Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal's next four matches:
-Arsenal Leicester
-Bournemouth Arsenal
-Arsenal Fulham
-Arsenal Aston Villa

3 of them at home. Chance to really make a statement and get a lot points on board early!
 
Uzuri wa mashabiki wa Arsenal ni kwenye ushindi watasifiwa kila mtu hadi waliojenga uwanja lakini vipigo vitakapoanza kuchanganya ndipo mwanzo wa kushikana mashati.
Endelea kusajiri mabeki zaidi ,
IMG_20220724_045903.jpg
 
Jesus made 6 successful dribbles tonight.
Auba and Laca COMBINED had 21 successful dribbles last season.
 
SIONI WAKUTUZUIA HAPA TUSIBEBE POINT 3

Arsenal’s next six fixtures:

Leicester City H
Bournemouth A
Fulham H
Aston Villa H
Manchester United A
Everton H

#afc
Kama tutabeba hizi pointi 18 na zile 3, ni dalili njema mnoo kwenye top 4, japo ni kazi ngumu saana
 
Kama tutabeba hizi pointi 18 na zile 3, ni dalili njema mnoo kwenye top 4, japo ni kazi ngumu saana
Mechi ya Jana Palace waliwaremba sana
Two chance
Two possible penalties
Arsenal from 40mins onward wachezaji wenu walichoka sana. Mkicheza hivi Kwa timu clinical kule mbele mtabugizwa magoli mengi sana. So don't dream about top 4 now.
Mimi naiona Arsenal ni Ile Ile ya misimu ya nyuma. Timu isiyo na consistency na haitabiriki. Timu mtakayoweza compete nayo ni Westaham na Manure kwenye 5 position. Top 4 forget it. Tuchel na Conte wamelala tu wawaachie top 4 timu ya wanafunzi wa academy kweli. Your are not serious.
 
Zinchenko mumempata mchezaji hapo. Yuko very fluid. Ila Kwa Jesus msimsifie hata kidogo. Huyo alikuwa bench city Kwa sababu akifufuka anacheza vizuri sana ila akikata fuse mtamchukia sana. Sijui Arteta atafanya Nini ili Jesus awe active msimu wote
 
Mechi ya Jana Palace waliwaremba sana
Two chance
Two possible penalties
Arsenal from 40mins onward wachezaji wenu walichoka sana. Mkicheza hivi Kwa timu clinical kule mbele mtabugizwa magoli mengi sana. So don't dream about top 4 now
Wewe ulitaka tuchezaje? Tulicheza unavyotaka wewe wakatufunga 3-0

Halafu hakuna penalty pale , sio kila mpira wakushika Ni penalty

Unawadharau Sana palace ila Kuna mkubwa ataacha points

Kumbuka tulikuwa away
 
Kuanzia dakika ya 70 arsenal upepo ulikata kabisa ,na crystal palace walionekana kuwa good physically...

Mbaya zaidi sikuwa naona sub za kuja kuokoa jahazi ,hivi mnajua kuwa huu msimu una sub 5?...kwa muda ule mkikutana na team yenye kikosi kipana wakafanya sub 4 za nguvu milikuwa mnakufa mapema sana ...!

Ngonja niangalie game 5 za mwanzo nitakuja kuwapa mstakabali wa msimu wenu wote ,mpaka hapo nyie ni mnatafuta top 4 tu ..
 
Kuanzia dakika ya 70 arsenal upepo ulikata kabisa ,na crystal palace walionekana kuwa good physically...

Mbaya zaidi sikuwa naona sub za kuja kuokoa jahazi ,hivi mnajua kuwa huu msimu una sub 5?...kwa muda ule mkikutana na team yenye kikosi kipana wakafanya sub 4 za nguvu milikuwa mnakufa mapema sana ...!

Ngonja niangalie game 5 za mwanzo nitakuja kuwapa mstakabali wa msimu wenu wote ,mpaka hapo nyie ni mnatafuta top 4 tu ..
Uzuri palace unawajua vzr ,mancity anaachaga point 3 kila msimu Hapo

Sisi tulienda kubeba point 3 hayo mengine hayatuhusu
 
Muache kupigwa nyie kwa kukurela , ije kuwa kwa Jesus

Sasa Jana KATIMIZA majukumu vzr

Ndio Maana hakuna mchezaji was arsenal aliyekuwa chini ya kiwango View attachment 2315829
Usinifanye nicheke
Kuanzia 40 mins wachezaji wote wa Arsenal mlipotea a Hadi mlipofa ya sub. Kilichowaokoa ni kwamba Palace hawakuwa clinical kwenye kufunga
 
Hongereni majirani kwa ushindi hii mechi mmetumia energy kubwa sana hichi kikosi wakikosa wachezaji 2 au 3 basi misiba itaendelea maana kikosi chenu finyu
Sub zetu

CM mpya

RW mpya

Smith Rowe

Fabio vieira

Tierney

Tomi

Elneny
 
Zinchenko mumempata mchezaji hapo. Yuko very fluid. Ila Kwa Jesus msimsifie hata kidogo. Huyo alikuwa bench city Kwa sababu akifufuka anacheza vizuri sana ila akikata fuse mtamchukia sana. Sijui Arteta atafanya Nini ili Jesus awe active msimu wote
Mkuu Jesus sio mtu wa kwenda 8 game consecutively,pale city alikuwa anakaa sana bench na ailkuwa akija yupo na morali ,nguvu ,na anaonesha kweli ....

City alikuwa anarelax ,na kutulia hakuwa anacheza game mfululizo ...ndio maana hukuwa unamkuta kwenye injury Wala nini ..hio ndio maana ya kuwa na wide squad wachezaji wanapumzika vya kutosha ..
 
Back
Top Bottom