Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mamluki kutoka majukwaa mbalimbali kuja humu kwetu kupiga domo inamaanisha wanatishwa sana na msimu tutakaokuwa nao mwaka huu.

Najua wapenzi wote wa mpira duniani ikiwemo vijana, watoto na bila ya kuwasahau wazee, watafika mapema kwenye runinga zao na vibanda umiza kushuhudia soka safi kutoka kwa timu yenye vijana wenye uwezo zaidi ndani ya EPL.

Nawaahidi hatutawaangusha, soka safi litatandazwa kwenye kapeti na damu changa tulizonazo.

Wa kukosoa mjiandae.. na wale mtakaoleta tabiri zenu baada ya mechi ya kuwa hatutofika mbali pia tunawasubiri.

🔴⚪#COYG💪
Hasa Hawa tuliowaapiga 4-0 kumbe waliumia sana
 
Unavyosema wachezaji wanatukataa sijakuelewa kwasababu koulibaly, sterling, Cucurella wamekuja kwetu na frenkie de jong katuchagua over man u
Cucurella Ni mchezaji wakwaida ,Ni sawa na Nuno Tavares tuliyemtoa mkopo OM
Screenshot_20220805-103346.png
 
Majibu mtaanza kuyapata leoView attachment 2315118
Ujue mnafurahisha basi TU, eti mnachekelea mmepata mchezaji , wakati huyu hapo Arsenal hapishani na Nuno TAVARES ambaye tumemtoa mkopo
Pamoja na huyu kucheza mech 35 bila sub, kwwnye timu Isiyo na presha Kama Nuno TAVARES aliyecheza mech 22 zenye sub 9 hawapishani sana

Tukikutana mumpange huyu

Best performance yake Ni ile Dhidi ya manure na ndiyo mech pekee alifunga goli



Screenshot_20220805-103346.png
 
Tielemams all day.

I like Paqueta, but we have Viera. We need a deep playmaker who can replace Xhaka in the first team, and do a good job in the three phases of play. That’s Youri Tielemans.
 
Unavyosema wachezaji wanatukataa sijakuelewa kwasababu koulibaly, sterling, Cucurella wamekuja kwetu na frenkie de jong katuchagua over man u
Rejected Chelsea list (summer 2022):
1.Gabriel Jesus
2.Richarlison
3.Raphinha
4. Dest
5.Ronaldo
6.Dembele
7.Lewandowski
8. De Ligt
9.Kimpembe
10.Gnabry
11.Ake
12.Lukaku and Broja (their own players😭)
13. De Jong
14. Kounde
15. Auba
Let's all laugh at REJECTION FC😂😂😂😂😂😂
 
Rejected Chelsea list (summer 2022):
1.Gabriel Jesus
2.Richarlison
3.Raphinha
4. Dest
5.Ronaldo
6.Dembele
7.Lewandowski
8. De Ligt
9.Kimpembe
10.Gnabry
11.Ake
12.Lukaku and Broja (their own players😭)
13. De Jong
14. Kounde
15. Auba
Let's all laugh at REJECTION FC😂😂😂😂😂😂
Hao unawataja ni Raphinha na Lewandowski pekee ndio walisema wanaitaka Barca hao wengine wote waliobaki ni porojo zako
 
Back
Top Bottom