Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Zinchenko mumempata mchezaji hapo. Yuko very fluid. Ila Kwa Jesus msimsifie hata kidogo. Huyo alikuwa bench city Kwa sababu akifufuka anacheza vizuri sana ila akikata fuse mtamchukia sana. Sijui Arteta atafanya Nini ili Jesus awe active msimu wote
Tutatawanya magoli ,uzuri Jesus anacheza namba zote za mbele ,Jana ilikuwa atoe assist kutokea pemben

Unawadharau palace Sana, waulize man u na mancity

Kuna mkubwa ataacha point pale ,sio poa wale jamaa

Walianza kutumia nguvu sana
 
Uzuri palace unawajua vzr ,mancity anaachaga point 3 kila msimu Hapo

Sisi tulienda kubeba point 3 hayo mengine hayatuhusu
Ule uwanja wa palace ofcourse ni mgumu....

Mkuu kaangalie ile game ya palace vs city tuliyo draw 0-0,walitamani mpira uishe wenyewe ,Kila kitu lilikuwa kinaonekana kabisa pumzi ya moto ilikuwa inawapumulia...

Usiangalie matokeo ya mpira tu ndio maana mnavimba kichwa bure ....

Angalia pumzi na ujuzi wa wachezaji ,ukiangalia arsenal sio team ambayo inaonesha uhai wa kuwa na consistency,hi ni marathon game 38 ....
 
Sub zetu

CM mpya

RW mpya

Smith Rowe

Fabio vieira

Tierney

Tomi

Elneny
Subiri wanaume tuanze ligi tuwaonyeshe mpira wa kisayansi unavyopigwa. Leo saa 1 dk ya 20 uwe kwenye tv yako update burudani. DStv 223
 
Tutatawanya magoli ,uzuri Jesus anacheza namba zote za mbele ,Jana ilikuwa atoe assist kutokea pemben

Unawadharau palace Sana, waulize man u na mancity

Kuna mkubwa ataacha point pale ,sio poa wale jamaa

Walianza kutumia nguvu sana
Sisi hao tunawabugizaga 3 au nne fuatilia H2H vs Chelsea
 
Subiri wanaume tuanze ligi tuwaonyeshe mpira wa kisayansi unavyopigwa. Leo saa 1 dk ya 20 uwe kwenye tv yako update burudani. DStv 223
Angalia msivutwe shati ,shauri yenu , everton imebomolewa lkn sitashangaa wakiondoka na point moja
 
Ule uwanja wa palace ofcourse ni mgumu....

Mkuu kaangalie ile game ya palace vs city tuliyo draw 0-0,walitamani mpira uishe wenyewe ,Kila kitu lilikuwa kinaonekana kabisa pumzi ya moto ilikuwa inawapumulia...

Usiangalie matokeo ya mpira tu ndio maana mnavimba kichwa bure ....

Angalia pumzi na ujuzi wa wachezaji ,ukiangalia arsenal sio team ambayo inaonesha uhai wa kuwa na consistency,hi ni marathon game 38 ....
Utakuta anaye ongea huvi ni shabiki wa Man Utd, hawajiamini n timu yao, endelea kupiga ramli.
 
Sisi hao tunawabugizaga 3 au nne fuatilia H2H vs Chelsea
Nafatiliaga , ile game ya fa , mliwazidi padogo ,wakapotea ,ila palace ya vieira wanabishana

Kuna mkubwa ataacha point pale
 
Ule uwanja wa palace ofcourse ni mgumu....

Mkuu kaangalie ile game ya palace vs city tuliyo draw 0-0,walitamani mpira uishe wenyewe ,Kila kitu lilikuwa kinaonekana kabisa pumzi ya moto ilikuwa inawapumulia...

Usiangalie matokeo ya mpira tu ndio maana mnavimba kichwa bure ....

Angalia pumzi na ujuzi wa wachezaji ,ukiangalia arsenal sio team ambayo inaonesha uhai wa kuwa na consistency,hi ni marathon game 38 ....
Yule Jack grealish atawakaba Sana msimu huu ,

Malengo msimu huu nikubeba point kwa namna yotote kwa hizi timu za kat
 
Our Man of the Match tonight? 🏆

100% take-ons completed
100% aerial duels won
94% pass accuracy
7 ball recoveries
6 clearances

🇫🇷 Debutant William Saliba 👏

IMG_20220806_083118.jpg
 
Kiwango cha timu husika pia ni mhimu kijadiliwe hata kama imeshinda mkuu na si kutanguliza ushabiki mbele hapa, hilo gori la 2 ni makosa ya wazi ya beki.
Utakuwa umeanza kuangilia mpira Jana bro, sio kila mechi utashinda huku umetawala mchezo, Kuna zingine hautatawala mchezo ila utashinda hizo ndio dalili za timu nzuri,like arsenal vs city mwaka jana
 
Subiri wanaume tuanze ligi tuwaonyeshe mpira wa kisayansi unavyopigwa. Leo saa 1 dk ya 20 uwe kwenye tv yako update burudani. DStv 223
Lembu kwa EPL ninavyoiona ,waambien ukweli manure
 
Ule uwanja wa palace ofcourse ni mgumu....

Mkuu kaangalie ile game ya palace vs city tuliyo draw 0-0,walitamani mpira uishe wenyewe ,Kila kitu lilikuwa kinaonekana kabisa pumzi ya moto ilikuwa inawapumulia...

Usiangalie matokeo ya mpira tu ndio maana mnavimba kichwa bure ....

Angalia pumzi na ujuzi wa wachezaji ,ukiangalia arsenal sio team ambayo inaonesha uhai wa kuwa na consistency,hi ni marathon game 38 ....
Piga kimya basi maneno mengi kama mganga wa kienyeji, hiyo ndio arsenal yetu hata ikishuka daraja tunayo
 
Selhurst park has never been a friendly place for whosoever's been there (guardiola) can tell.

We saw what the team could look like in the upcoming months during the 1st 30mins... Could've won by 3/4 goals, but could've conceded atleast 2.

Special mention to the likes of Ramsdale, White, Jesus, Martinelli and Zinchenko. Very impressive for a first game... Now, you've got some colossal performance from this 21Yo lad who's got everything to be the best at that position for the upcoming years...

Massive achievement from Willo Saliba. Showing he's already our #1 right center back. 3points, clean sheet, we're in.
#COYG
 
Mechi ya Jana Palace waliwaremba sana
Two chance
Two possible penalties
Arsenal from 40mins onward wachezaji wenu walichoka sana. Mkicheza hivi Kwa timu clinical kule mbele mtabugizwa magoli mengi sana. So don't dream about top 4 now.
Mimi naiona Arsenal ni Ile Ile ya misimu ya nyuma. Timu isiyo na consistency na haitabiriki. Timu mtakayoweza compete nayo ni Westaham na Manure kwenye 5 position. Top 4 forget it. Tuchel na Conte wamelala tu wawaachie top 4 timu ya wanafunzi wa academy kweli. Your are not serious.
Arsenal ni EPL winner
 
Nataka niwahakikishie wana gunners na mamluki wengine mnaoingia humu.. huu msimu ni wetu! Mtake msitake!

Na kama tukiwa nao Saliba na Partey kwa mechi 37 zilizobaki kwenye PL basi tutegemee makubwa zaidi.

Time will tell.
 
Mechi ya Jana Palace waliwaremba sana
Two chance
Two possible penalties
Arsenal from 40mins onward wachezaji wenu walichoka sana. Mkicheza hivi Kwa timu clinical kule mbele mtabugizwa magoli mengi sana. So don't dream about top 4 now.
Mimi naiona Arsenal ni Ile Ile ya misimu ya nyuma. Timu isiyo na consistency na haitabiriki. Timu mtakayoweza compete nayo ni Westaham na Manure kwenye 5 position. Top 4 forget it. Tuchel na Conte wamelala tu wawaachie top 4 timu ya wanafunzi wa academy kweli. Your are not serious.
Tuache muda uzungumze, hivi unadhani selhurst park ni kwepesi, msimu uliopita pale tulikufa nyingi tu, kisha tukaambulia sare Emirates, hivyo kumfunga huyu mpinzani ni jambo jema saana.

Wakati nabeti, game za ijumaa kwa timu kubwa, jumamosi mchana (game ya mapema) Jumatatu usiku ni ngumu saana, huwa na matokeo ya ajabu, na mtu kushinda ni kwa mbinde.
 
Our Man of the Match tonight?

100% take-ons completed
100% aerial duels won
94% pass accuracy
7 ball recoveries
6 clearances

Debutant William Saliba

View attachment 2315843
Huyu Jembe ndie aliyecheza vizuri Muda wote Jana. William Saliba is a real CB baada ya miaka 7 ndio Sasa mnamuweka kwenye first team. Mngezubaa tu tungemchukua huyo
 
Hivi nyie nyumbu, cheltako na manshit mnaanzaje kumsema G. Jesus? Hivi mnajua kazi anayoifanya?

Hawa wa mashabiki wa manshit wanaongea kwa kuwa washamtoa kwetu, niwaambie tu Guardiola alimhitaji zaidi G. Jesus msimu huu kuliko Haaland. Take my words. Time will tell!

Nyie mashabiki wa nyumbu fc mnaomuongelea G. Jesus mpaka sasa hamna straika kama G. Jesus kwenye timu yao. Time will tell!

Nyie cheltako ndo mnamtegemea Kai Havertz.. mmekuja nanyi kumuongelea G. Jesus.. Hivi mnaijua kazi anayoifanya nyie takataka?

Nawaheshimu mashabiki wa Liverpool, wao wanaelewa soka ndo maana sijawaona wakileta midomo yao humu.

Shida ni hizi timu nyengine zinazojifananisha na kutaka ushindani na sisi.. nawaambia mwaka huu mtapata tabu sana!
 
Back
Top Bottom