Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

💬 "Tuko na kiwango cha nguvu na matarajio ya kuwa na msimu wa mafanikio na lazima tuonyeshe hilo uwanjani kesho usiku."

ARTETA
 

Attachments

  • IMG_20220802_214453.jpg
    IMG_20220802_214453.jpg
    116.3 KB · Views: 15
Lucas Torreira ni tatizo kubwa kwa #Arsenal. Mnamo 2020, alikataa kuuzwa moja kwa moja nchini Italia ili kulazimisha mkopo Atletico.

Sasa hivi tena anajichelewesha kwenda Galatasaray kwa sababu anataka mkopo wa bila malipo kwenda Valencia.

Arsenal imeshamalizana na Galatasaray kupokea €7m, Arsenal wamemwambia Safari tunataka uondoke moja kwa moja.Toka Jana ana delay deal la Galatasaray akiwasubiri Valencia ambao wanasubiri kitonga Cha mkopo.

Hadi Sasa Valencia Wapo kimya, hivo Toreira anakaribia kujiunga Galatasaray.


📣 || Direct message to Journalists from Lucas Torreira’s Manager today, explaining the current situation.
 

Attachments

  • IMG_20220804_185345.jpg
    IMG_20220804_185345.jpg
    32.8 KB · Views: 19
🚨 Brendan Rodgers confirms Leicester want to sell a few assets to make signings

(@BBCLeicester)
 
Lucas Torreira has just accepted to join Galatasaray! It’s now time for the final details of the contract to be sorted out, then Torreira will fly to Istanbul in the next days 🚨🟡🔴 #Galatasaray

Arsenal will receive around €6/7m fee for Torreira, once documents will be signed. https://t.co/KHvsiMQQuo
 
Mwamba Mbona sikuoni jukwaa letu ujatoa Maoni yako kuhusu usajili wa koulibaly na sterling na wachezaji tunaohusishwa nao
Napitaga kimya kimya mkuu, nasomaga tu maoni hlf napita hivi, kutokana na majukumu yanabana nakua na muda mchache sana wa kuperuzi.
Hapo tu kama wachezaji tumepata, tusubirie tu huyo cucurella atie wino, hizi ubwa tutapga tuue.
 
Preseason ndio wakati wenu wa kutamba. Tumeshawazoea kila msimu, kuna Ars88 ilikua y moto km ile y kina ozil na sanchaz bado mkaishia matupu,ndio uniambie ya sahz tena kocha mweupe kichwani ....... Arsenal ni ile ile.
Endelea kukalili.
 
Palace leo ajiandae kisaikolojia

Tuanaanza kukaa kwenye table mapema kabisa

Wachezaji wana morali kubwa sana
 
Arsenal's possible XI vs Crystal Palace. [sky]

Arsenal's bench will be lit tho with Kieran Tierney, Emile Smith Rowe, Takehiro Tomiyasu and new signing Fabio Vieira no full fit yet
Kuna watu mna masihara na ligi ya uingereza yan hiki ndio kikosi kikapambane na Chelsea, Liver na Man City kweli?
 
Back
Top Bottom