Endelea kupredict, ila kama kawa msimu huu mwanetu Maguire hatuangushi.Sijui kwanini arsenyeto uwaga naona timu ya kawaida sana yani.
Prediction
Crystal palace 2 arsenal 0
Hakuna asiemjua Palace alivyo mgumu akiwa home.. kama unabisha waulize City, kisha kawauliza Nyumbu walichokutana nacho..Ya namna hiiwalai mtagongeshwa sana hamna timu hapo yaani kwa jinsi navyoifuatilia hii game mmezidiwa sana na palace sema hawako makini katika Ku score tu mngekuwa mshakula hata 3 .
Kiwango cha timu husika pia ni mhimu kijadiliwe hata kama imeshinda mkuu na si kutanguliza ushabiki mbele hapa, hilo gori la 2 ni makosa ya wazi ya beki.You win by scoring goals not those rubbishes you wrote.
Bila makosa Kuna timu itafungwa?Kiwango cha timu husika pia ni mhimu kijadiliwe hata kama imeshinda mkuu na si kutanguliza ushabiki mbele hapa, hilo gori la 2 ni makosa ya wazi ya beki.
Palace KAUPIGA MWINGI SANAAA ni vile tu amekosa ukatili mbele ya goli ila wamewapelekea moto sanaa Arsenal ni ileilePalace kavutishwa pumzi ya moto
Kabisa na Maguire ndiye atakaye tufungulia, kwani Maguire akicheza majirani tuna furahi.Leo walikuwa wana tumbuiza tuu. Epl ni kesho lazima tupate wafunguzi kwanza.
Inatuhusu nn ikiwa wamepigwa 2-0 kwaoPalace KAUPIGA MWINGI SANAAA ni vile tu amekosa ukatili mbele ya goli ila wamewapelekea moto sanaa Arsenal ni ileile
Arteta hatumii DM ,wazee tunahitaji kusajili aisee DM RCM na RW la sivyo tusitafute mchawi
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hayaa we endelea kujadiliKiwango cha timu husika pia ni mhimu kijadiliwe hata kama imeshinda mkuu na si kutanguliza ushabiki mbele hapa, hilo gori la 2 ni makosa ya wazi ya beki.
Umesahau, kashinda na goli 2-0Palace KAUPIGA MWINGI SANAAA ni vile tu amekosa ukatili mbele ya goli ila wamewapelekea moto sanaa Arsenal ni ileile