Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,790
Arsenyeto mkishinda Leo mniite mbwa nimekaa pale
Mpige tuoneNgoja leo tumpe kipigo palace
Nyie endeleeni kulanguliwa na panic buy
Angalau Jack tayari alikuwa na misimu kadhaa kafanya vzr Aston VillaKwa hiyo waliotoa hiyo pesa ni wajinga? Mbona huyo huyo Pep aliuziwa Grealish kwa paundi million 100! Hakuna unachojua kuhusu hizi biashara na kila usajili ni kamari. Ukilielewa hilo wala hautaumiza kichwa
Akipona sana leo 3-0Mpige tuone
Zile 4-0 ,6-0 za preseason zinawaumaArsenal fc inafanana na yule mbwa mkali kwao (Pre-season), mpaka wanafamilia wanampa jina la Simbaaa.
Lakini simbaaa akipelekwa josho kuoshwa, akikutana huko na mbwa wa polisi (EPL), simbaa anaficha mkia matakoni, analala chini, anavutwa hataki kwenda.
Siku tegemea hadi weweIle ilikuwa ni preseason mlidhani ligi yenyewe haitafikaaa 😀 😀 😀 leo mkifa chache ni 2


nimefurahi kuon koment yakoo😀 😀 😀 😀nashukuru boss nawachana hapa..Siku tegemea hadi wewenimefurahi kuon koment yakoo
Sina maana waliachia. Nilitaka kumaanisha haikua mechi ya kubeba attention kubwa ya wachezaji kama ilivyo kwa ligi kuu au mechi ya mashindano umuhimu ulikua ni kutafuta fitnessKirafiki wakati wahezaji was Chelsea wanakwambia ile sio friend match
Gorginho anasema kabla ya mech wanaenda KUPAMBANIA wewe unadai waliachia
Unamuongelea hapo mchezaji aliyeshinda player of the season ndani ya huo mwaka wake wa kwanza. Put some respect on his nameAngalau Jack tayari alikuwa na misimu kadhaa kafanya vzr Aston Villa
Sasa huyu cucu msimu mmoja TU tena best performance yake Ni ile mech na man u
Mimi nafuatiliaAkipona sana leo 3-0
Leo wanaenda kuliwa kimasihara na wahuni wa palace, kisha watakuja kwenye ule uzi wetu pendwa kuelezea jinsi walivyogongwa goli 3 kimasihara kwa ile style mpya ya mtumbwi wa vibwego.Ile ilikuwa ni preseason mlidhani ligi yenyewe haitafikaaa 😀 😀 😀 leo mkifa chache ni 2
Unavyosema wachezaji wanatukataa sijakuelewa kwasababu koulibaly, sterling, Cucurella wamekuja kwetu na frenkie de jong katuchagua over man uChelsea ni timu mfu, ndio maana wachezaji wanaikataa.
Acha kuiweka kwenye kundi la timu za maana.
Ila msije baadae kuanza kumlalamikia kochaKILA LA KHERI TIMU YETU ARSENAL DHIDI YA PALACE
Mechi ya mwisho tulifungwa 3-0
Patrick Vieira aliwatarget Full backs zetu, NUNO NA CEDRIC ,aliwapress Sana akimtumia Zaha na Ayew , akabaki Partey akaumizwa, mech ikawa yao .
Na sote Tunajua ukiwapress Nuno na Cedric Ni majanga hutokea,
Leo hakutakuwa na Nuno Wala Cedric
Leo tutarudi na kikos kile alichopigwa 6-0 Sevilla ,4 -0 CHELSEA
Saliba ,Ben White na Zinny wapo njema Sana na mpira mguuni ,
NATARAJIA MABADILIKO MAKUBWA KIUCHEZAJI, LAKINI PIA TUWE MAKINI NA KAUNTA ,MAANA WATAWATUMIA ZAHA NA EBOWEI AU ZAHA NA EZE
Leo watamkosa Olise ,pia hawatakuwa na Gallagher ambaye amerudi Chelsea.
Akikujibu nitagUnamuongelea hapo mchezaji aliyeshinda player of the season ndani ya huo mwaka wake wa kwanza. Put some respect on his nameView attachment 2315026