Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ya namna hii[emoji38][emoji38][emoji38] walai mtagongeshwa sana hamna timu hapo yaani kwa jinsi navyoifuatilia hii game mmezidiwa sana na palace sema hawako makini katika Ku score tu mngekuwa mshakula hata 3 .
Hakuna asiemjua Palace alivyo mgumu akiwa home.. kama unabisha waulize City, kisha kawauliza Nyumbu walichokutana nacho..

Ukitaka kujua zaidi, subiri timu yako ikacheze pale!
 
[emoji90][emoji90][emoji90]
IMG-20220806-WA0001.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom