Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Chelsea bhana walikuja juz humu na makelele ,Jana wamejionea Wana timu dhaifu
Nilisema Kama wataendelea na ile striking Force ya bila CF ,watakuja kutafuta mchawi
GOLI la penalty , matokeo yao itakuwa nyau nyau ,au moja bila au kipigo,muda wote wanarukaruka , iwobi kacheza vzr sana Jana
Leo ngoja tuwaone Nyumbu wanakujaje,washukuru wanaikuta Brighton iliyobomolewa ,ila sitashangaa droo ikitokea
Nilisema Kama wataendelea na ile striking Force ya bila CF ,watakuja kutafuta mchawi
GOLI la penalty , matokeo yao itakuwa nyau nyau ,au moja bila au kipigo,muda wote wanarukaruka , iwobi kacheza vzr sana Jana
Leo ngoja tuwaone Nyumbu wanakujaje,washukuru wanaikuta Brighton iliyobomolewa ,ila sitashangaa droo ikitokea