Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tunayo furaha kutangaza kwamba Martin Odegaard ameteuliwa kuwa nahodha wetu mpya wa kikosi cha kwanza cha wanaume.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 amefanya makubwa tangu awasili Uwanja wa Emirates akitokea Real Madrid Januari 2021, awali kwa mkopo, na amecheza mara 60 na kufunga mabao tisa.

Odegaard ana uzoefu wa kuvaa kitambaa hicho, akiwa nahodha wa Norway tangu Machi 2021, ambaye ameshinda mechi 43 kwake.

Tunamtakia Martin mafanikio mema kama nahodha wetu.

Tutakuwa na zaidi juu ya uteuzi hapa baada ya mechi ya leo.
 

Attachments

  • IMG_20220729_150639.jpg
    IMG_20220729_150639.jpg
    99.1 KB · Views: 20
Pep Guardiola akimzungumzia Gabriel Jesus: ‘Labda mtu mzuri zaidi ambaye nimewahi kufanya naye kazi. Ikiwa atacheza dakika 90, atatoa kila kitu. Nina hisia kwamba katika hali nyingi tutamkosa’.
 

Attachments

  • FB_IMG_1659241034809.jpg
    FB_IMG_1659241034809.jpg
    79.9 KB · Views: 16
🗣 “We are still hoping to do something else if the [transfer] market allows us to do that.”

Mikel Arteta on the transfer market.💰
 
ODEGAARD NAHODHA MDOGO DUNIANI

Klabu ya Arsenal imetangaza rasmi kuwa nahodha wao wa timu kuanzia sasa ni kiungo wao mshambuliaji Martin Odegaard.

Maamuzi hayo yamefanywa na kocha mkuu wa Arsenal Mikel Arteta na yamepokewa vizuri na bodi ya wakurugenzi wa timu pamoja na Wachezaji.

Martin Odegaard amekua na mchango mkubwa sana ndani ya klabu ya Arsenal tangu alipojiunga nayo Arsenal kwa mara ya kwanza kwa mkopo January 2021 akitokea Real Madrid kabla ya kununuliwa rasmi na Arsenal.

Martin Odegaard pia ni nahodha wa timu ya taifa ya Norway.

Odegaard akiwa na umri wa miaka 23 anakua nahodha mwenye umri mdogo
Zaidi duniani kwa sasa kuwa nahodha kwenye timu ya taifa na klabu duniani
 

Attachments

  • IMG_20220730_152350.jpg
    IMG_20220730_152350.jpg
    104.4 KB · Views: 18
h
Nakubali anavyoanza kuwa na adabu kama hiz

Kuhusu vikombe ondoa hofu,

mfano mdogo ni FA huwa kinatutaka chenyewe
Huwa atutumii nguvu kubwa kukikamata

Europe bado sijaona wakustahimili fimbo ntakazo tembeza

Ligi ndio kiatu kiatu, mtu kazi, bendera ya kuzimu hadi kieleweke

Mkuu nikupe tu habari, sasa hiv partey anapiga outer(Kofi)
Unaweza ukasema modric amefikaje huku

Bora ukutane na mandonga lakini sio arsenal hii
ha haaaaaaa mandonga tena
 
ARSENAL inaposhambulia inatumia 2-3-5 au muda Mwingine 3-2-5

Dhidi ya Sevilla ,nyuma wanabaki WHITE GABRIEL MAGALHAES NA SALIBA

ZINNY ANAPANDA NA KUWA KIUNGO AKIUNGANA NA PARTEY NA XHAKA

SAKA hutanua uwanja na kuruhusu Odegaard kuwa namba 10, pamoja na Martinell kuwa no.10 ya pili,pale ZINNY anapopanda na kuwa Winga ,Gabriel Jesus anakuwepo Kati ,lakin wanabadilishana Sana nafasi na Gabriel Martinell

ZINNY ametuongezea kitu kipya , kwakuwa anauwezo wa kucheza Kama Midfielder basi anaongeza uimara Katikati , hapa Tierney sio mzuri eneo la kiungo ,

Hivo basi mwalimu amepata option zaidi anapotaka kumtumia Zinny au Tierney.

Uwepo Wa SALIBA ,GAB NA WHITE unafanya tuwe wazuri kwenye buildup Sababu wote Ni wazuri mguuni , ukiongezea na Zinny na Partey ,hapa NDIPO unapoona nafasi finyu kwa mtu Kama Hector bellerin na Toreira

Tomiyasu huyu pia Ni mzuri Sana kwenye buildup ,hivo kwasasa mwalimu ana option nzuri upande wa kulia na kushoto , na beki za Kati ambapo White anaweza kurudi Kati Kati .

Eneo ambalo bado tunahitaji mtu Ni RW , lakin kwa uchezaji wetu niliouona , Ile namba 8 ya Xhaka tukipata mtu Mwingine pia mwenye jicho la pass na kunyumbulika basi timu yetu itakuwa imeenda NEXT LEVEL ,

Gabriel Jesus huyu anajua kutumia nafasi lakin uwezo wake mkubwa wa kucheza pembeni kulia na kushoto unawapa tabu Sana mabeki pinzani, Sababu wanashindwa kumtarget .

Goli la 2 Dhidi ya Sevilla katokea pemben upande wa kushoto , akatoa pass akawahi ndan ya box akafunga.

Pep Guardiola juzi amemuelezea G.jesus Kama Ni moja ya striker anayepress na kudefend(kuzuia) aliyewahi kumpata

Arsenal Sasa uwezo wa kupress umekuwa mkubwa Sana Sababu ya G.jesus pale mbele.
 

Attachments

  • IMG_20220731_093729_907.jpg
    IMG_20220731_093729_907.jpg
    96 KB · Views: 18
  • IMG_20220731_090419_934.jpg
    IMG_20220731_090419_934.jpg
    47.2 KB · Views: 20
Preseason ndio wakati wenu wa kutamba. Tumeshawazoea kila msimu, kuna Ars88 ilikua y moto km ile y kina ozil na sanchaz bado mkaishia matupu,ndio uniambie ya sahz tena kocha mweupe kichwani ....... Arsenal ni ile ile.
 
Jurgen Klopp on competition in PL: "Arsenal, I saw the result, pretty impressive – 6-0 against Sevilla. I don’t think that ever happened to Sevilla to be honest." [metro via ITV]
 
Preseason ndio wakati wenu wa kutamba. Tumeshawazoea kila msimu, kuna Ars88 ilikua y moto km ile y kina ozil na sanchaz bado mkaishia matupu,ndio uniambie ya sahz tena kocha mweupe kichwani ....... Arsenal ni ile ile.
 

Attachments

  • IMG_20220724_045903.jpg
    IMG_20220724_045903.jpg
    108.3 KB · Views: 20
An Arsenal XI will face St. Alban's City tomorrow at Clarence Park, 7:45 PM UK time. Whilst it's mainly likely to be Arsenal youth team players, interested to see if the team will feature some of our squad options/players coming back from injury who need match practice.
 
Back
Top Bottom