opala
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 433
- 1,035
Msimu uliopita baada ya game tatu za mwanzo tulikuwa position ya mwisho 20..Kawaida yenu kuongoza ligi mwanzo wa ligi, mwisho wa ligi muna chukua nafasi yenu ya saba.
Sasa kawaida yetu kvp??
Msimu uliopita baada ya game tatu za mwanzo tulikuwa position ya mwisho 20..Kawaida yenu kuongoza ligi mwanzo wa ligi, mwisho wa ligi muna chukua nafasi yenu ya saba.
🚨🚨| BREAKING: Frenkie De Jong has ruled out joining Manchester United.Kawaida yenu kuongoza ligi mwanzo wa ligi, mwisho wa ligi muna chukua nafasi yenu ya saba.
Hatuumi chochote.Kitoabu Carrasco putin allypipi and likes, vipi mngependa mechi ya Jana tupoteze ndiyo mfurahi?
Seems ushindi wetu wa Jana umewauma sana, vumilieni ndiyo kwanza tumeanza mbio![]()
Ye nani?| BREAKING: Frenkie De Jong has ruled out joining Manchester United.
@ffpolo []
Odegaard, Rowe na muda mwingine Saka huwa wanapata shida sana wakikutana na timu zinazotumia nguvu na pressure kwenye kukabaKwenye Dakika 20 Za Mwanzo Aisee Arsenal Ilikuwa inacheza Mpira Mkubwa Vibaya mnoo ilikuwa ina Press vizur inacheza pass za haraka wanatoka kutoka Eneo moja kwenda lingine kwa Ufasaha na Nikaona Kabisa Hawa Palace leo Watakula Mkono
Ule Msako wa Dakika 20 za Mwanzo Ukikukuta Pale Emirates Ukijichanganya Game Dakika hizo Ushakula mkono Ngoma imekata...
Mwalimu Kawandaa Vijana Vyema Haswa Hii Pre Season Wako Sharp Fit na Wanajiamni na Zaidi wanaweza Hadi Battle za One vs One..
Selhurst Park Ni Mojawapo ya Viwanja Vigumu Mno Kwenda Na Kutoka Na Matokeo Huku Ukiwa Ume Relax
Palace Walitupa Game tough Sana na Ni Kitu nilikuwa Nataman Sana Tushinde ila tupewe Game Tough ili kama Inawezekana Tuongeze Watu Kikosini na Pia Wachezaji wajue Kuwa Ligi ni Ngumu na Mwalimu Aisbweteke..
Top Top PerfomancE Kutoka kwa
SALIBA
MARTINELL
RAMSDALE
WHITE
PARTEY HASWA First Half
Captain Martin Odergaard jana Game Haikuwa Upande Wake Na Wengine Wote Walikuwa Sawa ila Kuna some Moment Kwenye games Mambo Yaliwaendea Vibaya...
Usije ukajidanganya et Yule Zinchenko Akiwa anashambulia ndo mzuri akiwa anazuia ni wa kawaida..Brother Kajichanganye Uone Show Hakuna Beki asiyepitika na Dogo Jana Ayew kumzidi kama mara 2 sio kwamba et anapitika Kirahisi..Suala la Muda tuu ndo Kwanza Game yake Ya kwanza ile akiwa na uzi wa Gunners..
Dont argue like a layman. What is needed in football is scoring goals, the rest ni mbwembwe. We did that and bagged 3 points. Only an idiot will underrate Palace.Ule uwanja wa palace ofcourse ni mgumu....
Mkuu kaangalie ile game ya palace vs city tuliyo draw 0-0,walitamani mpira uishe wenyewe ,Kila kitu lilikuwa kinaonekana kabisa pumzi ya moto ilikuwa inawapumulia...
Usiangalie matokeo ya mpira tu ndio maana mnavimba kichwa bure ....
Angalia pumzi na ujuzi wa wachezaji ,ukiangalia arsenal sio team ambayo inaonesha uhai wa kuwa na consistency,hi ni marathon game 38 ....
Kitoabu Carrasco putin allypipi and likes, vipi mngependa mechi ya Jana tupoteze ndiyo mfurahi?
Seems ushindi wetu wa Jana umewauma sana, vumilieni ndiyo kwanza tumeanza mbio![]()


arsenal tumeshawazoea hamna tofauti na mandongaArteta plans to use Zinchenko as a midfielder when tk is fitKwenye Dakika 20 Za Mwanzo Aisee Arsenal Ilikuwa inacheza Mpira Mkubwa Vibaya mnoo ilikuwa ina Press vizur inacheza pass za haraka wanatoka kutoka Eneo moja kwenda lingine kwa Ufasaha na Nikaona Kabisa Hawa Palace leo Watakula Mkono
Ule Msako wa Dakika 20 za Mwanzo Ukikukuta Pale Emirates Ukijichanganya Game Dakika hizo Ushakula mkono Ngoma imekata...
Mwalimu Kawandaa Vijana Vyema Haswa Hii Pre Season Wako Sharp Fit na Wanajiamni na Zaidi wanaweza Hadi Battle za One vs One..
Selhurst Park Ni Mojawapo ya Viwanja Vigumu Mno Kwenda Na Kutoka Na Matokeo Huku Ukiwa Ume Relax
Palace Walitupa Game tough Sana na Ni Kitu nilikuwa Nataman Sana Tushinde ila tupewe Game Tough ili kama Inawezekana Tuongeze Watu Kikosini na Pia Wachezaji wajue Kuwa Ligi ni Ngumu na Mwalimu Aisbweteke..
Top Top PerfomancE Kutoka kwa
SALIBA
MARTINELL
RAMSDALE
WHITE
PARTEY HASWA First Half
Captain Martin Odergaard jana Game Haikuwa Upande Wake Na Wengine Wote Walikuwa Sawa ila Kuna some Moment Kwenye games Mambo Yaliwaendea Vibaya...
Usije ukajidanganya et Yule Zinchenko Akiwa anashambulia ndo mzuri akiwa anazuia ni wa kawaida..Brother Kajichanganye Uone Show Hakuna Beki asiyepitika na Dogo Jana Ayew kumzidi kama mara 2 sio kwamba et anapitika Kirahisi..Suala la Muda tuu ndo Kwanza Game yake Ya kwanza ile akiwa na uzi wa Gunners..
Msimu ulipita tulianza ligi vbaya kma unakumbuka vzuri mech tatu tulipotezaHatuumi chochote.
Zaidi me ninavyojua nyinyi huwa munaanza ligi vizuri tu, lakini hamuchelewi kukata upepo.
Mkuu lembu umeiona hii kitu, matokeo ya liver leo, fuatilia tu utagundua jambo. Na katika timu huwa zinaweza game za mapema, na j3 ni Liverpool na man city.Tuache muda uzungumze, hivi unadhani selhurst park ni kwepesi, msimu uliopita pale tulikufa nyingi tu, kisha tukaambulia sare Emirates, hivyo kumfunga huyu mpinzani ni jambo jema saana.
Wakati nabeti, game za ijumaa kwa timu kubwa, jumamosi mchana (game ya mapema) Jumatatu usiku ni ngumu saana, huwa na matokeo ya ajabu, na mtu kushinda ni kwa mbinde.