KILA LA KHERI TIMU YETU ARSENAL DHIDI YA PALACE
Mechi ya mwisho tulifungwa 3-0
Patrick Vieira aliwatarget Full backs zetu, NUNO NA CEDRIC ,aliwapress Sana akimtumia Zaha na Ayew , akabaki Partey akaumizwa, mech ikawa yao .
Na sote Tunajua ukiwapress Nuno na Cedric Ni majanga hutokea,
Leo hakutakuwa na Nuno Wala Cedric
Leo tutarudi na kikos kile alichopigwa 6-0 Sevilla ,4 -0 CHELSEA
Saliba ,Ben White na Zinny wapo njema Sana na mpira mguuni ,
NATARAJIA MABADILIKO MAKUBWA KIUCHEZAJI, LAKINI PIA TUWE MAKINI NA KAUNTA ,MAANA WATAWATUMIA ZAHA NA EBOWEI AU ZAHA NA EZE
Leo watamkosa Olise ,pia hawatakuwa na Gallagher ambaye amerudi Chelsea.