanaweza Hadi Battle za One vs One..

Selhurst Park Ni Mojawapo ya Viwanja Vigumu Mno Kwenda Na Kutoka Na Matokeo Huku Ukiwa Ume Relax

Palace Walitupa Game tough Sana na Ni Kitu nilikuwa Nataman Sana Tushinde ila tupewe Game Tough ili kama Inawezekana Tuongeze Watu Kikosini na Pia Wachezaji wajue Kuwa Ligi ni Ngumu na Mwalimu Aisbweteke..

Top Top PerfomancE Kutoka kwa
SALIBA
MARTINELL
RAMSDALE
WHITE
PARTEY HASWA First Half

Captain Martin Odergaard jana Game Haikuwa Upande Wake Na Wengine Wote Walikuwa Sawa ila Kuna some Moment Kwenye games Mambo Yaliwaendea Vibaya...

Usije ukajidanganya et Yule Zinchenko Akiwa anashambulia ndo mzuri akiwa anazuia ni wa kawaida..Brother Kajichanganye Uone Show Hakuna Beki asiyepitika na Dogo Jana Ayew kumzidi kama mara 2 sio kwamba et anapitika Kirahisi..Suala la Muda tuu ndo Kwanza Game yake Ya kwanza ile akiwa na uzi wa Gunners..
 
⚠️ | QUICK STAT

Arsenal players with more than 5 successful dribbles in a Premier League match since the start of 2020/21:

• Gabriel Martinelli (6) v Tottenham on 12 May 2022
• Gabriel Jesus (6) v Crystal Palace on 5 August 2022

It's a Brazil thing. 🇧🇷 🔴⚪️

#CRYARS https://t.co/IPqIFqZQGV
 
Kwenye Dakika 20 Za Mwanzo Aisee Arsenal Ilikuwa inacheza Mpira Mkubwa Vibaya mnoo ilikuwa ina Press vizur inacheza pass za haraka wanatoka kutoka Eneo moja kwenda lingine kwa Ufasaha na Nikaona Kabisa Hawa Palace leo Watakula Mkono

Ule Msako wa Dakika 20 za Mwanzo Ukikukuta Pale Emirates Ukijichanganya Game Dakika hizo Ushakula mkono Ngoma imekata...

Mwalimu Kawandaa Vijana Vyema Haswa Hii Pre Season Wako Sharp Fit na Wanajiamni na Zaidi wanaweza Hadi Battle za One vs One..

Selhurst Park Ni Mojawapo ya Viwanja Vigumu Mno Kwenda Na Kutoka Na Matokeo Huku Ukiwa Ume Relax

Palace Walitupa Game tough Sana na Ni Kitu nilikuwa Nataman Sana Tushinde ila tupewe Game Tough ili kama Inawezekana Tuongeze Watu Kikosini na Pia Wachezaji wajue Kuwa Ligi ni Ngumu na Mwalimu Aisbweteke..

Top Top PerfomancE Kutoka kwa
SALIBA
MARTINELL
RAMSDALE
WHITE
PARTEY HASWA First Half

Captain Martin Odergaard jana Game Haikuwa Upande Wake Na Wengine Wote Walikuwa Sawa ila Kuna some Moment Kwenye games Mambo Yaliwaendea Vibaya...

Usije ukajidanganya et Yule Zinchenko Akiwa anashambulia ndo mzuri akiwa anazuia ni wa kawaida..Brother Kajichanganye Uone Show Hakuna Beki asiyepitika na Dogo Jana Ayew kumzidi kama mara 2 sio kwamba et anapitika Kirahisi..Suala la Muda tuu ndo Kwanza Game yake Ya kwanza ile akiwa na uzi wa Gunners..
Odegaard, Rowe na muda mwingine Saka huwa wanapata shida sana wakikutana na timu zinazotumia nguvu na pressure kwenye kukaba
 
Ule uwanja wa palace ofcourse ni mgumu....

Mkuu kaangalie ile game ya palace vs city tuliyo draw 0-0,walitamani mpira uishe wenyewe ,Kila kitu lilikuwa kinaonekana kabisa pumzi ya moto ilikuwa inawapumulia...

Usiangalie matokeo ya mpira tu ndio maana mnavimba kichwa bure ....

Angalia pumzi na ujuzi wa wachezaji ,ukiangalia arsenal sio team ambayo inaonesha uhai wa kuwa na consistency,hi ni marathon game 38 ....
Dont argue like a layman. What is needed in football is scoring goals, the rest ni mbwembwe. We did that and bagged 3 points. Only an idiot will underrate Palace.
 
Kwenye Dakika 20 Za Mwanzo Aisee Arsenal Ilikuwa inacheza Mpira Mkubwa Vibaya mnoo ilikuwa ina Press vizur inacheza pass za haraka wanatoka kutoka Eneo moja kwenda lingine kwa Ufasaha na Nikaona Kabisa Hawa Palace leo Watakula Mkono

Ule Msako wa Dakika 20 za Mwanzo Ukikukuta Pale Emirates Ukijichanganya Game Dakika hizo Ushakula mkono Ngoma imekata...

Mwalimu Kawandaa Vijana Vyema Haswa Hii Pre Season Wako Sharp Fit na Wanajiamni na Zaidi wanaweza Hadi Battle za One vs One..

Selhurst Park Ni Mojawapo ya Viwanja Vigumu Mno Kwenda Na Kutoka Na Matokeo Huku Ukiwa Ume Relax

Palace Walitupa Game tough Sana na Ni Kitu nilikuwa Nataman Sana Tushinde ila tupewe Game Tough ili kama Inawezekana Tuongeze Watu Kikosini na Pia Wachezaji wajue Kuwa Ligi ni Ngumu na Mwalimu Aisbweteke..

Top Top PerfomancE Kutoka kwa
SALIBA
MARTINELL
RAMSDALE
WHITE
PARTEY HASWA First Half

Captain Martin Odergaard jana Game Haikuwa Upande Wake Na Wengine Wote Walikuwa Sawa ila Kuna some Moment Kwenye games Mambo Yaliwaendea Vibaya...

Usije ukajidanganya et Yule Zinchenko Akiwa anashambulia ndo mzuri akiwa anazuia ni wa kawaida..Brother Kajichanganye Uone Show Hakuna Beki asiyepitika na Dogo Jana Ayew kumzidi kama mara 2 sio kwamba et anapitika Kirahisi..Suala la Muda tuu ndo Kwanza Game yake Ya kwanza ile akiwa na uzi wa Gunners..
Arteta plans to use Zinchenko as a midfielder when tk is fit
 
Tuache muda uzungumze, hivi unadhani selhurst park ni kwepesi, msimu uliopita pale tulikufa nyingi tu, kisha tukaambulia sare Emirates, hivyo kumfunga huyu mpinzani ni jambo jema saana.

Wakati nabeti, game za ijumaa kwa timu kubwa, jumamosi mchana (game ya mapema) Jumatatu usiku ni ngumu saana, huwa na matokeo ya ajabu, na mtu kushinda ni kwa mbinde.
Mkuu lembu umeiona hii kitu, matokeo ya liver leo, fuatilia tu utagundua jambo. Na katika timu huwa zinaweza game za mapema, na j3 ni Liverpool na man city.

Halafu ni mara chache mnooo wikiendi wakubwa woote kushinda.
 
Goal. Arsenal 3 Manchester United 1. Good finish from Azeez. Superb assist from Marquinhos with outside of his boot.
 
Back
Top Bottom